Moshi: Mfanyabiashara aua kwa bastola Himo

Wenda wote walikuwa under influence... Alcohol may be .

Too bad.
 
Msongamao wa mawazo ,afya ya akili..
 
Serikali inacheka na hawa wamiliki wa silaha, inatakiwa mtu kama huyu awe mfano! Adhalilishwe na kuhukumiwa kifo na habari iwe inakuwa reported kwa ukubwa ili kukomesha wamiliki wa silaha kuzitumia vibaya.

Wakati mwingine unatokea ugomvi mdogo tu tayari mtu anakimbilia silaha.
 
Ukiwa kwenye gari ,si arishuka akawafuta,busara ikikosekana kwa tajiri
Hutakiwi kukunjana na tajiri, hata ningekua Mimi nakufyatulia tu kiburi chako peleka kwenu maana wanasema mtu shujaa hupeleka Msiba nyumbani kwao, haya kajitia ushujaa anataka kupambana na mwenye kitu Cha Moto kala vyuma kafa
 
Sijawahi kusikia mtu yeyote anayemiliki silaha kihalali ameua majambazi au wezi.

Mara zote wanaua watu baki tu kwa mbaaali sana namuona Said Mwamwindi.
Kuja jamaa mikoa ya kusini alimuua polisi aliyetoroka Lindo na SMG kwenda kufanya uharifu,polisi alikuwa ni mtu wa Mara,aliliwa ya kichwa na ubongo ukamwagika,
 
Ukiwa na siraha muda wote unatamani ukorofishwe tuu hapo jamaa wa gari ndio alikua na makosa harafu tena yeye ndio kaua kwa sababu ana siraha na kukimbilia polisi hasira za Kijinga ni hasara wakati angewaomba msamaha tu hapo yangeisha kabisa na mambo ya kesi ya Serikali isingekuwepo tena...
 
Ukute Sasa hivi mfanya biashara anawaza kwani pale ningeomba samahani ningepungukiwa nini?

Sasa pesa za marejesho zinaenda kuendesha kesi, kuhonga familia na polisi.
 
Ukute Sasa hivi mfanya biashara anawaza kwani pale ningeomba samahani ningepungukiwa nini?

Sasa pesa za marejesho zinaenda kuendesha kesi, kuhonga familia na polisi.
Ogopa ugomvi ukiwa umelewa mbaya zaidi uwe na silaha, utajuta umeshafanya tukio.
 
Mtu ana ml 100 tu tena zipo Bank anaenda kunywa pombe na bastola. Hapo ukichunguza wote walikuwa kwenye state ya ulevi wa kupindukia
 
Sijawahi kusikia mtu yeyote anayemiliki silaha kihalali ameua majambazi au wezi.

Mara zote wanaua watu baki tu kwa mbaaali sana namuona Said Mwamwindi.
Wanasema kwamba kwenye ulimwengu wa crime, bunduki uliyoifanyia uhalifu kwa kukatisha uhai wa mtu hakikisha unaitupa au kuiharibu kwa namna yoyote ile.. sijawahi kufahamu kujua Nini main reason katika hili.. [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…