Iringa wanasema anaitwa nyani au mbwa akiwa hai, akifa ni kitoweo au mbogaSasa kwenye kula pamoja na kujaza pilipili za kutosha bado Ile nyama ilikuwa na utamu tamu hivi, nikamwomba Mzee Mmoja aonje Ile nyama na aniambie nyama ya Nini. Mzee akanambia Kijana wangu hii ni nyama ya Nyani.
Hawa wanakwenda kukusanya posho tu, unakwenda kufanya shambulizi kwa kujitangaza, ni kichaa pekee ndiye atabakia na hizo nyama buchaniIdara ya Afya katika halmashauri ya Wilaya ya Moshi imesema operesheni ya kukagua mabucha ya nyama ili kubaini wafanyabiashara wanaouza nyama ya mbwa tayari imeanza huku Mganga Mkuu wa Halmashauri, Alex Kazula akibainisha kuwa wameanza kufanya ukaguzi kwenye maeneo yanayodaiwa kuwa na tatizo hilo ikiwemo Kata ya Kibosho Kati, Okaoni na Kirima
Asia wanakula sana mwbwa je wamepata madhara?/? Wachina wanakula mbwa na ndio wanao tutengenezea kila kitu
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Moris Makoi amesema kuna tabia ya baadhi ya watu kuchinja mbwa na kuuza nyama kwenye mabucha huku wengine wakichemsha supu ya mbwa na ndizi na kuwauzia watu wakidai ni supu ya nyama ya ng’ombe.
Akizungumza kuhusu tatizo hilo Makoi amewataka watumishi wa Idara ya Afya kuimarisha usimamizi wa utoaji wa vibali vya kusafirisha wanyama, kukagua na kusimamia mabucha kwani kuna wafanyabiashara wanaweka nyama ya ng’ombe yenye mihuri mbele ya mabucha huku ndani wakiweka vibudu.
Idara ya Afya katika halmashauri ya Wilaya ya Moshi imesema operesheni ya kukagua mabucha ya nyama ili kubaini wafanyabiashara wanaouza nyama ya mbwa tayari imeanza huku Mganga Mkuu wa Halmashauri, Alex Kazula akibainisha kuwa wameanza kufanya ukaguzi kwenye maeneo yanayodaiwa kuwa na tatizo hilo ikiwemo Kata ya Kibosho Kati, Okaoni na Kirima
Taste hukuielewa😅Kuna siku nilikula mishikaki,wakati natafuna ile ladha yake nikasema mmh huyu atakuwa mbwa asee.
Jamaa muuzaji naye alikuwa makini sana kuniangalia wakati nakula ule mshikaki. Kuanzia siku hiyo Mimi nakula pweza na ngisi tu kwa sababu anaonekana alivyo. Mishkaki hapana kwa kweli.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Wakati Sasa wa kujikita kwenye kilimo Cha mbwa 😀kama ile ni supu ya umbwa basi umbwa ni mtamu tena anamafuta, nilikutana nayo juzi kati ilitiwa limau mixa pilipili dah kumbe dogii ni poa sana
Alikua anakuonea huruma kwa takataka anazokulisha.Jamaa muuzaji naye alikuwa makini sana kuniangalia wakati nakula ule mshikak
Aisee🙆Iringa wanasema anaitwa nyani au mbwa akiwa hai, akifa ni kitoweo au mboga