Morroco has advanced to round of 16, cha kustaajabisha, imetangazwa kuwa ni timu ya kwanza ya [Arab Nation] kufanya hivyo.

Morroco has advanced to round of 16, cha kustaajabisha, imetangazwa kuwa ni timu ya kwanza ya [Arab Nation] kufanya hivyo.

Nkaburu

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2023
Posts
1,638
Reaction score
1,961
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao.

Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo.


Kwa kuzingatia mashindano ya C.A.F yaliyofanyika hivi karibuni Morroco
290162-logo-caf-morocco700.gif

Na kwa uhalisia kuwa Morroco ipo katika bara la Afrika, ndio nimechanganyikiwa kabisaa.

Niwaulize Wana JF Morroco ni Arab Nation? Je, mashindano ya C.A.F yalifanyika Uarabuni?
 
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao.

Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo.


Kwa kuzingatia mashindano ya C.A.F yaliyofanyika hivi karibuni Morroco
290162-logo-caf-morocco700.gif

Na kwa uhalisia kuwa Morroco ipo katika bara la Afrika, ndio nimechanganyikiwa kabisaa.

Niwaulize Wana JF Morroco ni Arab Nation? Je, mashindano ya C.A.F yalifanyika Uarabuni?
Na hakuna bara linaloitwa Uarabuni....hiyo Arab nation ni kiwakilishi tu cha nchi zinazoendana kiutamaduni na kidini(kiislamu) kutoka bara la Afrika na Asia bila kujali geographic position
 
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao.

Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo.


Kwa kuzingatia mashindano ya C.A.F yaliyofanyika hivi karibuni Morroco
290162-logo-caf-morocco700.gif

Na kwa uhalisia kuwa Morroco ipo katika bara la Afrika, ndio nimechanganyikiwa kabisaa.

Niwaulize Wana JF Morroco ni Arab Nation? Je, mashindano ya C.A.F yalifanyika Uarabuni?
Moroccans identify them selves to be more Arabs than being African, but its not a crime.
 
Na hakuna bara linaloitwa Uarabuni....hiyo Arab nation ni kiwakilishi tu cha nchi zinazoendana kiutamaduni na kidini(kiislamu) kutoka bara la Afrika na Asia bila kujali geographic position
Ahsante kwa kunifafanulia.🙏
 
Hawajakosea Morocco ni Taifa la Kiarabu japo wapo Bara la Afrika
Mimi nilikuwa tayari kushangilia timu tatu kutoka Africa kufikia group of 16, sasa tumebakiwa na timu mbili, yaani Nigeria na South Africa. Morocco ni ya Uarabuni.
 
acheni ujinga vijana, mko very emotionally kwa mambo ya kipuuzi kabisa. Sasa kwani Morocco si waarabu? Na kuwa waarabu ndio kunawafanywa wasiwe waafrica?
Africa ni bara kwahiyo kila aliekuemo ndani ya bara la Africa ni Muafrica, hata wale makaburu wa south nao ni waafrica.
Uarabu ni ethnic kama ilvyo kwa bantu, red Indians. na wengineo.
Munatakiwa mutafautishe kati ya waAfrica na waBantu. mukiwezo kutofautisha basi hamtaweza kupata shida.
 
Morocco ni nchi ya kiarabu, ila ipo barani Africa.
🙏
Sasa kulikuwa na tabu gani kusema (African Nation) Hatahivyo nimeambiwa hakuna bara la Uarabuni, Uarabuni ni wapi?
Mbona Wajamaica wasitangazwe 'from African nation'
 
Ni sawa na kusema first nation from sub Saharan Africa.
Arab sio bara wala nchi. Wangesema Asia hapo sawa.
 
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao.

Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo.


Kwa kuzingatia mashindano ya C.A.F yaliyofanyika hivi karibuni Morroco
290162-logo-caf-morocco700.gif

Na kwa uhalisia kuwa Morroco ipo katika bara la Afrika, ndio nimechanganyikiwa kabisaa.

Niwaulize Wana JF Morroco ni Arab Nation? Je, mashindano ya C.A.F yalifanyika Uarabuni?
Sioni kama kuna shida manake kiasili na tamaduni wao ni wa Arab, ila ki bara ni wa Africa.
 
Back
Top Bottom