Kama alitaka kukabwa kwa nini hakutoa ripoti polisi himo (1/2 km) akaenda kutoa ripoti moshi mjini (27km)?Hata ningekua Mimi jamaa anaweza kujitetea kua alitaka kumkaba na kumuibia Mali zake, mengine hayanihusu anahitaji mwanasheria nguli tu anachomoka kesi ndogo sana
Huko ndio anaweza kuchomoka kirahisi, elewa scenarioKama alitaka kukabwa kwa nini hakutoa ripoti polisi himo (1/2 km) akaenda kutoa ripoti moshi mjini (27km)?
Hujakosea kabisa ,silaha nyingi utasikia wametandikana barSijawahi kusikia mtu yeyote anayemiliki silaha kihalali ameua majambazi au wezi.
Mara zote wanaua watu baki tu kwa mbaaali sana namuona Said Mwamwindi.
Hivi yule jamaa wa kopa gasManslaughter hiyo jamaa hataozea jela atatoka mapema tu!
Hiki kizaz cha mtu akikaa bar anaitoaUkweli mtupu
Washamba wengi wamemilikishwa silahaUko sahihi juzi kati kuna mshamba mmoja katishia watu na kupiga bullet Moja juu Garage fulani
Kumbe pale kuna Mwanaume anamchora tu
Dakika 10 watu wa Kazi kazini wa hapa wakaondoka nae ....
Tumieni na zitunzeni Bastola zenu vzr kama mlivoelekezwa wakati mnakabidhiwa.
Kesi ni kesi tu huyo aliyeuaHapo familia iende tu kwenye mahakama ya kimila. Kwenye mahakama za kawaida tayari jamaa anashinda kama kakaa siku 18 bila kupanda kizimbani. Pia kitendo cha kukimbilia town alishajua watetezi wake wako kule. Hapo ni mahakama ya kimila tu ndo inafaa.
Kakubali mwenyewe na Bastola hajarudishiwaWashamba wengi wamemilikishwa silaha
Majambazi,panyaroad tu hatuwaoni
Wakiwapiga hata za miguu na silaha
Zao
Ova
Kesi ya kuua ni nzito sana. Kuna polisi na wahusika wengine watakula sana hela zake. Jamaa wa Kopagas sijajua aiseeKesi ni kesi tu huyo aliyeua
Itampelekesha sana na watamtoa
Hela sana
Hivi yule bilionea wa kopa gas katoka
Maana wasambaa kwa kesi,walivyokuwa wanaikomalia keesi kwa ukaribu
Ova
Limbukeni akipata taabu tupu.Samaleko wana jukwaaa! Ni habari iliyozua gumzo katika mji mdogo wa Himo mkaoni Kilimanjaro.
====
Ni mauaji yaliyotikisa mji wa kibiashara wa Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya mfanyabiashara mashuhuri katika mji huo, Kennedy Minja (47) kudaiwa kumfyatulia risasi na kumuua papo hapo, mkazi wa Kilema, Deogratius Lyimo.
Baada ya tukio hilo, inaelezwa mfanyabiashara huyo aliendesha gari lake umbali wa kilomita 27 kutoka mji wa Himo hadi Moshi mjini ambako inadaiwa alijisalimisha kituo kikuu cha Polisi na hadi leo ana siku 18 anashikiliwa polisi.
Ni tukio lilitikisa mji huo kutokana na umaarufu wa mfanyabiashara huyo wa mazao na namna mauaji hayo yanavyodaiwa kutokea, yakihusishwa na mzozo wa dakika chache baina yake na marehemu.
Wananchi wa mji huo hawaelewi kiini hasa cha mauaji, kama kweli ni baada ya tajiri huyo kuwakosakosa kuwagonga marehemu na ndugu yake waliokuwa na pikipiki au la.
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limethibitisha kumshikilia mfanyabiashara huyo pamoja na bastola anayodaiwa kuitumia katika mauaji hayo na huenda akafikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia leo kwa tuhuma za mauaji.
Alipoulizwa jana kuhusu ni lini mfanyabiashara huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani, Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Yahaya Mdogo alisema: "Jalada limeshapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali, ila nafuatilia kujua ni lini atafikishwa mahakamani, huku kukiwa na taarifa huenda akafikishwa mahakamani kesho.
