Moshi-Kilimanjaro: Kuna watu wana tabia ya kuchinja mbwa na kuuza supu

Moshi-Kilimanjaro: Kuna watu wana tabia ya kuchinja mbwa na kuuza supu

Kwani hayo mangada si ndo yamejazana sana huko kitaa..!!! Unakumbuka kule Zenji kuna muuza pweza alikuwa anaweka VIAGRA kwenye pweza wake?
Hiyo sijawahi kuisikia mkuu!
Inamaana mnara wa voda unasoma mazima?
Ilikuwaje sasa akagundulika?
 
Si suala la unyalu..!! Vitu vingi sana hamli kwa sababu tu mmekuta ipo hivyo na wala hamna sababu za msingi..!! Haya, unaweza kunieleza kwa nini huli nyama ya mbwa? AU kwanini huli nyama ya punda? AU kwanini huli nyama ya ngedere? etc..!! Nyama zote nilizozitaja hapo juu kuna watu wanakula na hawajapata madhara
Ni kweli kabisa, ulaji ni sehemu ya utamaduni wa jamii husika. Mimi nilikwenda mahali fulani nikala nyama ya Mamba na sikupata shida yoyote.

Kitambo sana yupo mzee mmoja alikuwa analinda mashamba ya uncle huko pwani, siku nimetumwa kumpelekea pesa nikakuta nyani kakaushwa vizuri sana, nikapita naye na sikupata shida yoyote.

Miaka ya 2000 nikiwa Lindi kikazi, nilikwenda Ruangwa ndani ndani huko, nikakuta menu ya panya nikala na nikawa fresh tu.

Utawekewa mwewe ukiaminishwa ni kuku..!! Wale kuku wa Salanda unawakumbuka? Kama hatujala mwewe pale sijui..!!
Wale walikuwa ni kuku, hakuna mwewe ana paja kama lile
 
Hiyo sijawahi kuisikia mkuu!
Inamaana mnara wa voda unasoma mazima?
Ilikuwaje sasa akagundulika?
 
hili Jambo ni kweli.pale tegeta watu walishawahi kula mishikaki ya paka.
 
hili Jambo ni kweli.pale tegeta watu walishawahi kula mishikaki ya paka.
Ila hali ya dhiki ni Kubwa Sana baina ya Watanzania, Sasa huyo Paka anakuwa na kilogram ngapi kuweza kumrejeshea faida.

Hao watu ni wakuwapa adhabu ya kula hizo nyama zao mpaka ziishe
 
Kaka paka hanunuliwi.anakamatwa tu mtaani.mapaka kibao.yanazunguka tu masokoni n.k
Ila hali ya dhiki ni Kubwa Sana baina ya Watanzania, Sasa huyo Paka anakuwa na kilogram ngapi kuweza kumrejeshea faida.

Hao watu ni wakuwapa adhabu ya kula hizo nyama zao mpaka ziishe
 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Moris Makoi amesema kuna tabia ya baadhi ya watu kuchinja mbwa na kuuza nyama kwenye mabucha huku wengine wakichemsha supu ya mbwa na ndizi na kuwauzia watu wakidai ni supu ya nyama ya ng’ombe.

Akizungumza kuhusu tatizo hilo Makoi amewataka watumishi wa Idara ya Afya kuimarisha usimamizi wa utoaji wa vibali vya kusafirisha wanyama, kukagua na kusimamia mabucha kwani kuna wafanyabiashara wanaweka nyama ya ng’ombe yenye mihuri mbele ya mabucha huku ndani wakiweka vibudu.

Idara ya Afya katika halmashauri ya Wilaya ya Moshi imesema operesheni ya kukagua mabucha ya nyama ili kubaini wafanyabiashara wanaouza nyama ya mbwa tayari imeanza huku Mganga Mkuu wa Halmashauri, Alex Kazula akibainisha kuwa wameanza kufanya ukaguzi kwenye maeneo yanayodaiwa kuwa na tatizo hilo ikiwemo Kata ya Kibosho Kati, Okaoni na Kirima

Ni hawa makabila mengine wanaovamia vamia biashara huko moshi ndio wanachafua kabila letu ila hakuna mchaga mpuuzi kiasi hicho anaeweza fanya hivyo
 
Nina wasiwasi na hii mishikaki inayouzwa usiku hasa kwenye vituo vya mabasi. Nasikia ni mitamu sana!!
 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Moris Makoi amesema kuna tabia ya baadhi ya watu kuchinja mbwa na kuuza nyama kwenye mabucha huku wengine wakichemsha supu ya mbwa na ndizi na kuwauzia watu wakidai ni supu ya nyama ya ng’ombe.

Akizungumza kuhusu tatizo hilo Makoi amewataka watumishi wa Idara ya Afya kuimarisha usimamizi wa utoaji wa vibali vya kusafirisha wanyama, kukagua na kusimamia mabucha kwani kuna wafanyabiashara wanaweka nyama ya ng’ombe yenye mihuri mbele ya mabucha huku ndani wakiweka vibudu.

Idara ya Afya katika halmashauri ya Wilaya ya Moshi imesema operesheni ya kukagua mabucha ya nyama ili kubaini wafanyabiashara wanaouza nyama ya mbwa tayari imeanza huku Mganga Mkuu wa Halmashauri, Alex Kazula akibainisha kuwa wameanza kufanya ukaguzi kwenye maeneo yanayodaiwa kuwa na tatizo hilo ikiwemo Kata ya Kibosho Kati, Okaoni na Kirima
Mbona iko vizuri mkuu.
 
Jamaa muuzaji naye alikuwa makini sana kuniangalia wakati nakula ule mshikak
 
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Moris Makoi amesema kuna tabia ya baadhi ya watu kuchinja mbwa na kuuza nyama kwenye mabucha huku wengine wakichemsha supu ya mbwa na ndizi na kuwauzia watu wakidai ni supu ya nyama ya ng’ombe.
Tulitegemea aje na watuhumiwa siyo simulizi, hao waliomsimulia walitakiwa wawe mashahidi namba moja
 
Back
Top Bottom