Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeee ngoja na mimi niulize😂Hivi hakuna mabachelor wenye watoto?
Hapana. Mahakama haina kosa. Japo siwezi kusema imetenda haki. Wenye kosa ni waliofungua mashtaka ya kuua kwa kukusudia ilhali uhalisia ni mauaji ya bila kukusudia. Kwa maoni yangu ilitakiwa hati ya mashtaka iwe ya kuua bila kukusudia.Mahakama rubbish
Binafsi ningeenda tafuta uchawi mkali Sana[emoji15][emoji15]
NB; mtoto anauma sana, ma bachelor hamuwezielewa
Kwanini wamtupe? Maamuzi mengine ya kijinga sana.
Hapana. Mahakama haina kosa. Japo siwezi kusema imetenda haki. Wenye kosa ni waliofungua mashtaka ya kuua kwa kukusudia ilhali uhalisia ni mauaji ya bila kukusudia. Kwa maoni yangu ilitakiwa hati ya mashtaka iwe ya kuua bila kukusudia.
Nalo pia linawezekana.Tukubali kwamba maslahi ya kifedha yameshinda maslahi ya kibinaadam nyakati hizi?
Nalo pia linawezekana.
Kikubwa tuwaombee watoto wetu.Kweli. Ndio sababu pekee inayo make sense hapa.
Alimuwahi akizani ni kibaka na kibaka hana hurumaMwanafunzi alikuwa anatoroka usiku anaenda wapi? Na kwanini mlinzi atumie panga na sio kirungu au bunduki?
Kikubwa tuwaombee watoto wetu.
Eti, kumbe ukitumia bapa la upanga kumpiga nalo mtu, akifa kesi inakua, umeua bila kukusudia.Dah! Karma ndio itamlipa huyo mlinzi
Ukiwa mzazi ukisoma taarifa kama hizi, na una mtoto anayesoma shule za kulala, unasisimka.
Mungu wewe ndiye hakimu wa haki.
Wanapeleka watoto kusoma siyo kuruka ukuta.🤣🤣🤣msipeleke watoto wenu scolastica
Watauawa halafu kunakuwa hamna kesi
Msijesema hatujawaambia🤣🤣
Haya👌👌🤔