Awali Kamanda wa polisi mkoani hapa, Simon Maigwa alisema tukio hilo lilitokea saa 4:30 usiku wa kuamkia Mei 17, 2023 katika Barabara ya Himo-Marangu ambako mfanyabiashara huyo anadaiwa kumuua Lyimo.
Aliyeshuhudia afunguka
Richard Mahoo, aliyekuwa amempakia Deogratius, wakitokea Himo kuelekea Kilema alidai walipofika karibu na ofisi ya mbunge wa Vunjo, mfanyabiashara huyo aliingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga na gari lake.
Mahoo alidai kitendo kile kilisababisha Deogratius kushuka kwenye pikipiki na kumfuata na kumuuliza kwa nini anataka kuwagonga, lakini mtuhumiwa alishuka kwenye gari na kutamka maneno kuwa, “nyie mlikuwa mnatakaje”. “Kauli ile ilimkera marehemu na kuanza kushikana na kuanza kupigana. Wakati huo mimi nilikuwa naegesha pikipiki vizuri ili niwafuate, kitendo cha mimi kushuka kwenye pikipiki nikasikia mlio wa bastola, nikachanganyikiwa na kukimbia,"alidai.
Aliongeza: "Nilikimbia kama hatua 200 ndipo nikasimama na kuangalia nini kinaendelea, huyo mwenye gari akapiga tena risasi nyingine kunielekezea mimi, lakini haikunipata, ndipo akawasha gari na kukimbia," alidai Mahoo.
Kwa mujibu wa shuhuda huyo, baada ya milio hiyo ya risasi watu walijitokeza na kumchukua marehemu na kumpeleka Hospitali ya Faraja Himo na walipomfikisha waliambiwa ameshafariki dunia.
Kwa upande wa baba mkubwa wa marehemu, Isaack Lyimo alisema kijana wake alitokea kwenye msiba wilayani Siha akiwa na rafiki yake na walipofika Himo, walichukua pikipiki ya huyo rafiki yake kwa ajili ya kuelekea nyumbani Kijiji cha Kyou, Kilema.
Mzazi huyo alidai walipofika jirani na ofisi ya mbunge wa Vunjo kulitokea kuzozana kati ya mfanyabiashara huyo na mtoto wake baada ya mfanyabiashara huyo kuingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga.
Kulingana na maelezo aliyopewa, katika mabishano hayo walifikia hatua ya kutaka kupigana, ndipo mfanyabiashara huyo inadaiwa alikwenda kwenye gari na kuchukua bastola na kumfyatulia risasi mtoto wake na kumuua papo hapo.
Mwananchi
Hiyo ni km kuuliza makofi polisiWenda wote walikuwa under influence... Alcohol may be .
Too bad.
Hata kama una hela, kesi za mauaji Tz zinasumbua na zinafuatiliwa sana, kuzimaliza kwa njia ya rushwa mpaka ndugu zako waparangane haswa na wazijue chanelsHata ningekua Mimi jamaa anaweza kujitetea kua alitaka kumkaba na kumuibia Mali zake, mengine hayanihusu anahitaji mwanasheria nguli tu anachomoka kesi ndogo sana
Dah hasira hasaraSamaleko wana jukwaaa! Ni habari iliyozua gumzo katika mji mdogo wa Himo mkaoni Kilimanjaro.
====
Ni mauaji yaliyotikisa mji wa kibiashara wa Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya mfanyabiashara mashuhuri katika mji huo, Kennedy Minja (47) kudaiwa kumfyatulia risasi na kumuua papo hapo, mkazi wa Kilema, Deogratius Lyimo.
Baada ya tukio hilo, inaelezwa mfanyabiashara huyo aliendesha gari lake umbali wa kilomita 27 kutoka mji wa Himo hadi Moshi mjini ambako inadaiwa alijisalimisha kituo kikuu cha Polisi na hadi leo ana siku 18 anashikiliwa polisi.
Ni tukio lilitikisa mji huo kutokana na umaarufu wa mfanyabiashara huyo wa mazao na namna mauaji hayo yanavyodaiwa kutokea, yakihusishwa na mzozo wa dakika chache baina yake na marehemu.
Wananchi wa mji huo hawaelewi kiini hasa cha mauaji, kama kweli ni baada ya tajiri huyo kuwakosakosa kuwagonga marehemu na ndugu yake waliokuwa na pikipiki au la.
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limethibitisha kumshikilia mfanyabiashara huyo pamoja na bastola anayodaiwa kuitumia katika mauaji hayo na huenda akafikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia leo kwa tuhuma za mauaji.
