Huyo jamaa planet sijui anaishi dunia gani, demand ni kubwa kuliko uzalishaji kuna order zimewekwa baada ya miezi ndio watapata mpaka leo WHO wamezishutumu nchi tajiri kununua in advance nakuacha nchi maskini bila chanjo.Punguza ushamba
Astro Zeneca wamewapa kandarasi viwanda vya India kuzalisha chanjo kutokana na mahitaji makubwa kuliko uzalishaji wao
We baki Chatto ukijifukuza vitunguu na Joseph Kasheku Musukuma 😫
Kabisa mkuuHii shule ni mfano wa kuigwa katika kupambana na huu ugonjwa.
Ni kweli kabisa. Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kisheria wa kutoa au kusambaza taarifa ya magonjwa kama hayo isipokuwa hao wanne. Lazima wamiliki wa shule hiyo wachukuliwe hatua kali sana.Hawa lazima wakipate Cha Moto, serikali imetoa utaratibu wa Nani anapaswa kutoa taarifa za Corona.
P, VP, PM na WA. Huyo aliyetoa taarifa Ana moja ya nyadhifa zilizotajwa?
Umeshindwa kumalizia kwa kiingereza hilo neno ngoja tuone tukusaidie?😅😅😅😅Please reply in English..
........ ngoja tuone.
Mamdenyi kumbuka kiinglishi kilikuja na meliPlease reply in English..
........ ngoja tuone.
Litakosekanaje? Hao wageni wanaoingia holela kutoka nchi zenye hilo gonjwa kama US na UKHili goma lipo
Hapo ndio huwa nashindwa kuwaelewa,mnavyosema huu ugonjwa umerudi tena kwani lini uliondoka au kupungua? serikali ilipoacha kutangaza takwimu za corona ndio kipindi ambacho corona ilikuwa inaonekana imezidi,sasa leo kusema imerudi tena ni kwa vipimo gani tunavyotumia kujua iliondoka na sasa inarudi?Kuna wimbi la hofu juu ya Corona,watu wameanza kuchukua tahadhari wenyewe kwa kuanza kurejesha ndoo za kunawia nje ya majumba yao!
Kuna hospitali wauguzi wameanza kuvaa barakoa!
Kuna dalioi ugonjwa huu umerejea kwa kasi!
Chukua tahadhari!
Kwasasa kuna vifo visivyoeleweka vimeanza kutokea,ni jambo la kawaida kuhusisha vifo hivyo na Corona hasa ukizingatia dalili walizokuwa nazo hao wafu!Hapo ndio huwa nashindwa kuwaelewa,mnavyosema huu ugonjwa umerudi tena kwani lini uliondoka au kupungua? serikali ilipoacha kutangaza takwimu za corona ndio kipindi ambacho corona ilikuwa inaonekana imezidi,sasa leo kusema imerudi tena ni kwa vipimo gani tunavyotumia kujua iliondoka na sasa inarudi?
Swali langu ni lini corona iliondoka au kupungua na kwa njia gani iliyotumika kuondoa au kupunguza hiyo corona hadi sasa hivi ndio kuwe na vifo visivyoeleweka ambavyo havikuwepo nyuma?Kwasasa kuna vifo visivyoeleweka vimeanza kutokea,ni jambo la kawaida kuhusisha vifo hivyo na Corona hasa ukizingatia dalili walizokuwa nazo hao wafu!
Jiwe lafa sanaSoon utasikia imefungiwa ilikua na malimbikizo ya kodi miaka mi4 iliyopita.
#MaendeleoHayanaChama
Hapo katikati kulikuwa hakuna vifo vya kutatanisha ambavyo vilihusisha matatizo ya upumuaji!Swali langu ni lini corona iliondoka au kupungua na kwa njia gani iliyotumika kuondoa au kupunguza hiyo corona hadi sasa hivi ndio kuwe na vifo visivyoeleweka ambavyo havikuwepo nyuma?