Ndio watafute za kwao kwa kutumia hizo za kwako wewe mzazi. Tatizo lipo wapi hapo?Kwani uongo?! Watafute zao kweli. Hata wakiendelea kuuwa wazazi ndio itasaidia?! Ni uvivu tamaa kukosa mbinu akili duni ndio inawafanya wawe majinga kutokutafuta zao. Na wafanyayo haya wafie jela au wafe kwa kamba tu
Sasa yeye kutafuta hizo mali kwa jasho ndio atake na mwanae nae ataabike kama yeye? Huo basi uzazi wa kukomoana na wakijinga.Mzazi wako aligawiwa au alitafuta kwa jasho lake......???
Moyo wa mtu kichaka, hata wewe una mengi umeyazika moyoni japo si makubwa kama haya na yanakusumbua akili unapokuwa peke yako, ni vile tu hatuwezi kuona yaliyo mioyoni mwa watu. Watu wanateseka sana katika nafsi zao kwa mizigo ya mawazo mkuu.Kuna watu ni majasiri au mashetani, unaua mtu,unamfukia na unaendelea na maisha kawaida tuuu ???????
Chaga gangWACHAGA NA AMBAO WAMEJAA CHADEMA NA WANATAKA TUWAPE NCHI. View attachment 2075250
Ni hatari sanaHarafu mtu kama huyu ndo awe makamu wa rais kwa katiba ya tanzania? Siku 21 za bendera nusu mringoti inatuhusu
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Tatizo La vijana kupenda mserereko. Huyu na yule wa Arusha lazima wanautindio, hizo mali kwani angeshirikiana na mama yake kuziendekeza mwisho wa siku si zingekua zake.hakuna shortcut kwa maisha tuko nayo.
Lakini Hilo ni jambo la khiyari kwa mzazi.....kama amekusomesha kwa gharama basi ni wajibu wako kumalizia alipoishia......uwekezaji wa fedha zako amewekeza kwenye elimu yako....Sasa yeye kutafuta hizo mali kwa jasho ndio atake na mwanae nae ataabike kama yeye? Huo basi uzazi wa kukomoana na wakijinga.
Wewe kama mzazi unapaswa kumrahisishia maisha mwanao kama kutumia malinulizo nazo kutasaidia katika hilo, basi ni vyema ukamshirikisha mwanao kwa manufaa ya familia kwa ujumla.
Mental illness is a tragedy. We are in for premium tears!Kuna magonjwa ya akili pia, watu wengi ni vichaa kichwani na mara nyingi ni ya kurithi unakuta Wazazi ni vichaa pia, Babu na Bibi na kuendelea.
ila tunaboa
Kaskazini Tena! HATUPOI
Kumpa mtoto elimi ni jambo la muhimu. Zamani wakati bado tupo smal smal population hiyo elimu waa a guarantee kupata job. Mambo sasa yamebadilika kabisa.Lakini Hilo ni jambo la khiyari kwa mzazi.....kama amekusomesha kwa gharama basi ni wajibu wako kumalizia alipoishia......uwekezaji wa fedha zako amewekeza kwenye elimu yako....
Inawezekana kua ni kweli lakini kwa jicho la kibinadamu lawama lazima ziende kwa binti. Lakini je
Huyo mama alikua na mtoto mmoja tuu kiasi cha kufanya tukio na asijulikane?
Uhusiano wake na majirani upo je?
Yesu alipouawa alikuwa na msala gani hadi laana ya kuuliwa ikamfuata?
Seems wewe pia utakuwa unammind mzazi wako kwa kukufanyia unoko na sasa unamfanyia timing ili laana yake naye imfuate
Una kichaa
We umeandika nini
Pombe tunakunywa wengine kulewa mnalewa wengine
Ova
Bado ipo kwenye khiyari ya mzazi.....na khiyari hiyo ya mzazi itasukumwa na utashi na mwenendo wako kijana.Kumpa mtoto elimi ni jambo la muhimu. Zamani wakati bado tupo smal smal population hiyo elimu waa a guarantee kupata job. Mambo sasa yamebadilika kabisa. Wasomi wapo mtaani wanahangaika...
Shortcut kwa mzaz au ndugu wachaga wajitambue huwez kuuwa mzaz ndugu kisa mallUkipenda shortcut kwenye haya maisha utakuja kujuta hapa duniani na kesho huko akhera kwa mola wako