Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Bora hata ya Gaidi kuliko wewe uzao wa watwana wa Sultan wa Oman.nigaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata ya Gaidi kuliko wewe uzao wa watwana wa Sultan wa Oman.nigaidi
What if kama lengo ni kutaka kupoteza uwezekano wa kupata taarifa sahihi za mtu endapo atapatiwa mateso na kuzidiwa au hata kupelekea kifo chake.Ukifuatilia toka mwanzo Adamo alisema wanapobadilishwa vituo hulazimishwa na kupewa majina tofauti na majina yao halisi so unaweza kukuta huyo Moses lijenje ni katika mlolongo huo
Lakini Moses hakuwahi kupelekwa mahabusu... Labda walitupa juu kwa juu!Ukifuatilia toka mwanzo Adamo alisema wanapobadilishwa vituo hulazimishwa na kupewa majina tofauti na majina yao halisi so unaweza kukuta huyo Moses lijenje ni katika mlolongo huo
Hii itapelekea mageuzi makubwa kwenye muundo na uendeshajo wa polisi na hatimae uonevu utakoma na hata katiba mpya itapatikana.Duh 🙄 hii kesi nadhani inaweza kutupeleka kusiko tarajiwa.
Killers are disorganized. Hod has revealed.Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Hawa jamaa wana nguvu kubwa kwenye magenge hayo. Watu wenye uwdzo wa kumficha mtu kwenye magereza( bila kufata utaratibu wa kuhifadhi watuhumiwa) na wasiulizwe tena katika magereza tofauti tofauti ni watu wa hatari sana.Hivi hatuwezi kuwabana hawa Mahita na Kingai wakatuonesha Ben Saanane alipo.Hisia zina tuma kuwa jamaaa wanajua kila kitu
Inawezekana hakutupwa vilevile Ila kutupwa ikawa ilikua sehemu yakutishia wengine wakili ubunifu wakipolisi dhidi ugaidi wamboweGood observation. I asked my self the same questions...Tusubiri wenye insights kama wapo.
Kwani Mahita baba alikuwajeMzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Hii kesi isikilizwe kijeshi tu.raia wasiwepo.
Ingawa hao makomando baada ya kutoka jeshini.
Kesi siyo ya mahakama; mwenye kesi ni serikali, yaani Rais. Kazi ya mahakama ni kupokea kesi na kuisikiloza. Wakati wowote mwenye kesi, yani serikali akiamua hataki kuendelea anaiarifu mahakama kesi inafutwa.Kwanza, unamuomba rais kuingilia mahakama. Kama Mbowe na wenzake hawana hatia, ni kazi ya mahakamas kuamuwa kuwa hawana hatia. Je, kumshauri raisi aingilkie huo ni utawala bora. Kwani wewe una wasiwasi gani? Kama Mbowe hakutenda kosa la ugaidi, ataachiwa.
Umewaza kama mimiMimi sasa nimekua na hofu hata na kibatala,,,apewe ulinzi naona kabisa hii kesi ikiisha yupo hatarini
Mahita mkubwa mwenyewe amejaa laanaMzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Ndiyo maana watuhumiwa wengi wanafia mahabisu mikononi mwa polisi.Kama makomandoo wa jeshi wanafanyiwa hivi,ni nani anaweza kusema yupo salama dhidi ya hii regime?
Sikio la kufa busara nyuma.Duh 🙄 hii kesi nadhani inaweza kutupeleka kusiko tarajiwa.
karithi roho ya baba yake wanadaiwa malita ya damu na MuumbaUmemaliza lazima Mahita anajua aliko Ben saa8