Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Mzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Dogo mwenyewe amesoma mambele alikua anataka kuwa mfanyabiashara ila mzee ndo alilazimisha aingie PolishMzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Na laki3 za Lingwenyamimi mpaka majuzi hawa kina kingai nilikuwa nafikiria tu wamrudishie adamoo laki mbili hamsini zake walizochukua, kumbe wanachukua na roho za watu... sasa hapa nimechoka kabisa
Usimsahau kuna Jumanne piaKwa mwenendo wa ushahidi magaidi inaonekana ni kina Kingai ,Mahita ,Goodluck na polisi wengine
huko nje alimaliza shule kweli, sababu sasa hizi kazi si kama za wale maaskari, mabounser, walevi, no education no career, unajua hapa tunazungumzia mauaji sasa. yaani mtu analipwa kuuwa watu.Dogo mwenyewe amesoma mambele alikua anataka kuwa mfanyabiashara ila mzee ndo alilazimisha aingie Polish
Probably ndo aliyeset mitambo aingie CT huko
lingwenya nae walichukua kilo tatu? hawa askari vibaka? mbona inakua aibu mwanzo mwisho sasa?Na laki3 za Lingwenya
Huyu jumanne ndiyo yule dereva?Usimsahau kuna Jumanne pia
Ni mmoja wapo ya walinzi wa mboweWakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Amemaliza vizur tu. Muulize TID Na GK wanamfahamu vizur mshkaj waohuko nje alimaliza shule kweli, sababu sasa hizi kazi si kama za wale maaskari, mabounser, walevi, no education no career, unajua hapa tunazungumzia mauaji sasa. yaani mtu analipwa kuuwa watu.
Sio Dereva ni Ghost katika hii kesi ila amehusika sana. Yuko kituo cha polisi Usa River ni mkuu wa upelelezi wilayaHuyu jumanne ndiyo yule dereva?
Director wa hii movie ametengeneza movie ya kihindi imejaa mistakes nyingi.Yapo mengi.
Kumbuka pia tuliambiwa muuza mechi alikuwa ni poti - Luteni Urio.
Kumbe Luteni Urio alikuwa ni mmoja wa waliokuwa wakiteswa Tazara na mahabusu pendwa Tazara na pia kule Mbweni.
Kumbe basi hadithi za Kingai kuitwa kwa DCI kuwa Urio alikuwa na taarifa za magaidi zinaweza kuwa ni hadithi zingine kama za sungura na fisi.
Hahahhaaa inasikitishalingwenya nae walichukua kilo tatu? hawa askari vibaka? mbona inakua aibu mwanzo mwisho sasa?