Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
sasa kitochi kinaweza kuedit jambo ?Nisiondoke wakati unatumia kitochi utaposti na nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kitochi kinaweza kuedit jambo ?Nisiondoke wakati unatumia kitochi utaposti na nini!
Umelazimishwa kwenda!!Wewe mbona unaishi Kwa uchawa na unafiki na hatusemiChadema bwana eti ugumu wa maisha wakati wanatembeza watu wasifanye kazi wao wamejaziana mafuta na tiketi za ndege ndezi zinamaliza ndala na soli!
Nipo hapa Moro mjini,lissu haonekani maandamano yameahirishwaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
View attachment 2977476
Mapema asubuhi wananchi walipoanza kukusanyika.
Usiondoke JF kwa vile kuna mengi ambayo utaletewa kuhusu maandamano hayo
==========
serikali ichukue hatua za haraka kupunguza makali ya hali ngumu ya uchumi na mfumuko wa bei. watanzania wana imani na wanaipenda serikali yao. serikali nayo inapaswa kuonyesha kwamba inawajali. hivyo hoja za watanzania wanaoshiriki maandamano ya chadema zifanyiwe kazi na serikali.Kwa hiyo nawe ni maiti mwenzao upo mochwari kama si makaburini unajadili nao!
Kwani wao wanatembea juu ya hizo tiketi za ndege?Chadema bwana eti ugumu wa maisha wakati wanatembeza watu wasifanye kazi wao wamejaziana mafuta na tiketi za ndege ndezi zinamaliza ndala na soli!
Wao posho inaingia makao makuu!Kwani wao wanatembea juu ya hizo tiketi za ndege?
Kuna watanzania au kikundi cha watu wachache watafuna ruzuku watanzania wenye kujielewa wote wapo kwenye mihangaiko yao wanajua serikali hamtulii mtu pesa mfukoni!serikali ichukue hatua za haraka kupunguza makali ya hali ngumu ya uchumi na mfumuko wa bei. watanzania wana imani na wanaipenda serikali yao. serikali nayo inapaswa kuonyesha kwamba inawajali. hivyo hoja za watanzania wanaoshiriki maandamano ya chadema zifanyiwe kazi na serikali.
Unateseka ukiwa wapi?Kuna watanzania au kikundi cha watu wachache watafuna ruzuku watanzania wenye kujielewa wote wapo kwenye mihangaiko yao wanajua serikali hamtulii mtu pesa mfukoni!
Ulikwenda shule kusomea haya uliyoandika!Unateseka ukiwa wapi?
Umewahi kujiuliza Kwa miaka 60 CCM kwanini watu Wana kaa chini shuleni wakati watoto wa viogozi wanasoma shule nzuri?Umewahi kwenda Hospitali za serikali?
Umewahi kujiuliza kwanini wewe mwenyewe umeamua kuwa CHAWA na Malaya wa kisiasa ili uishi lakini wapo wanaopata mshahara mzuri pale LUMUMBA
Kawatoa pangoni hata akina Neppy!Jana jamaa kaharibu hali ya hewa
Ndezi zinamaliza ndala ndo kiswahili cha wapi? Au cha nchi jiraniChadema bwana eti ugumu wa maisha wakati wanatembeza watu wasifanye kazi wao wamejaziana mafuta na tiketi za ndege ndezi zinamaliza ndala na soli!
Polisi nao wanaandamana kinamna. Safi sana. 😀😀Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
View attachment 2977476
Mapema asubuhi wananchi walipoanza kukusanyika.
Usiondoke JF kwa vile kuna mengi ambayo utaletewa kuhusu maandamano hayo
==========
View attachment 2977625
Nimependa jinsi Polisi wanavyoimarisha ulinzi na UsalamaPolisi nao wanaandamana kinamna. Safi sana. 😀😀
Umeelewa ndio maana umekazia!Ndezi zinamaliza ndala ndo kiswahili cha wapi? Au cha nchi jirani
Hata kiswahili hujui utajua kujenga na kujibu hoja wewe. Unafikiri maandamano ya kudai hali bora ya maisha yanafanyika Tanzania tu na yanaongozwa na chadema tu? Watu wa SA wangekuwa na akili kama zako au hata kina bb titi leo tungekuwa wap?Umeelewa ndio maana umekazia!
Sijui kwa nini mwendazake aliyaogopa 😀😀Nimependa jinsi Polisi wanavyoimarisha ulinzi na Usalama
Unahisi umeandika point za maana kumbe utopolo mtupu,tufungue uzi mimi na wewe tujue nani anajua kiswahili vyema!Hata kiswahili hujui utajua kujenga na kujibu hoja wewe. Unafikiri maandamano ya kudai hali bora ya maisha yanafanyika Tanzania tu na yanaongozwa na chadema tu? Watu wa SA wangekuwa na akili kama zako au hata kina bb titi leo tungekuwa wap?
Haya ni matokeo ya kudesa mitihani mkitegemea kazi za kuosha magar hapo lumumba
Sasa nikae nabishana na mtu ambaye anaamini kwamba mtu kudai haki yake ni kumaliza ndala kweli? Yaani hujui hata kwamba kuandamana ni haki ya kikatiba? Hujui kwamba hakuna ajira? Umeme wa shida maji ni tabu? Juzi watu wamepata majanga kwa mafuriko na hayakutangazwa? Mm nifungue uzi wa kubishana na wewe kweli mkuu?Unahisi umeandika point za maana kumbe utopolo mtupu,tufungue uzi mimi na wewe tujue nani anajua kiswahili vyema!