Alipoulizwa jana kuhusu ni lini mfanyabiashara huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani, Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Yahaya Mdogo alisema: "Jalada limeshapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali, ila nafuatilia kujua ni lini atafikishwa mahakamani, huku kukiwa na taarifa huenda akafikishwa mahakamani kesho.
Awali Kamanda wa polisi mkoani hapa, Simon Maigwa alisema tukio hilo lilitokea saa 4:30 usiku wa kuamkia Mei 17, 2023 katika Barabara ya Himo-Marangu ambako mfanyabiashara huyo anadaiwa kumuua Lyimo.
Aliyeshuhudia afunguka
Richard Mahoo, aliyekuwa amempakia Deogratius, wakitokea Himo kuelekea Kilema alidai walipofika karibu na ofisi ya mbunge wa Vunjo, mfanyabiashara huyo aliingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga na gari lake.
Mahoo alidai kitendo kile kilisababisha Deogratius kushuka kwenye pikipiki na kumfuata na kumuuliza kwa nini anataka kuwagonga, lakini mtuhumiwa alishuka kwenye gari na kutamka maneno kuwa, “nyie mlikuwa mnatakaje”. “Kauli ile ilimkera marehemu na kuanza kushikana na kuanza kupigana. Wakati huo mimi nilikuwa naegesha pikipiki vizuri ili niwafuate, kitendo cha mimi kushuka kwenye pikipiki nikasikia mlio wa bastola, nikachanganyikiwa na kukimbia,"alidai.
Aliongeza: "Nilikimbia kama hatua 200 ndipo nikasimama na kuangalia nini kinaendelea, huyo mwenye gari akapiga tena risasi nyingine kunielekezea mimi, lakini haikunipata, ndipo akawasha gari na kukimbia," alidai Mahoo.
Kwa mujibu wa shuhuda huyo, baada ya milio hiyo ya risasi watu walijitokeza na kumchukua marehemu na kumpeleka Hospitali ya Faraja Himo na walipomfikisha waliambiwa ameshafariki dunia.
Kwa upande wa baba mkubwa wa marehemu, Isaack Lyimo alisema kijana wake alitokea kwenye msiba wilayani Siha akiwa na rafiki yake na walipofika Himo, walichukua pikipiki ya huyo rafiki yake kwa ajili ya kuelekea nyumbani Kijiji cha Kyou, Kilema.
Mzazi huyo alidai walipofika jirani na ofisi ya mbunge wa Vunjo kulitokea kuzozana kati ya mfanyabiashara huyo na mtoto wake baada ya mfanyabiashara huyo kuingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga.
Kulingana na maelezo aliyopewa, katika mabishano hayo walifikia hatua ya kutaka kupigana, ndipo mfanyabiashara huyo inadaiwa alikwenda kwenye gari na kuchukua bastola na kumfyatulia risasi mtoto wake na kumuua papo hapo.
Mwananchi
Hata mie naipenda sana ,ila nikiangalia trend ya hasira zangu naona bora nisiwe nayo tu!! Itanipeleka jela fasta sana .Ninampango wa kumiliki hii kitu,naipenda sna
Miongoni mwa ushahidi unaohitajika ni silaha iliyofanyia mauaji. Isipokuepo speculations zinakua nyingiWanasema kwamba kwenye ulimwengu wa crime, bunduki uliyoifanyia uhalifu kwa kukatisha uhai wa mtu hakikisha unaitupa au kuiharibu kwa namna yoyote ile.. sijawahi kufahamu kujua Nini main reason katika hili.. [emoji848]
Hapo shahidi anasema nae alitaka pigwa chuma akiwa umbali wa atua 200 toka eneo la mauaji so hoja ya kuwa amevamiwa inahitaji changa kali Sana ikubalikeHata ningekua Mimi jamaa anaweza kujitetea kua alitaka kumkaba na kumuibia Mali zake, mengine hayanihusu anahitaji mwanasheria nguli tu anachomoka kesi ndogo sana
Itajulikana tu mwanasheria wake atakwambia asiongee chochote hadi Mahakamani Ila kesi anachomoka atalipishwa mamillion tuHapo shahidi anasema nae alitaka pigwa chuma akiwa umbali wa atua 200 toka eneo la mauaji so hoja ya kuwa amevamiwa inahitaji changa kali Sana ikubalike