Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

Hata Mimi nimeshangaa sana sio Jaji wala Mawakili wa Serikali wanaolitaja hilo jina aisee. Wakina Kibatala wanajitahidi kuchomeka jina linatajwa lakini Jaji na Mawakili wa Serikali wanajifanya hawajalisikia.

Na hawafanyi hivyo kwa bahati mbaya, bali wanajua kesi inaanza kwenda pabaya kuliko madhalimu wa serikali walivyotegemea.
 
NINI KILIKUWA KINAENDELEA JESHINI?
Je ndani ya jeshi kulikuwa na fukuto kuhusu mustakabali wa nchi kuendelea kutawaliwa na CCM?

Hii kesi inaibua mengi mtambuka kuhusu wanajeshi kuwekwa mahabusu na kuteswa
Ukisikiliza vizuri pasipo kuegemea upande utajua haya
1. Kuna Komandoo kadhaa wamefutwa kazi jeshini.
2. Kuna wanajeshi wanashiliwa kwenye vituo maalum vya polisi.
3. Kuna Komandoo hupelekwa kushughulika na komando walioondolewa na wanashiliwa vituo vya polisi.
1.Unaweza kuhisi kuwa muda fulani kulikuwa na dalili za uasi wa kijeshi
2. Waskari hawa wa kijeshi walijiunga vyama vya siasa na kuanza kutumiwa.
3. Kuna uchunguzi wanaweza uwe wa kweli au la umegundua ikiwa kweli au sio kulikuwa na njama za UGAIDI kwa kutumia wanajeshi walioondolewa.

Hivyo kesi hii sio rahisi kiasi kuanza kuwalaaani akina Kingai au kuwaonea akina Adamoo.
Kunaonekana wengine kupotezwa inaweza kuwa kwa wema au kwa ubaya
 
Hii kesi itawafungua macho wengi. Kituo cha polisi TAZARA mkuu wake ana hadhi sawa na RPC . Kuna watu wengi sana wame***** pale, natumaini siku moja yaliyopo gizani yatamulikwa.
Sasa tumeelewa maana ya zile maiti za kwenye viroba, hawa MASHETANI wameua watu wengi sana.
 
Ukisikiliza vizuri pasipo kuegemea upande utajua haya
1. Kuna Komandoo kadhaa wamefutwa kazi jeshini.
2. Kuna wanajeshi wanashiliwa kwenye vituo maalum vya polisi.
3. Kuna Komandoo hupelekwa kushughulika na komando walioondolewa na wanashiliwa vituo vya polisi.
1.Unaweza kuhisi kuwa muda fulani kulikuwa na dalili za uasi wa kijeshi
2. Waskari hawa wa kijeshi walijiunga vyama vya siasa na kuanza kutumiwa.
3. Kuna uchunguzi wanaweza uwe wa kweli au la umegundua ikiwa kweli au sio kulikuwa na njama za UGAIDI kwa kutumia wanajeshi walioondolewa.

Hivyo kesi hii sio rahisi kiasi kuanza kuwalaaani akina Kingai au kuwaonea akina Adamoo.
Kunaonekana wengine kupotezwa inaweza kuwa kwa wema au kwa ubaya
Wewe MA.TTACKO kuna kosa lolote kwa Mwanajeshi kuwa mlinzi binafsi wa kiongozi wa upinzani? Hivi mkiwa huko CCM basi akili zenu mnaziweka m.ku.nduni eti?
 
Wewe MA.TTACKO kuna kosa lolote kwa Mwanajeshi kuwa mlinzi binafsi wa kiongozi wa upinzani? Hivi mkiwa huko CCM basi akili zenu mnaziweka m.ku.nduni eti?
Kua mpole Kijana
 
Wewe MA.TTACKO kuna kosa lolote kwa Mwanajeshi kuwa mlinzi binafsi wa kiongozi wa upinzani? Hivi mkiwa huko CCM basi akili zenu mnaziweka m.ku.nduni eti?
Kurfeeliue.
Elimu yako haijakusaidia labda kuvukia barabara.
Unadhani wote tunashabikia ushamba wenu wa uccm na ucdm.
Tafakari. Usitumie muda wote M..k.u.ndoo
 
