Eti uwoga ni ugonjwa mkubwa kuliko ugonjwa wenyewe, hata takwimu toeni tu, mbona matangazo ya HIV yalikuwa yanasisitizwa kuwafanya watu wahabarike na wachukue hatua leo matangazo ni ugonjwa, ni kwatia watu hofu, inatakiwa tufikiri upya, hasira ni kali ukihisi mpedwa wako kaondoka kwa sababu ya Covid-19 na mtu anatangaza kuwa hatuna tatizo hilo, duniani Nchi usifiwa kwa mambo yake mazuri lakini hadi sasa sijaona sifa nzuri tuliopata kwa kuficha takwimu, kuacha kuvaa masks, wala kutochokua juhudi za kupata kinga, ni hatari siasa kuchanganya na utaalam, au kutafuta sifa baadhi wakiangamia, binadamu wote ukosea ila uharibu unapochanganya na kiburi, dharau, kujiona!