Mwana parokia
Senior Member
- Sep 27, 2023
- 129
- 212
Jibu hoja CHAWA wewe !!Ulikwenda shule kusomea haya uliyoandika!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja CHAWA wewe !!Ulikwenda shule kusomea haya uliyoandika!
yaani hapa ndio umeona umeandika hizo kamasi zote zilizo kichwani umemaliza siwezi kubishana na mtu anekariri!Sasa nikae nabishana na mtu ambaye anaamini kwamba mtu kudai haki yake ni kumaliza ndala kweli? Yaani hujui hata kwamba kuandamana ni haki ya kikatiba? Hujui kwamba hakuna ajira? Umeme wa shida maji ni tabu? Juzi watu wamepata majanga kwa mafuriko na hayakutangazwa? Mm nifungue uzi wa kubishana na wewe kweli mkuu?
Siku ukipata akili ya kutafuta hela mwenyewe ukaacha UMALAYA WA KISIASA ndiyo siku utagundua kuwa TANZANIA tunaihitaji kuungana kuitengeneza .Kwasasa huwezi kuonana Kwa kuwa akili yako imefungwa .Umeamua kuweka vyeti kabatini ilikuendeleza unafiki na UCHAWA uishi .yaani hapa ndio umeona umeandika hizo kamasi zote zilizo kichwani umemaliza siwezi kubishana na mtu anekariri!
Pole sana mkuu kwa makasirikoChadema bwana eti ugumu wa maisha wakati wanatembeza watu wasifanye kazi wao wamejaziana mafuta na tiketi za ndege ndezi zinamaliza ndala na soli!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watanzania au kikundi cha watu wachache watafuna ruzuku watanzania wenye kujielewa wote wapo kwenye mihangaiko yao wanajua serikali hamtulii mtu pesa mfukoni!
Ila mkuu kakuua aisee, kuwa eti umechagua kuwa chawa wakati wenzako hapo Lumumba pesa zinaingia tuUlikwenda shule kusomea haya uliyoandika!
Nchi ipi ambayo raia wake wote wanamaishaa mazuriiii?Kwani kijijini kwenu walikupa tafsiri ya maisha magumu kuwa hautakiwi kuandamana,kutumia vyombo vya usafiri na hata kula chakula?CCM ni maiti mnaopuyanga barabarani.
Kwa hiyo hicho ni kigezo chako kwamba wananchi wanyamaze kwa sababu hata nchi nyingine wapo wenye maisha magumu?Nchi ipi ambayo raia wake wote wanamaishaa mazuriiii?
Haya ndio nini sasa!Ila mkuu kakuua aisee, kuwa eti umechagua kuwa chawa wakati wenzako hapo Lumumba pesa zinaingia tu
Kanywe glass ya maji upumzike!Pole sana mkuu kwa makasiriko
Haya nenda sasa katafute makande makavu ushushie na maji ulale naona unaleta gozi gozi tu!Siku ukipata akili ya kutafuta hela mwenyewe ukaacha UMALAYA WA KISIASA ndiyo siku utagundua kuwa TANZANIA tunaihitaji kuungana kuitengeneza .Kwasasa huwezi kuonana Kwa kuwa akili yako imefungwa .Umeamua kuweka vyeti kabatini ilikuendeleza unafiki na UCHAWA uishi .
Basi tu uwezo mdogo wa kujua siasa na kutojiamini.Sijui kwa nini mwendazake aliyaogopa 😀😀
Sina kiu ya maji, labda ninywe biaKanywe glass ya maji upumzike!
Alimaanisha kuwa wewe umchagua kuwa Chawa wakati wenzako wanapiga pesa hapo LumumbaHaya ndio nini sasa!
Na ww kaingize kama unaona vipi.Wao posho inaingia makao makuu!
Dawa Imekuingia .....!!CHAWA WA MAMA.Haya nenda sasa katafute makande makavu ushushie na maji ulale naona unaleta gozi gozi tu!
Unashinda kijiweni maisha yataacha kuwa magumuKwa hiyo hicho ni kigezo chako kwamba wananchi wanyamaze kwa sababu hata nchi nyingine wapo wenye maisha magumu?
Wote walioandamana huwa wanashinda vijiweni?Unashinda kijiweni maisha yataacha kuwa magumu