Moses Machali, bila kutumia busara za kiuongozi, anguko lako la kisiasa litatokea Bukoba. Samia anataka majadiliano, wewe umefunga maduka Wilaya nzima

Moses Machali, bila kutumia busara za kiuongozi, anguko lako la kisiasa litatokea Bukoba. Samia anataka majadiliano, wewe umefunga maduka Wilaya nzima

Moses Machali anafanya Siasa au uongozi wa kitoto kitoto. Viongozi hukaa na kusikilizana na kushauriana. Huyu anaenda kwa viongozi anaanza kuwatukana na kuwadharau, hajui humo ndani ndio Kuna kura za wananchi, wakiamua kukichafua, hiyo kagera ataiona ya moto

Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa wananunuliwa na awamu Ile. Wamezoea kufanya ubabe kwa wafanyabiashara ili wapate chochote. Ni aina ya Sabaya, anatisha wafanyabiashara ili wampe chochote

Sioni mantiki ya kufunga maduka Bukoba nzima kisa madai ambayo kwa maelekezo ya Rais, anataka wafanyabiashara na Serikali wajadiliane.

Mkuu wa Wilaya kafikia hatua ya kumtukana Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya kwamba yeye si chochote serikalini na hawezi kumfanya lolote. Yaani unamtukana kiongozi mbele ya anaowaongoza? Kwanini usitumie vikao rasmi? Tunajua ulikuwa na mtu umepanga awe Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, ndio anakutumia kumchafua huyu.

Anawatukana madiwani kwamba Wana cheap politics. Anaongea kwa dharau kubwa sana.

Haya ndio matunda ya kuokota majitu huko Chadema na kuyapa uongozi. Yamezoea kutukanana mitandaoni na uhuni uhuni tu. Hayana maadili ya uongozi.

Nashauri CCM Kagera iingie katika vita vya msituni dhidi ya Machali.

Machali, Machali, Machali, nimekuita mara tatu.... ngoja mkeka utoke

Please Machali hakua CHADEMA, alikuwa NCCR Mageuzi akahamia ACT Wazalendo.
 
Moses Machali anafanya Siasa au uongozi wa kitoto kitoto. Viongozi hukaa na kusikilizana na kushauriana. Huyu anaenda kwa viongozi anaanza kuwatukana na kuwadharau, hajui humo ndani ndio Kuna kura za wananchi, wakiamua kukichafua, hiyo kagera ataiona ya moto

Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa wananunuliwa na awamu Ile. Wamezoea kufanya ubabe kwa wafanyabiashara ili wapate chochote. Ni aina ya Sabaya, anatisha wafanyabiashara ili wampe chochote

Sioni mantiki ya kufunga maduka Bukoba nzima kisa madai ambayo kwa maelekezo ya Rais, anataka wafanyabiashara na Serikali wajadiliane.

Mkuu wa Wilaya kafikia hatua ya kumtukana Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya kwamba yeye si chochote serikalini na hawezi kumfanya lolote. Yaani unamtukana kiongozi mbele ya anaowaongoza? Kwanini usitumie vikao rasmi? Tunajua ulikuwa na mtu umepanga awe Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, ndio anakutumia kumchafua huyu.

Anawatukana madiwani kwamba Wana cheap politics. Anaongea kwa dharau kubwa sana.

Haya ndio matunda ya kuokota majitu huko Chadema na kuyapa uongozi. Yamezoea kutukanana mitandaoni na uhuni uhuni tu. Hayana maadili ya uongozi.

Nashauri CCM Kagera iingie katika vita vya msituni dhidi ya Machali.

Machali, Machali, Machali, nimekuita mara tatu.... ngoja mkeka utoke
Naona umeguswa chembe YA Moyo Tulia hivyo hivyo dawa iwaingie maana mmezid kusifu Na kusujudia
 
Moses Machali anafanya Siasa au uongozi wa kitoto kitoto. Viongozi hukaa na kusikilizana na kushauriana. Huyu anaenda kwa viongozi anaanza kuwatukana na kuwadharau, hajui humo ndani ndio Kuna kura za wananchi, wakiamua kukichafua, hiyo kagera ataiona ya moto

Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa wananunuliwa na awamu Ile. Wamezoea kufanya ubabe kwa wafanyabiashara ili wapate chochote. Ni aina ya Sabaya, anatisha wafanyabiashara ili wampe chochote

Sioni mantiki ya kufunga maduka Bukoba nzima kisa madai ambayo kwa maelekezo ya Rais, anataka wafanyabiashara na Serikali wajadiliane.

Mkuu wa Wilaya kafikia hatua ya kumtukana Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya kwamba yeye si chochote serikalini na hawezi kumfanya lolote. Yaani unamtukana kiongozi mbele ya anaowaongoza? Kwanini usitumie vikao rasmi? Tunajua ulikuwa na mtu umepanga awe Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, ndio anakutumia kumchafua huyu.

Anawatukana madiwani kwamba Wana cheap politics. Anaongea kwa dharau kubwa sana.

