Morogoro: Wawili mbaroni kwa Uhalifu wa Kutumia vilevi kwa Wanawake

Dada zetu wamezidi tamaa sana

Hotel za kifahari na msosi wa nguvu

Vi 8


Hapo tayari washalowa



Safi sana shayo
 
Ningeshangaa mchaga asiwepo tena kwenye dili kama hili.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Safi sana Shujaa wetu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Uhalifu mwingine Bwana, uwalawiti, uwaibie, uache na deni, hao watu ni wa kuua tu mara moja
Hakuna sehemu habari imeongelea kulawiti, wameongelea kubaka. Unajua maana ya kulawiti?!
 
Hao jamaa nawafahanu Sana..nasubiri kuona picha zao tu..walishataka kunishirikisha kwenye tukio MOJA hivi Moshi,ila kwa huruma yangu nilimwokoa yule dada..walini mind Sana wakunitukana nitakufa masikini
 
Nchi hii bwana,,
 
Hii combination haipo sawa.. Labda Rado ya Kariakoo.
Ukianza maisha ukatoka kwenu na kuelewa hautajuwa na comment za hivi. Na kama ushatoka kwenu basi bado unahitaji exposure kuyaelewa maisha na watu mbalimbali
 
Malizia mkasa
 
Yaani mabinti wamewekwa hotel siku tatu na mtu ambaye hata hawamjui?! Wanakula na kupiga picha kule swimming pool dah. Wakati huo wanaume zao sijui wameambiwaje
... alijitambulisha lakini - afisa wa ngazi ya juu - Ofisi ya Rais (TAMISEMI). "Ofisi ya Rais" ni ofisi ambayo haipaswi kutiliwa shaka chembe.
 
... alijitambulisha lakini - afisa wa ngazi ya juu - Ofisi ya Rais (TAMISEMI). "Ofisi ya Rais" ni ofisi ambayo haipaswi kutiliwa shaka chembe.
Good, namaanisha humjui other details, kuwa Fulani doesn't justify kwa kweli. Ni tamaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…