Wanafunzi wenyewe hawapendi shule, wazazi hawana ufatiliaji, mtoto akifukuzwa anaenda kuwa boda boda au changudoa hivyo familia wanakuwa hawajapoteza kitu.Siku hizi hakuna kufukuza shule ila Sio sababu ya kupiga mangumi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kabisaa Kuna mzazi hajui mwanawe Yuko form ngapi na hivi form two D mbili umefaulu ndo kabisa Yaani hawajali na hii elimu Bure Yaani tuna wazazi wa hovyo sana hapa Tanzania elimu Bure wao ndo haiwagusi kabisaaWanafunzi wenyewe hawapendi shule, wazazi hawana ufatiliaji, mtoto akifukuzwa anaenda kuwa boda boda au changudoa hivyo familia wanakuwa hawajapoteza kitu.
Ni familia chache sana zinazowekeza kwenye elimu
[emoji1][emoji1][emoji119][emoji1][emoji1]duhhhhUtajulikana ni wewe.
Vitu kama hivyo unakubali matokeo, unavumilia hata ipite miaka 10 atakuwa katengeneza maadui wengi ukimtengeneza hutahusishwa kabisa...
Usiache alama yoyote ile
Fatilia nyendo zake kama anapenda mademu sana muwekee viagra na valium 500mg hapo hawezi pona hata aandamane wapi.
Kama mlevi mpe ofa za bia akizima mgonge
Kama anapenda boda boda mpelekee ubavu
[emoji1][emoji1][emoji3]wanaingilia wapi Kuko na Solex kuubwa sana!!!!Huko PM hapajabanana kweli kwa wale Me Vitonga?[emoji4]
Unaonaje huu muda wa kuilaumu CCM ukafanya usafi wa mazingira hapo kwako ili kujiepusha na magonjwa ya mlipuko?Serikali ya CCM imewasababishia walimu maisha magumu sana wana stress mbaya. Wanao athirika ni wanafunzi
Siku siasa nyingi hakuna kufukuza hata iweje unaambiwa elimu msingi ni basic rights ya mtoto ukimfukuza km mzazi akienda Kwa afisa elimu mnaletewa Vimeo warudi akienda Kwa diwani ndo mmeumia na hivi mwakani uchaguz wa serikali za mitaa weee....sasa hvi Kila Mwanasiasa hai hai hapookwani hile adhabu ya kuwatimua watoto watukutu shule ilisha futwa?
Inasikitisha mpwayungu village unamaoni gani hapa ?Utata umeibuka kuhusu kifo cha mwanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya sekondari iliyoko Pasua, Manispaa ya Moshi, Walter Ebenezer, anayedaiwa kushambuliwa kwa mateke kwenye mbavu na mwalimu wake kisha kupewa adhabu ya kupiga ‘push up’.
Kutokana na kifo hicho, ndugu wa mwanafunzi huyo wamejitokeza hadharani wakiliomba Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro kufanya uchunguzi wa kitabibu kubaini sababu za kifo hicho.
Inadaiwa kuwa mwanafunzi huyo kabla ya kupoteza maisha Februari 19 mwaka huu kwenye Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru) alikokuwa anapatiwa matibabu, alikuwa mwanafunzi wa bweni wa shule hiyo.
Akizungumzia tukio hilo jana, mama mdogo wa marehemu, Mkazi wa Sakina-Arusha, aliyejitambulisha kwa jina moja la Neema, alidai kuwa kabla mwanafunzi huyo hajafariki dunia, aliwaambia kwamba alipigwa na mwalimu wake mateke kwenye mbavu na aliambiwa apige push up kutokana na kosa ambalo hakuliweka wazi.
"Baba mzazi wa marehemu, alipigiwa simu akaambiwa akamchukue mtoto maana anaumwa sana. Alipokwenda shuleni kumchukua mtoto, alimleta Mount Meru kwa ajili ya matibabu.
Alipofikishwa Mount Meru, alipatiwa matibabu na aliwekewa oksijeni. Baadaye mtoto alipoteza maisha. Lakini tulikwenda kufuatilia polisi. Tulianzia Central Arusha (Kituo Kikuu cha Polisi) na baadaye tukaelekezwa twende Central ya Moshi mahali ambako tukio ndiko lilitokea.
"Tulimwelezea OCD Moshi (Mkuu wa Polisi wa Wilaya) tukio zima na akachukua gari na askari na wakaenda shuleni, hawakumpata mwalimu, wakaambiwa warudi siku iliyofuata.
