Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Umezeeka vibaya sana we Bi Kizee.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezeeka vibaya sana we Bi Kizee.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
UmeonaPathetic. Huyo mwanafunzi, Ni lini atajifunza kufanya usafi wa mazingira yake.
FaizaFoxy you must be living in a very dirty environme
We muote mzee. Akikukamata,utaita mama yako kuomba msaada. Binti wa miaka 16 we ndo unamuita kizee?Umezeeka vibaya sana we Bi Kizee.
Unanitia nyegeUnatombwa
Nini kikatokea?!Una point, lkn mzazi naye ana mdomo, angeweza kuongea na walimu sio kuchukua Sheria mkononi.
Unafikiri mtoto atakua anajisikiaje akijua walimu hawatamuadhibu Tena.
Unafikiri Kuna mwalimu hapo shuleni atashughulika na huyo mtoto?
Yuko mzazi mmoja Dar alikwenda shuleni kwa lengo la kumpiga mwalimu lkn walimu wanamtetea mwenzao na kumuambia huyo mzazi, kuanzia leo hatuta shughulika na huyo mtoto wako hata akiumwa hakuna atakaye kupigia simu.
Mzazi alidhani Ni utani.
Ndiyo maana tuna taifa lililojaa vijana wajinga wajinga na wabachojua ni kubeti, kunywa ulabu, mpira na mademu. Mtoto anakataa kupiga deki huku wenzake wakifanya kazi halafu mnataka mwalimu amchekee na kumwimbia Haniiiii ya Zuchu siyo?? Hapa naangalia UTV ya Azam taarifa ya habari wanasema kijana kamuuwa baba yake kwa kumkata mtama then akapiga tofali za kichwa na kuuwa baba yake aliyemzaa... Haya endeleeni kucheka na nyani tuone kama mtavuna mahindi, niko paleee...Usikute Wala sio fimbo moja.Wacha wapigwe maana walimu wamezidisha.
Achana na kuzoeleka. Uwapo na mwanafunzi,umesimama kwenye nafasi ya mzazi. Mbali na masomo,mtoto yeyote anatakiwa afundishwe. Usafi,kazi mbali mbali. Af uje uulize wazazazi wa 50+, ilikuwaje wakati wanasoma. Hata ambaye hakufanikiwa kuendelea,aliwekwa katika hali ya kuweza kutatua changamoto zinazomkabili. Leo hii,ndo maana kitoto kinaingia F1, kinamzidi mama yake kuwajua wanaume. Kiburi kinamzidi nzi. Kinasoma mpaka chuo kikuu,kina tatoo hadi kwenye kibumbu. Acha tu watu wahalibike yote yameanzia huko shule,ambako walimu hawatakiwi kuwagusa watoto. Af tena badae,utasikia oh,hawa walimu wanawafundisha nini? Hutaki mwanao aguswe,kweli haguswi. Kinakosea,wanakiandikia 98%. Mzazi home anaejitambua akimkagua,anakuta ana 10%. Kilio weeewe mpuuzi nini? Yaani mi mwalimu nideki wakati wanafunzi wapo? Kazi za usafi wa mazingira ya shule hufanywa na wanafunzi na imezoeleka hivyo
Haya ndiyo mawazo ya vijana wa kizazi hiki, ambao ni zaidi ya 70 % na eti ndiyo taifa linawategemea, daaah huu ni msiba mkubwa wallahi..Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
KiaziiUsikute Wala sio fimbo moja.Wacha wapigwe maana walimu wamezidisha.
Sasa huyo mzazi si ampeleke mtoto wake English medium schools za Ada ya milioni mbili ambapo kuna wafanyakazi wa kufanya usafi shuleni? Yaani upeleke mtoto St Kayumba mwalimu ndiye apige deki na kufagia shuleni???Tatizo mwandishi ameamua kuchagua kuwa upande wa waalimu bila hata kutumia akili, hivi kweli mtoto achapwe fimbo moja halafu mzazi aje kufanya fujo shuleni?
Fanyeni uchunguzi kidogo kabla ya kuleta habari kwenye public.
- Inawezekana mtoto ana matatizo ya afya ndio maana alikataa kudeki, so mwalimu kabla ya kukurupuka kutumia mafimbo angemshirikisha mzazi(siku hizi simu zipo kila mahali).
- Semeni ukweli alimchapa vipi na alitoa maneno gani wakati anamchapa au wakati mzazi alipokuja shuleni.
UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE MZAZI.
Bila malezi na strict discipline ni janga na bomu katika jamiiNdiyo maana tuna taifa lililojaa vijana wajinga wajinga na wabachojua ni kubeti, kunywa ulabu, mpira na mademu. Mtoto anakataa kupiga deki huku wenzake wakifanya kazi halafu mnataka mwalimu amchekee na kumwimbia Haniiiii ya Zuchu siyo?? Hapa naangalia UTV ya Azam taarifa ya habari wanasema kijana kamuuwa baba yake kwa kumkata mtama then akapiga tofali za kichwa na kuuwa baba yake aliyemzaa... Haya endeleeni kucheka na nyani tuone kama mtavuna mahindi, niko paleee...
Na wewe kizee cha zamani tuna yaheshimu mawazo yako ya kale.Haya ndiyo mawazo ya vijana wa kizazi hiki, ambao ni zaidi ya 70 % na eti ndiyo taifa linawategemea, daaah huu ni msiba mkubwa wallahi..
Kiruuuuu hawa watakuwa wamechukuliana mabwana mangi.....stori zao tuwaachie wenyewe...Copa Cabana mmekuja kuaje tena wandugu
😅😅😅😅😅 kuch kuch hotae.Me wangu Yassin alikuwa anachukua hela dukani kwao anakuja kunihonga, kuna siku alichukua simu mpya dukani kaja kunihonga 😜😜😜
Bahati yake nilisoma mwaka mmoja!!
Ningeendelea angenikoma 🤣🤣🤣
Afu kalikuwa kajinga kananiletea mambo ya kuch kuch hotae mtoto wa kikinga??
Tena usiombe ukamleta mtoto wako shule ninayofundisha mimi😂😂. Kila siku utakuwa unamkanda akirudi nyumbani.Mimi kama nimesoma shule zisizokuwa na viboko na bado discipline ilikuwa ya hali ya juu basi siwezi kuvumilia mtoto wangu kuchapwa kama punda. Nitakuja kuwachoma visu vya paja nyie walimu To yeye Hannah Mpwayungu Village Evelyn Salt
Unachapa hadi mzazi🤣🤣Ukimleta shule viboko anavyo, hutaki achapwe kaa nae nyumbani umfundishe, box la chaki buku mbili tu red pen mia mbili...
Huyu mzazi angekutana na mimi angechakaa😁 nawe ukija ntakuchakaza vilevile
Nitajie jina la shule mwakani nataka kumuandikisha.Tena usiombe ukamleta mtoto wako shule ninayofundisha mimi😂😂. Kila siku utakuwa unamkanda akirudi nyumbani.
Nani anapaswa kudeki?.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Duh halafu ujue nilikaa na kuamini this lady yupo vizur upstairs kumbe akili za slay Queen kabisa aiseeeKumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Hizi methali zikishajibu kwa watoto wako utatuletea majibuMwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.