Kurfeeliue.
Elimu yako haijakusaidia labda kuvukia barabara.
Unadhani wote tunashabikia ushamba wenu wa uccm na ucdm.
Tafakari. Usitumie muda wote M..k.u.ndoo
Bo.gus wewe, tunajadili UHARAMIA wa mapolisi ya CCM wewe unatetea mauaji? Puumbavu
 
Naona unaombea yale aliyotaka kuyafanya Mbowe. Wewe huna tofauti na Mbowe, maana unataka kuleta total anarchy and chaos. Tatizo lako wewe ni muoga. Unataka watu wengine ndiyo wakufanyie huo ugaidi. Kitu kama hicho hakitatokea TZ. Na Mbowe atailamba miaka, huenda akaozea jela. Nasikia jela huko kuna mabauncer, mwambie awe na chupi ya chuma.

Kuna waliokuwa wanaongea kwa jeuri, kibri na dharau kubwa kama wewe lakini leo wako wapi? Allah ni fundi sanaaa....
 
..huwezi kuisikiliza kijeshi.

..wanaoshtakiwa ktk mahakama za kijeshi ni askari ambao wako ktk utumishi wa jeshi.

..Na baadhi ya watuhumiwa ktk kesi ya ugaidi ambao inasemekana waliachiswa kazi kwa makosa ya kinidhamu, maana yake ni kwamba walishtakiwa ktk mahakama za kijeshi na kukutwa na hatia.
Luteni Urio mmemficha wapi? Kwanini asiletwe Mahakamani kama bado yuko hai? CCM ndio magaidi wa nchi hii.
 
Bo.gus wewe, tunajadili UHARAMIA wa mapolisi ya CCM wewe unatetea mauaji? Puumbavu
We mjinga tu. Upumbavu umekujaa kishabiki. Kati ya hao polisi na Watuhumiwa nani anasema kwa kinywa chake anasema uongo.
Hujui kuwa hujui ndio tatizo.
Kama Ruling tayari kesi inaendelea ya nini?
Nani amekuambia kuwa hao akina Adamoo ni askari walio kazini?
Unaaminije kuwa akina ACP waliwakuta na na madawa?.
Umeambiwa Urio walimuona. Una uhkika wee farasi.
Kama uko on heat kapigwe mbegu.

Unasikiliza kesi ukiwa na maaamuzi. Ndorooobo
 
Mi ninachojiuliza why wawabadili majina lengo lao nini?
Ndugu zao wasijue wako kituo gani. Umesahau pale mtu anapovamiwa na NOA nyeusi na kutoweka naye na ndugu wakimtafuta kila kituo wanaambiwa hapa hayupo?
 
Kwani unadhani Hamza aliwatandika risasi Polisi waliomdhulumu? Polisi wema ni wachache sana.
Apumzike kwa amani jembe Hamza! Yaan wamefika nimeshika simu mkononi, nimeisahau kidogo mezani akati wanajidai kuzunguka umu ndani tayari washachukua na wakazima,
 
We mjinga tu. Upumbavu umekujaa kishabiki. Kati ya hao polisi na Watuhumiwa nani anasema kwa kinywa chake anasema uongo.
Hujui kuwa hujui ndio tatizo.
Kama Ruling tayari kesi inaendelea ya nini?
Nani amekuambia kuwa hao akina Adamoo ni askari walio kazini?
Unaaminije kuwa akina ACP waliwakuta na na madawa?.
Umeambiwa Urio walimuona. Una uhkika wee farasi.
Kama uko on heat kapigwe mbegu.

Unasikiliza kesi ukiwa na maaamuzi. Ndorooobo
Kama yote hayo huna majibu yake, umekuja hapa kufanya nini sana wewe mattacko? Bora ungelifunga tu hayo MASABURI yako.
 
Kama yote hayo huna majibu yake, umekuja hapa kufanya nini sana wewe mattacko? Bora ungelifunga tu hayo MASABURI yako.
Sibishani na mtu yuko kwenye hedhi, si tatizo lako ni hormone imbalance.
Am done
 
Sibishani na mtu yuko kwenye hedhi, si tatizo lako ni hormone imbalance.
Am done
Kama hujui jambo lolote usijifanye KIHERERE kuandika mambo usiyoyajua, UNAWASHWA WASHWA?
 
Back
Top Bottom