Uchaguzi 2020 Moshi: Mkurugenzi akataa kupokea fomu za wagombea kwa sababu walizituhumu sio halisi, awataka wakazithibitishe polisi kwanza


Huyu sio aliyeleta maafa kwa the late Acquilina? Au ni pacha wake?
 
Una akili zaidi ya kuku mkuu
 
Wakurugenzi wanatengeneza cv kwa ajili ya awamu ijayo.
 
mi nadhani wapinzani wajitoe tu wabaki CCM peke yao si ndio wanachotaka
 
Sijui viongozi wa chadema wote akili zao zinafanana yani amepewa fomu akasema ni feki Sasa hiyo feki unarudishaje wakati haijathibitishwa??
Nyumbu wanatengeneza matatizo halafu wake kulialia humu jukwaani. Kama walipewa fomu wakasema feki wanaenda polisi kulalamika Sasa Leo wanarudishaje bila uthibitisho wa polisi? Na hapo zitathibitishwa keshoooo!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
kutokana na wimbi la wagombea wa upinzani kuwindwa na shetani kama swala ili watekwe au wauliwe huku viongozi wa dini na tume wakikaa kimya sababu wagombea wa ccm hawatekwi ni jukumu lao sasa wagombea wa upinzani kujihami binafsi na kurekodi matukio yote live watumie kofia,miwani,earphone, nguo zenye camera 360 degree warekodi kila kitu huku wakitembea na watu waliofully armed ili kujilinda endapo watafamiwa waweze kutoa fundisho ili wakamsimulie shetani aliyewatuma na sio kulalamika mnatekwa tekwa hovyo hovyo kirahisi tu kumbukeni mpo mawindoni sababu wanajua awatoboi kwenye sanduku.Toeni funzo kama wananchi wa Ukara tembeeni hata na asidi atakaekugusa tu anayo ndo njia pekee ya kujihami,hatutaki watu wa kulialia safari hii.Rekodini matukio yote mrudishapo formu kama ushahidi na kuyarusha live watz wayaone. Pia tembeeni na kopi za fomu kwenye bahasha ifananoyo na ya nec ili kuwaadaa waporaji wakija wapore hizo kopi huku halisi mkiwa mmezificha mnapopajua wenyewe. Tumieni kanuni namba 9 ya shetani mtu akikufanyia ushenzi mfanyie mara kumi yake mpaka ajiulize huyu ni mtu au.Endeleeni kuwa wajinga mtatekwa hadi mchakae
 
kama mkurugenzi huwezi tambua fomu feki na halali hali we ndo unazitoa ufai kuwa ofisini,tuwaambie tu wakurugenzi wao ndo wanataka kuvunja amani yetu nalaana ya damu zetu hazitowaacha salama
 
Kwani chadema hamjui kusoma? Wewe unapewa fomu ili ugombee ubunge halafu fomu imeandikwa ya kugombea udiwani nawe unaijaza ukiulizwa mbona ni fomu ya udiwani si ubunge unasema unaonewa!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Bila hawa wakurugenzi uchwara kushikishwa adabu ,hawatajifunza.
 
Utawasikia wanasema TUNATEKELEZA
Ahahahahh. Waoga na wepesi sana hawa jamaa I see. Sikuwahi kuwaza kwamba Sisiemu ni wepesi namna hii. Tangu lini polisi wakawa dio wathibitishaji wa fomu zawagombea?
 
Bottom line, kwa nini Chadema wanapenda kurejesha fomu siku ya deadline? Walisubiri nini siku zote hizo?
 
Kivipi? Mgombea anaenda kuchukua fomu katika sehemu iliyopangwa kutoa fomu husika. Mgombea hajui fomu zinafananaje ili kutofautisha kati ya fomu halali na fake. Sasa iweje tena Chadema wajitengenezee matatizo!? 😳

Matatizo mengine Chadema wanajitengezea wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…