Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,488
Pole sana rafiki kwa kufiwa na jiraniKuna jilani/ndugu yako kafa kwa corona mbona mnataka kusimamisha shughuri za watu aise, gvt imetunyima ajila tumeamua kujiajili we unataka tufungiwe ndani
Watanzania bana saijui tunataka nini, wacha tupige kazi aise
Korona ni hatari sana
Naamini itapita haraka ili turudi kwenye ajira zetu