Mama ameacha mahakama iamue, kitu ambacho naona amefanya vema. Muhimu ni mahakama itende haki.Hii kesi badala ya kuleta amani uraiani kwa kuwafungia gaidi mbowe na wenzake inakoelekea italeta machafuko nchini, kwa sababu hii kesi inaeleweka ni ya kisiasa, sasa haya mambo ya jeshi la polisi kuanza kuonekana linaua watu litawaletea shida hawa askari huku vituoni kwao mitaani.
huyu mama wa kizanzibar nimeishasema afute hii kesi, haya mambo ya askari kuua watu yalikuwa awamu ya tano huko, sasa hawa kina kingai wanataka kuanza kuyaambatanisha na awamu ya sita.
Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Usiumize kichwa chako na huyo empty set kichwaniHana wizi shoga angu ilikuwa jambo linaeleweka kabisa ila wao wakaiba.....kaguzi zote wanazofanya kwa watu pale inapohitajika huwa ni kwa sababu ya wizi? Kina mbowe walipokwenda kukaguliwa kwao mbowe huwa ni mwizi au wanatafutia watu sababu
Wamemtupa jamaa yetu simple tu ,inaumiza sanahii kesi itavurumua mengi.... ndugu wa Moses Lijenje wakisikia haya litakuwa jambo lingine jipya.
Huyo ndiyo ID ya gaidi jumanne kweli au umeotea tu?Sawa Jumanne, ila siku ukiwa unaulilia uhai wako siku izrael akikufikia utatamani kuyakana haya japo nafasi hutakuwa nayo tena. Mwenzako aliyekuwa anawatuma alikuwa na jeuri ya hii hii ila Muulize aliko kama ile nafasi ya kuongoza malaika aliikuta bado iko wazi.
Kwa hapa itabidi wajitafakari sana ,hasa kikosi cha KJ 92 hapo NgerengereHawa police wanawezaje kuwatesa wanajeshi Hadi wengine kuwafanya kama Moses Lijenje? Wanajeshi wenzao wanajisikiaje tunapotangaza maandamano wao wanaamua kutangaza kufanya usafi?
Huyu hajawa chizi kweli?Zombe yupo anaweweseka aliyotenda
Hamza alifanya jambo la kishujaa sana.Apumzike kwa amani jembe Hamza! Yaan wamefika nimeshika simu mkononi, nimeisahau kidogo mezani akati wanajidai kuzunguka umu ndani tayari washachukua na wakazima,
Ndugu wanasemaje,hayupo?
Huyu Goodluck awekwe wazi tumjueMoses katajwa tena asubuhi hii... shuuli ni pevu sana hii.
Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?
Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Zaidi ya yote mtu unatakiwa kujiuliza kwa nini wanajeshi wametumika hapa na wamekamatwa na most of them ni Komando kwanini komando? kulikuwa na tishio gani la usalama kwa mbowe mpaka alindwe na komando au Komando wahusike kwenye chama cha siasa?Kwanza, unamuomba rais kuingilia mahakama. Kama Mbowe na wenzake hawana hatia, ni kazi ya mahakamas kuamuwa kuwa hawana hatia. Je, kumshauri raisi aingilkie huo ni utawala bora. Kwani wewe una wasiwasi gani? Kama Mbowe hakutenda kosa la ugaidi, ataachiwa.
Siunajua UN,Umoja wa ulaya ,British ,cordic countries wanamumulika muda wote kazi yakusomage kiswahili eti uwe mwl ,mwenyekiti tu wakijiji akikuita unawaza mengi.....mjifatilie mnaweza kua wengi nashida ya unyonge Kama babu yako kabudi
Kuishi vibaya duniani nawatu itakupelekea kufa kwatabu unaoza kitandani nahufiMahita na kingai watakufa kifo km cha firauni
Na matarajio yetu yalikuwa ni zaidi ya 'mitano', tena; pengine ingekuwa 25 au zaidi kama kule kwa M7 na Kagame!Duh 🙄 hii kesi nadhani inaweza kutupeleka kusiko tarajiwa.
Kwani hukumbuki Mahita na Mwembe Chai?Mzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Luteni Urio mmemficha wapi? Kwanini asiletwe Mahakamani kama bado yuko hai? CCM ndio magaidi wa nchi hii.
Urio ndio alikuwa awe Shahidi namba moja wa Jamhuri,lakini ghafla hajaletwa Mahakamani,kuna kitu sio bure...Lt.Urio naye ataitwa mahakamani.
..Maana madai yao ni kwamba Urio alipigiwa simu ili atafute makomandoo wa kufanya ugaidi.
Kinachoendelea ni kuwa polisi wanafanya operesheni ya kuwafyeka makomandoo wanaoshiriki mission za kimataifa!Halafu jaji kashausoma mchezo, hivyo hataki kabisa kumtaja huyo Lijenje maana anajua itakuwa dhahama. Hawa vyombo vya dola kwani ndio hasa waliokuwa wanajiita watu wasiojulikana. Na kundi hili liliasisiwa kipindi cha JK, na lilikuja kupewa nguvu kubwa sana na Magufuli.