babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Nyumbu hawaelewiSasa mkurugenzi kakosea nini hapo?
Wewe unapewa fomu kisha unasem ni feki halafu unataka uirudishe kwa aliyekupa fomu feki tena.
Huyo jamaa wanayemuita katibu analisauti likubwa tu na anaongea saana ila kichwani hamna kitu.
Hata mimi nisingeipokea...nenda kqnishtaki nimekupa fomu feki...ili nishtakiwe kwa kujaribu kukurubuni.
Huna familia ww!!!tumefikia patamu tiba tuchapane tuu hili dubuasha litakamatwa hata jumuia za kimataifa ni patamu kwa vile kurunzi ya kimataifa ipo
Hamna uthibitisho wowote kauli hizo hazikuwa na effect yoyote; ni kauli za kitoto tu. Kwanza elewa kuwa tume inapitisha kulingana na fomu zilivyoletwa halafu kukiwa na mapingamizi yanaamuliwa baadaye. Hata Lissu analijua hiloMkuu huoni kama kauri hizo za kuwasakama tume ndo zimefanya tume isimkate Lissu.
The threshold limit! considers no single excuse wait!Huna familia ww!!!
chapana mwenyewe
Sasa mmehamia kwenye pingamizi, hii nchi yetu sote hakuna aliyepiga kura kuzaliwa Tanzania tuheshimiane tafadhari.Hamna uthibitisho wowote kauli hizo zilikuwa na effect yoyote; ni kauli za kitoto tu. Kwanza elewa kuwa tume inapitisha kulingana na fomu zilivyoletwa halafu kukiwa na mpingamizi yanaamuliwa baadaye.
Kama ulisahau kunywa dawa zako leo asubuhi, wahi kabla mambo hayajakuharibikia zaidi.Sasa mmehamia kwenye pingamizi, hii nchi yetu sote hakuna aliyepiga kura kuzaliwa Tanzania tuheshimiane tafadhari.
We jamaa fala kabisa kapigwe pumbu huko.Kama ulisahau kunywa dawa zako leo asubuhi, wahi kabla mambo hayajakuharibikia zaidi.
Nimeskiliza jamaa huyu aliyekuwa msaidizi wa Lissu
na kumsikilia Lissu hapa
nikaanza kujua linaloendelea!!
Unayemtetea amekwisha fukuzwa, hats hivyo endelea tu na utetezi wako huenda uko kwenye mazoezi ya vitendo kuwa wakili wa CCM.Sasa mkurugenzi kakosea nini hapo?
Wewe unapewa fomu kisha unasem ni feki halafu unataka uirudishe kwa aliyekupa fomu feki tena.
Huyo jamaa wanayemuita katibu analisauti likubwa tu na anaongea saana ila kichwani hamna kitu.
Hata mimi nisingeipokea...nenda kqnishtaki nimekupa fomu feki...ili nishtakiwe kwa kujaribu kukurubuni.
Ulishaona anayejitambua anatukana wasiojua? What for? Only untimely can do that.Hujitambui hata kidogo, kajifunze kuandika kwanza.
Narudia tena wewe hujitambui, na hakuna ulijualo kazi yako ni upuuzi tu.Ulishaona anayejitambua anatukana wasiojua? What for? Only untimely can do that.
Wale wale..bye.Narudia tena wewe hujitambui, na hakuna ulijualo kazi yako ni upuuzi tu.
Sasa umeshawashika wapuuzi wenzio baadhi na wanakuona huwa una maana kumbe mpumbavu tu, kiswahili kimekushinda hicho kiingereza nikiamua tuanze kujibizana nacho utakiweza "Mr Kulialia?" Sijui kiswahili cha wapi hiki kulialia [SUP]🙄[/SUP]
Kwani hawajatekeleza ahadi zao ndugu?.Utawasikia wanasema TUNATEKELEZA