Moshi-Kilimanjaro: Kuna watu wana tabia ya kuchinja mbwa na kuuza supu

Moshi-Kilimanjaro: Kuna watu wana tabia ya kuchinja mbwa na kuuza supu

Sasa kwenye kula pamoja na kujaza pilipili za kutosha bado Ile nyama ilikuwa na utamu tamu hivi, nikamwomba Mzee Mmoja aonje Ile nyama na aniambie nyama ya Nini. Mzee akanambia Kijana wangu hii ni nyama ya Nyani.
Iringa wanasema anaitwa nyani au mbwa akiwa hai, akifa ni kitoweo au mboga
 
Idara ya Afya katika halmashauri ya Wilaya ya Moshi imesema operesheni ya kukagua mabucha ya nyama ili kubaini wafanyabiashara wanaouza nyama ya mbwa tayari imeanza huku Mganga Mkuu wa Halmashauri, Alex Kazula akibainisha kuwa wameanza kufanya ukaguzi kwenye maeneo yanayodaiwa kuwa na tatizo hilo ikiwemo Kata ya Kibosho Kati, Okaoni na Kirima
Hawa wanakwenda kukusanya posho tu, unakwenda kufanya shambulizi kwa kujitangaza, ni kichaa pekee ndiye atabakia na hizo nyama buchani
 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Moris Makoi amesema kuna tabia ya baadhi ya watu kuchinja mbwa na kuuza nyama kwenye mabucha huku wengine wakichemsha supu ya mbwa na ndizi na kuwauzia watu wakidai ni supu ya nyama ya ng’ombe.

Akizungumza kuhusu tatizo hilo Makoi amewataka watumishi wa Idara ya Afya kuimarisha usimamizi wa utoaji wa vibali vya kusafirisha wanyama, kukagua na kusimamia mabucha kwani kuna wafanyabiashara wanaweka nyama ya ng’ombe yenye mihuri mbele ya mabucha huku ndani wakiweka vibudu.

Idara ya Afya katika halmashauri ya Wilaya ya Moshi imesema operesheni ya kukagua mabucha ya nyama ili kubaini wafanyabiashara wanaouza nyama ya mbwa tayari imeanza huku Mganga Mkuu wa Halmashauri, Alex Kazula akibainisha kuwa wameanza kufanya ukaguzi kwenye maeneo yanayodaiwa kuwa na tatizo hilo ikiwemo Kata ya Kibosho Kati, Okaoni na Kirima
Asia wanakula sana mwbwa je wamepata madhara?/? Wachina wanakula mbwa na ndio wanao tutengenezea kila kitu
 
Kuna siku nilikula mishikaki,wakati natafuna ile ladha yake nikasema mmh huyu atakuwa mbwa asee.

Jamaa muuzaji naye alikuwa makini sana kuniangalia wakati nakula ule mshikaki. Kuanzia siku hiyo Mimi nakula pweza na ngisi tu kwa sababu anaonekana alivyo. Mishkaki hapana kwa kweli.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Taste hukuielewa😅
 
Kama haija dhuru mtu haina shida
 
kama ile ni supu ya umbwa basi umbwa ni mtamu tena anamafuta, nilikutana nayo juzi kati ilitiwa limau mixa pilipili dah kumbe dogii ni poa sana
Wakati Sasa wa kujikita kwenye kilimo Cha mbwa 😀
 
Ukweli wa siku mingi .

Basi bhana baba yangu alikuwa na wenzake wanatoa service ya kuombea nyumba hadi nyumba nakumbuka walisema wasaidiane .

Kwa maana ni vizuri kuombeana majirani na watu wanaokuzunguka .


Sasa wakafikia nyumba ya mwanamaa mmoja akawapikia ugali na nyama wakala vizuri tu baadae wakauliza hii nyama nitamu ni yanani wakadai ni ya mbwa wewe pata picha hapo walifanyaje kutapika na imeshadigest ni hakunaga basi wakashushia na maji wakaenda zao na hawakurudi Tena maeneo hayoo ila ni nyama tamu sana Arusha na Moshi ndio zao sana sana pale stendi hadi paka wanapika hiyo mishkaki enzi za kusoma sec ndio walishikwa wale wauza mishkaki Pale stendi hadi paka walikuw wanafanya yao
 
Back
Top Bottom