Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

🤣🤣🤣🤣 Hatari so unapiga bei. Usifanye hivyo bwana. Nakubaliana na wewe kuwa malezi siku hizi ni ya hovyo kabisa ndio maana tunaishia kuwa na watoto wa hovyo. Sasa litoto mpaka linakuwa lilevi wewe mzazi upo wapi?

Kama una mihela mzee ya kuwajengea watoto wajengee tuu bila shida. Suala la wao kuuza wakati wee umeshakuwa six feet under lisikupe tabu maana kwanza hutajua hilo maana upo kwenye ulimwengu wa wafu
 
Jeshi la Polisi limeufukua Mwili huo leo tarehe 09-01-2022 katika kata ya Rau baada ya kumhoji binti huyo Kwa zaidi ya wiki mbili sasa Kisha kukiri kumchinja mama yake Kwa panga na kumfukia nyumbani hapo.
Mungu Wangu!!!!
 
No mchagga
 
Hiyo familia haina damu ya kichaga baba alikua mwarabu koko,mama nae shombe,ni wahamiaji hao
 
Mmmh. Kisa tu umeona nesi??
 
Hao waarabu koko wahamiaji,yani familia inaambiwa mama kaenda kutibiwa india,mwaka mzima hawajui yuko wapi?hiyo familia wanatatizo...familia zenye mshikamano wanagundua hilo jambo haraka yani wiki tu
 
Na yule dada aliyemwasha petrol mchumba wake hapa dar...
 
Ni uchoyo wa kipuuzi ,kama ushawahi soma kitabu cha "The richest man in Babylon"utaona Arkad, anampatia mwanae hela za kusimama kiuchumi ,wahindi na waarabu wapo hivyo pia.wazazi wakibongo ni wachoyo mno...
Vipi yupe dogo bonge wakichaga clip inasambaa amefungwa pingu alienda iba na kenta kabisa dukani kwa baba yake ILHALI BABA ALISHAMFUNGULIA BIASHARA YAKE ..ila akaona akaibe na kwa baba??
 
Hata Donald Trump alipewa hela na dingi yake Dola milioni mbili aanze biashara japo ulikuwa mkopo usio na riba wala muda maalum wa kulipa.
Wazaz wanafanya sana haya kwa watoto wao...ILA NI KWA WATOTO WENYE AKILI...ukiwa zwazwa baba hakupi kitu...anajua utapoteza tu mtaji wake...
 
Eti ni watafutaji, na walipoguswa kuua waume zao ili warithi mali wazazi wao walisimama kidedea kuwatetea Sasa wamegeukiwa wao, punguzeni tamaa hii sasani aibu mmezidi khaaa
Baba mwarabu koko mama alikua chotara wa kizungu kwababa na mama mchaga...basi alaumiwe mwarabu koko sio wachaga,nenda huko kanda ya ziwa hakuna wiki husikii mauaji,nao watakua wachaga
 
Wewe jua laana inatafun vizazi

Kwahiyo kama unacholopoa mimbaza watu huko hospitalini ujue UTALIPA
Ndo maana nasema kuwa wewe una down syndrome kali kabisa.

Una ushahidi wowote kuwa marehemu alikuwa anashiriki uhalifu wowote wa kimatibabu huko kazini kwake?

Au wewe unatumia kasumba kwamba polisi mmoja akikuzabua baso woote ni wazabuaji?

Acha kutetea mauaji. Kiu yako ya damu inaweza kusababisha maafa kwa familia yako. Unaweza kuua wewe ukisema unamsaidia Mungu kutekeleza hukumu yake.

Tutolee ujinga hapa
 
Wewe jua laana inatafun vizazi

Kwahiyo kama unacholopoa mimbaza watu huko hospitalini ujue UTALIPA
Inaonesha wewe una ujamaa na huyo binti muuaji. Sasa unatapatapa mitandaoni kusaka ushahidi wa kimazingira ili kumnasua muuaji mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…