Haya ndio matunda ya kuokota majitu huko Chadema na kuyapa uongozi. Yamezoea kutukanana mitandaoni na uhuni uhuni tu. Hayana maadili ya uongozi.

Nashauri CCM Kagera iingie katika vita vya msituni dhidi ya Machali.

Machali, Machali, Machali, nimekuita mara tatu.... ngoja mkeka utoke
Aisee. Yaani CCM, chama tawala, iingie msituni dhidi ya mtawala kutafuta haki? 🤣🤣
 
Mbowe anaumwa sana, tezi dume liko hatua za mwisho, ameenda marekani kujaribu kuokoa maisha
Kumbe wewe ndiye nyumba ndogo ya Mbowe !!! Kwa hiyo alikuwa hakuweki kitu sawa sawa ndiyo ukamshauri akatibiwe ili akirudi akufokoe vizuri
 
Moses Machali anafanya Siasa au uongozi wa kitoto kitoto. Viongozi hukaa na kusikilizana na kushauriana. Huyu anaenda kwa viongozi anaanza kuwatukana na kuwadharau, hajui humo ndani ndio Kuna kura za wananchi, wakiamua kukichafua, hiyo kagera ataiona ya moto

Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa wananunuliwa na awamu Ile. Wamezoea kufanya ubabe kwa wafanyabiashara ili wapate chochote. Ni aina ya Sabaya, anatisha wafanyabiashara ili wampe chochote

Sioni mantiki ya kufunga maduka Bukoba nzima kisa madai ambayo kwa maelekezo ya Rais, anataka wafanyabiashara na Serikali wajadiliane.

Mkuu wa Wilaya kafikia hatua ya kumtukana Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya kwamba yeye si chochote serikalini na hawezi kumfanya lolote. Yaani unamtukana kiongozi mbele ya anaowaongoza? Kwanini usitumie vikao rasmi? Tunajua ulikuwa na mtu umepanga awe Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, ndio anakutumia kumchafua huyu.

Anawatukana madiwani kwamba Wana cheap politics. Anaongea kwa dharau kubwa sana.

Haya ndio matunda ya kuokota majitu huko Chadema na kuyapa uongozi. Yamezoea kutukanana mitandaoni na uhuni uhuni tu. Hayana maadili ya uongozi.

Nashauri CCM Kagera iingie katika vita vya msituni dhidi ya Machali.

Machali, Machali, Machali, nimekuita mara tatu.... ngoja mkeka utoke
Sasa hivi utamsikia chali
 
Moses Machali anafanya Siasa au uongozi wa kitoto kitoto. Viongozi hukaa na kusikilizana na kushauriana. Huyu anaenda kwa viongozi anaanza kuwatukana na kuwadharau, hajui humo ndani ndio Kuna kura za wananchi, wakiamua kukichafua, hiyo kagera ataiona ya moto

Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa wananunuliwa na awamu Ile. Wamezoea kufanya ubabe kwa wafanyabiashara ili wapate chochote. Ni aina ya Sabaya, anatisha wafanyabiashara ili wampe chochote

Sioni mantiki ya kufunga maduka Bukoba nzima kisa madai ambayo kwa maelekezo ya Rais, anataka wafanyabiashara na Serikali wajadiliane.

Mkuu wa Wilaya kafikia hatua ya kumtukana Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya kwamba yeye si chochote serikalini na hawezi kumfanya lolote. Yaani unamtukana kiongozi mbele ya anaowaongoza? Kwanini usitumie vikao rasmi? Tunajua ulikuwa na mtu umepanga awe Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, ndio anakutumia kumchafua huyu.

Anawatukana madiwani kwamba Wana cheap politics. Anaongea kwa dharau kubwa sana.

Haya ndio matunda ya kuokota majitu huko Chadema na kuyapa uongozi. Yamezoea kutukanana mitandaoni na uhuni uhuni tu. Hayana maadili ya uongozi.

Nashauri CCM Kagera iingie katika vita vya msituni dhidi ya Machali.

Machali, Machali, Machali, nimekuita mara tatu.... ngoja mkeka utoke
Bwana Machale Hana fadhila huyo Kule Nanyumbu Mtwara,alifumainiwa na Mke wa Askari,DED wake wa wakati huo bwana Dammbaya akaingilia Kati akalipa mil kumfichia aibu.

Matokeo yake baadae akamtengenezea bifu kubwa tu na kuomba ukaguzi Maalum kwa zaidi ya mara tatu ili mwenzie aondolewe
 
Eeehh, atamuacha Dada mrembo, mweupe, Kadole Kilugala, ila kama hajipendi ajaribu, pale ni maji marefu
Bwana Machale Hana fadhila huyo Kule Nanyumbu Mtwara,alifumainiwa na Mke wa Askari,DED wake wa wakati huo bwana Dammbaya akaingilia Kati akalipa mil kumfichia aibu.

Matokeo yake baadae akamtengenezea bifu kubwa tu na kuomba ukaguzi Maalum kwa zaidi ya mara tatu ili mwenzie aondolewe
 
Back
Top Bottom