"Niliwauliza polisi kama tunaruhusiwa kuuzika mwili, nikaambiwa 'hapana!', tunatakiwa kusubiri mpaka wafanye uchunguzi wao," alidai.
Hata hivyo, mama mdogo wa mwanafunzi huyo aliendelea kudai kuwa walipokwenda Kituo Kikuu cha Polisi Arusha, waliambiwa wanatakiwa wauzike mwili huo.
"Tunashangaa tutazikaje wakati Central Moshi wametuzuia na ndio ambako tukio limetokea? Tunazikaje huo mwili, mbona wanafamilia tunachanganywa? Tunazikaje wakati hatujajua mwafaka wa ndugu yetu amekufakufaje? Tunahitaji haki, uchunguzi ufanyike," alisisitiza.
Alipotafutwa kuzungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi (ACP) Simon Maigwa, alikiri jeshi hilo linamshikilia mmoja wa walimu wa shule hiyo (hakumtaja jina) kwa ajili ya uchunguzi.
"Tumefungua jalada la uchunguzi. Kwa sababu ni malalamiko, ni jukumu letu kumshikilia ili tujiridhishe. Timu yangu ya makachero imekwenda kufanya postmortem (uchunguzi wa kitabibu) ili tujiridhishe kwamba ni kweli aliuawa au alikuwa anaumwa?
"Tunachunguza lakini hatuwezi kusema moja kwa moja. Sasa kumshikilia ni jukumu letu, kwa sababu kuna malalamiko juu yake. Tunasubiri madaktari, watuambie kwamba chanzo cha kifo chake ni nini.
"Makachero wetu wamekwenda huko (Hospitali ya Mount Meru) kujiridhisha kwanza na hiyo taarifa, kama kweli ipo na kama ipo, basi washirikiane na ndugu ili 'ku-clear' (kumaliza) hiyo doubt (shaka). Bado uchunguzi unaendelea, tunamshikilia kwa ajili ya uchunguzi na sio kwa sababu ya mauaji," alisema.
Chanzo: Nipashe
Yaani huo ni muendelezo kabisa hata jamii itayofuata itakua ya hovyo sana, wazazi wengi hawajitambuiKabisaa Kuna mzazi hajui mwanawe Yuko form ngapi na hivi form two D mbili umefaulu ndo kabisa Yaani hawajali na hii elimu Bure Yaani tuna wazazi wa hovyo sana hapa Tanzania elimu Bure wao ndo haiwagusi kabisaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usishtuke huu mpango ni noma sana, unasubiri muda mzuri tu atajua hajui[emoji1][emoji1][emoji119][emoji1][emoji1]duhhhh
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
It's true kabisaaa ukisemacho maana kama watoto ndo Hawa wasioelewa sidhani km watakuja kua walezi wazuri Kwa watoto wao!Yaani huo ni muendelezo kabisa hata jamii itayofuata itakua ya hovyo sana, wazazi wengi hawajitambui
[emoji1][emoji1][emoji1]daahhh!!!kimya kimya hyooiUsishtuke huu mpango ni noma sana, unasubiri muda mzuri tu atajua hajui
Nadhani tatizo ni umasikini, mtu anaona liwalo na liwe. Miaka 20 ijayo watakumbuka na kuona hatuna la maana, wataanza ujambaziIt's true kabisaaa ukisemacho maana kama watoto ndo Hawa wasioelewa sidhani km watakuja kua walezi wazuri Kwa watoto wao!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ulipiga kichwa cha kata funua [emoji1787][emoji1787] shule timiza wajibu wako tu fundisha pindi zako umemaliza jichanganye kwenye michongo yako uta enjoy sanaKazi ya ualimu ngumu maana unawafundisha watoto wanaobalehe viburi, Malaya n.k Mimi kipindi naanza ajira Kuna mwanafunzi alinogomea kuchapwa, Mimi nimepanda juu alafu dogo anaenigomea mdogo mno hata mkononi hafiki, tena anagoma anasema "oyaa achana na mimi unajifanya unavurugu teacher usinizingue huku anarusha mikono kama mtu anataka kuanzisha ngumi...dogo nilimpiga kichwa kimoja tu kama ni kazi ningefukuzwa siku ile.. tokea miaka hiyo Sijawahi kumpiga mtoto wa mtu tena Nimekua mtu wa kushauri na kupita kushoto.