Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
tff ni mapuuziKamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imemfungia michezo mitatu na kumtoza faini ya Shilingi 1,000,000 mchezaji wa timu ya Yanga SC, Bernald Morrison kwa kumkanyaga kwa makusudi mchezaii wa Azam, Lusajo Mwaikenda aliyekuwa ameanguka chini wakati wa harakati za kugombea mpira.
Sasa ni rasmi ataukosa mchezo wa watani wa jadi Octoba 23, 2022.
Mechi za ndani au nje?tff ni mapuuzi
Mpaka uongozi wa simba uondoke tff tutaona na kusikia mengiInonga kwa sure boy alikuwa sahihi ndiyo maana hajaguswa
Ambao hawawezi kulipa hawafanyagi utovu wa nidham wa kiasi ikoIzi fine za milion Moja, wachezaji wetu wazawa wataweza kulipa? Isije ikawa unatoa adhabu kwania ya ku mkomoa Fulani kumbe una kundi kubwa la wachezaji wazawa ikiwatokea kosa kama ilo wakashindwa kulipa adhabu.
Ungelalamikia makosa ningekuelewa. Hata wehu jalalani wana kanuni,itakuwa soka?TIMU KILA SIKU INAPIGWA FAINI WACHEZAJI WANAFUNGIWA MSEMAJI ANAFUNGIWA HII NI TIMU AU GENGE LA MAMA JEI AKA KABWILI FC [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji23][emoji2089][emoji23][emoji23][emoji91][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni genge la wakoraTIMU KILA SIKU INAPIGWA FAINI WACHEZAJI WANAFUNGIWA MSEMAJI ANAFUNGIWA HII NI TIMU AU GENGE LA MAMA JEI AKA KABWILI FC [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji23][emoji2089][emoji23][emoji23][emoji91][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamejaa "mavi kwenye chupi zao" Manara a.k.a mlete mdhungu poriTIMU KILA SIKU INAPIGWA FAINI WACHEZAJI WANAFUNGIWA MSEMAJI ANAFUNGIWA HII NI TIMU AU GENGE LA MAMA JEI AKA KABWILI FC [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji23][emoji2089][emoji23][emoji23][emoji91][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisinda atakuwepo....tabu ni ile ileHata wakimfungia taabu iko palepale
TFF wanajua mbn.... mfano mchezaji wa dodoma jiji kapewa faini ya laki 5 tu kisa ushirikina....pia mfano dickson job msimu ulopita alimkanyaga mchezaji wa mbeya City alifungiwa mech 3 na faini ya laki 5 tuIzi fine za milion Moja, wachezaji wetu wazawa wataweza kulipa? Isije ikawa unatoa adhabu kwania ya ku mkomoa Fulani kumbe una kundi kubwa la wachezaji wazawa ikiwatokea kosa kama ilo wakashindwa kulipa adhabu.