sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Wajua hapo ni dakika 3 kutoka himo polisi yawesekanaje mtu afytue risasi mbili polisi wassisikie nashauri hicho kituo Askari waamishwe ndugu zangu wapo wanao fanya kazi Kwa mazoea.kwa Nini muuaji akukimbilia hapo himo akaenda mpka town na Centro amefika amekili kuua Tena Kwa makudi na amekaa Siku zaidi ya kumi na nane means Ili jambo lilikuwa linapangwa kuzimwa kama lilifikia Kwa ocd. Wa Centro hapo hakuna kesi Mzee wa kuyajenga kupitia kijana wake balongo idara ya ukaguzi