Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

Mkuu ukitajirika unauliwa ili hao jamaa dada Yao awape Mali yako ili wadunde.
Jitahidi uwawezeshe iyo lazima uchagani Kama umeoa.
Mana huwezi kuwa na Mali na ndugu wa mke wanateseka watakakumaliza upumzike kwa amani
 
Daaaaah binti anaonekana Wife Material kabsa ukikutana nae road unaapa viapo vyote kua lazima awe wako na kujuta majuto yote hadi kujikana nafsi endapo hutamweka kwenye himaya yako, moyo wa mtu ni kichaka na maisha yana siri nyingi sana [emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Hivi Kuna unyama mkubwa zaidi ya kuua?
Ukikua siku moja utakutana na matukio ya kinyama zaidi ya kuua, dunia kila siku ina mambo mapya yapo ambayo unaweza ukafa bila kuyasikia lakin yanafanyika ila tatzo la ubinadam ni unafki mchawi ataua na atakula nyama ya binadam lakin atajidai anasikitika kuona mtu alieua akazika
 
Duh hii hatari
 
Ndio hataki na pesa yake, tafuta zako
Sasa atakataaje tena wakati mie ndio mtoto wake? Haoni kuwa hiyo ni rroho mbaya tuu? Yaani mtoto ateseke huko wakati mie ninauwezo wakumsaidia as long as haendi kufanya kitu kinyume na sheria za nchi....hapo sasa sioni faida ya kuwa mzazina mtoto nae hataona faida ya kuwa na mzazi mwenye uwezo kiuchumi.
 
Kila siku tunasema ......wachaga sio wa kuoa ........mnakua wabishi

Ona Sasa wameanza kuwahishana wao kwa wao

Anyway huu ni unyama mkubwa
Kila mtu ana ushetani wake, s wachaga tu. Mbona kuna wachaga wametulia hawana tamaa za kishetani, na je yule aliyemuuza Yesu n mchaga[emoji2955].



Ifke mahali hyo mitazamo potofu mlio nayo juu ya wachaga muache...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…