Morogoro: Wawili mbaroni kwa Uhalifu wa Kutumia vilevi kwa Wanawake

Hizo ndio kazi za Polisi zinazowajengea jina zuri kwenye Jamii,sio kukimbizana na Wapinzani na kuwabambikia makosa.

Kudos Polisi.
 
Mm binafs niliwai kula mtu kitapeli san nilijiita afsa tawala wilay ya mkalama yule dad alinikuta mitaha ya ofisi ya mkuu wa willaya ya manyoni Kisha siku zingine tukakutana mkalama mm nikamfananisha na nayey akasema ameniona sijui manyoni bas bila kunioji Sana akaniuliza huko ulikuwa na mishe gani nikamwambia huko nilikuwa na Kaz za kiserkali imenileta huko manyoni ..yeye akanimbia yey Ni mfanyabiashara anakwenda kuonana na mkurugenzi Kisha ataenda mjini nikamwabia bas anipe lift Kwan gar yetu ya ofcn imearibiaka bila Shaka akasema hkn shida nimsubiri kidg amuone mkurugenzi dakik chake huyu Happ chap nikapanda mbele hao Hadi mjini sikufika hata mbali yule mtaturu alikuwa mwepes Sana naanza kumshika paja akatuliaa akasema nitulie bass nikamuomba kuwa tupitie hata sehemu tupate vinywaji aksema sehemu gani nikamwambia twende had town mnk saa tisa ninarud ofc Nina kikao na mkuu wa willaya ..nilimleta had tanesco huko substation njia ya dar. Singda Kuna lodg nyingi Sana kwani alinimbai anafahamika San hvyo tuzogee nje ya mjini ndiko nikampeleka huko njia ya dar .tukafanikiwa kupata lodg na iko sehemu nzuri bas aksema hajala chochote acha aagize supu ya kuku ikaletwa nusu mbili julmla elf 16 na vinywaji jumla Kama 25 HV nikamuambia alipie tukitoka hpa tuende bank nitoe pesa nitampatia bila hiyana mwanamke alivuta 30 kapeana jikoni na mm kuingiliwa 20 tu ya lodge nimemchakata had saa kumi kwani Kuna saa nilimpanga mwnangu mmoja ambaye nilimtext msg kuwa nakupigia simu nikuombe uniwakilishe kweny kikao Cha mkuu wa willya kwani nimepata dharura jamaa alinielewa faster so tukaendelea na mechi kwani mwanamke alishajihakikishi kuwa mm Ni mtumishi wa wilaya hyo hvyo Hana wasiwasi alisema alikuwenda kufatilia hati zake za mashamba yaliko kule. Mm ndio kwanza naenda kutafuta alizeti za kulanguwa Mwanmke yule anapenda kula kula Sana akaagiza Tena chakula safarii ilikuja kuku makange tukapiga kuku mzima huku akijuwa kuwa nitaenda kumrudishiaa hell ilifika saa moja tukaoga na kusepa kueleke ilipo ATM au bank ya nmb tukaenda had pale nikamwambi atafute parking ili nishuke nikatoe pesa kumbuka Hapo hata han namba zangu na mm Zina zake nilipo shuka tu nikajifanya naelekea usawa wa getiin nmb pale chapu nikakamata ile njia ya kwenda geraji za Hapo nyuma ya nmb huyo. Nikatokomea kusiko julikanaa ...



Nb
Siku moja nitaeleza alivyo nibamba ktk mgahwa wa mam claree hapo Hapo singida muda ule alikuwa na bwana ake ..nitaeleze jinsi tulivyokutana siku nyingine na namna gani nimemaliza mzala na yey .nikaomba msamaha
 
Daaah!umenichesha kwa kweli.
 

KUKAMATA HAWA WATU NI KUKOSA KAZI YA KUFANYA.... NA KAMA KUNA KESI BASI TAPELI NA MTAPELIWA WOTE NI WANA LA KUJIBU
 
HALAFU WAOAJI WA ZAMA HIZI WANAOA MWANAMKE WA DIZAINI HII, WALIO TUMIKA MBELE NA NYUMA.
BWEGE ANAPIGA GOTI NA KUANZA KULIA HUKU AKIVISHA PETE
NA NDOA INAITWA NDOA TAKATIFU!!!
 
Hao vijana hawana makosa waachiwe huru.

Mwanamke ana kipato kikubwa, anadanganywa barabala I hivyo anakubali!
SASA MITUME NA MANABII WANAKULA NA KUVIMBIWA
 
Dunia hii kuna watu wana roho za ajabu
 
Kwanza wanawake wengi wanayokutana na mziki wa hao.

Jamaa ni wana tamaa.

Kuna mtu alikamatwagwa na kupelekwa, obay, aliwatafuna sana hadi kuwala jicho wadada wa mjini
Hiyo siku walipoitwa kituoni walijazana wengine walikuja na mabwana zao,

Ova
Tamaa zinawaponza
 
Bro hupaswi kujivunia hili jutia
 
Hivi mnajua kuna vijana wadogo wanawasoma humu? [emoji17]
 

Uhalifu mwingine Bwana, uwalawiti, uwaibie, uache na deni, hao watu ni wa kuua tu mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…