Nimeoa mpare.Vipi wapare na wao ni kama wachaga au wapo tofauti kuhusu kupenda mali kuliko utu,naomba muongozo tafadhali
Sikatai kuna watoto mizinguo kinoma, ila asilimia nyingi wanabaniwa.Mzazi hataki sikia shauri la mwanae ,kisa kakusomesha....Vipi yupe dogo bonge wakichaga clip inasambaa amefungwa pingu alienda iba na kenta kabisa dukani kwa baba yake ILHALI BABA ALISHAMFUNGULIA BIASHARA YAKE ..ila akaona akaibe na kwa baba??
Alikuwa anasema ukweli kwani palikuwa kwako?Kuna kitu nitakielezea kidogo kwenye hizi issues za vijana kuua mama zao unaeza kuona mauaji mengi yanatokea kwa kina mama zaidi ushajiuliza ni kwann zaidi ya kusema ni tamaa ya mali na roho mbaya? mm nimeishi na mama yangu sana nakumbuka kipind flan alikua ananiambia hapa sio kwako tukizeeka tutauza hii nyumba nikiwa yanki unadhan kweny nafsi ananitengenezea nini zaidi ya chuki?
Waachieni Mali zao wametafuta wenyeweHalafu akina mama wengi wabinafsi balaa sijui kwa nini?
Kaka unakuta mtoto siyo mvivu, ana pambana haswa,yaan ni kupewa support tuu na tena mzazi unakuta siyo masikini mali anazo.Kwanini usimpatie start point mwanao ? Kama siyo uchoyo ni nini hasa ?Tafuta vya kwako boss..nature hua inaamua kukupa mali,baba yako aneza kupa ukakaa nazo 1yr zikaisha au wewe ukaziachaa..angalia wote walizozichukua kwa nguvu kwa wazazi wao hawatoboi hata three years wanakamatwa.
Ushauri tuu acha uvivu toka kwenye comfort zone pambana kutafuta vyako,ukikwama muombe mzazi au ndugu support wasipokupa poa tuu endelea kupambana na ukizipata usilipe baya kwa baya,watendee mema kuliko wanavyofikiria.
Utabarikiwa na Mungu.
TOKA HAPO ULIPO KAPAMBANEE
Tafuta zako achana nae huyoKuna baadhi ya wamama wana ubinafsi sana.
Mimi mama yangu alikuwa ana appartments kibao. Na akastaafu akapata mafao mazuri tu. Ila hatoi mtaji kwa yeyote. Yeye anapenda kutegemewa tu siku zote na sifa. Kanisani sadaka anatoa mamilioni ila wewe mwanae ama ndugu akikupa pesa ni kidogo ya kula tu sio mtaji na lazima iwe na matangazo kwa ndugu wengine wote.
MmhhhhSikatai kuna watoto mizinguo kinoma, ila asilimia nyingi wanabaniwa.Mzazi hataki sikia shauri la mwanae ,kisa kakusomesha....
Kuna mahali umeona nimeandika kabila lakoKabila langu unalijua wewe au unaropoka? Hao wachaga wamekuulia ndugu zako? Au wameua bibi vizee wa ukoo wenu? Au wamewachuna ngozi wajomba zako? Poor thinking and high level of stupidity.
Pana wachagaHapo Rau pana nini hasa ,mbona mbege sio pombe mbaya
Unataka nani amwajiri mwanao? Na wenyewe wapo busy na watoto zao.Tafuta zako,kwanza mimi mtoto akimaliza chuo simtaki nyumbn.
Tafuta zako achana nae huyo
Kuna mahali umeona nimeandika kabila lako
Acha kushupaza shingo ng'ombe wewe
Msumari umekita kunako
Takoring wahed
Kabila lenu wauaji
Kaa kwa kutulia
Kwani kina adamo,lijenje walikua wachagaPana wachaga
Halafu wauaji wa wazazi wao
Ndio maana marehemu Proffeser mmoja wa udsm (alikuwa mtu wa kuuza sana sura kwenye TV) alikuwa hakai nyumba moja na familia yake..kawajengea house kali ila yeye kapanga..anakuambia naonana nao mwisho wa mwezi kuwapa pocket money...ila binti yake mmoja alikuwa kama teja hivi.Dah madogo ss wamezidi
Huyu marehem nae kwa waganga mpaka anatumia mamilioni ilikua ugonjwa gani huo [emoji57][emoji57][emoji57]
Mtoto nae mahusiano na waganga wa kienyeji [emoji38][emoji38][emoji38]
Mtoto wang awe na miaka 18/20 nikiona ananizingua desert eagle itamuhusu
Jiulize halafuKwani kina adamo,lijenje walikua wachaga