Le professel
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 636
- 960
Sio kuzoeleka tu bali ndio utaratibu wenyewe.we mpuuzi nini? Yaani mi mwalimu nideki wakati wanafunzi wapo? Kazi za usafi wa mazingira ya shule hufanywa na wanafunzi na imezoeleka hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuzoeleka tu bali ndio utaratibu wenyewe.we mpuuzi nini? Yaani mi mwalimu nideki wakati wanafunzi wapo? Kazi za usafi wa mazingira ya shule hufanywa na wanafunzi na imezoeleka hivyo
Mwalimu alitakiwa apige hiyo pua ya huyo mzazi kwa rula ya ubaoni mpaka pua iwe kama chapati.Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina Kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.
Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.
Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.
Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
😂😂😂😂😂AisehHali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina Kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.
Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.
Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.
Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
Watoto wenu wengi wataishia kujiuza au kuwa mashoga kwa kuwa mnawaona mayai sana, yaani mtoto asijifunze kazi za kawaida kabisa kama hizo? N'a bado unaona Sawa tu?Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Hapo kwenye "young lady", are you serious?Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
She is young in mindHapo kwenye "young lady", are you serious?
Mtu umezaa mwana kwa shida halafu kamtu kengine kanakuja kukuchapia mwanao!Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina Kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.
Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.
Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.
Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
In that case, you may be right.She is young in mind
Anayetakiwa kudeki darasa ni Mwalimu au Mzazi wa Mwanafunzi sio?Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Huyu anajifanya mjuaji sanaKumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Katika kumlinda jitahidi pia kumfundisha adabu na NidhamuMwalimu mbona unamkingia sana kifuabmwalimu mwenzio? Yani kamchapa fimbo? Kweli mwalimu huu ndio ukweli?
Hata hivyo acha wazazi tulinde watoto wetu maana tunaona namna mnawashambulia wanetu huku mkiwarekodi na kutuonyesha mtandaoni.
Popote ulipo mzazi mlinde mwanao kwa gharama yoyote walimu wa leo vijanavijana hawa sio watu sahihi kwa usalama wa watoto wetu mambo yamebadilika sana.
Tofauti yako na kiroboto ni saizi ya mwili tuMwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Si ubaki naye nyumbani uwe unambembeleza na kumpaka mafuta?Mtu umezaa mwana kwa shida halafu kamtu kengine kanakuja kukuchapia mwanao!
Sawa angalia pmNitajie jina la shule mwakani nataka kumuandikisha.
Majibu yake:-Hizi methali zikishajibu kwa watoto wako utatuletea majibu
*Mchelea mwana kulia .......
*Haba na haba.....
*Lakuvunda .....
*Mtoto umleavyo....
*Apandae haba ....
*Mkaidi afaidi.......
Hivi shule za bure ndio kwenye mambo ya kudeki zile za kulipia nako inakuwaje?.Watoto wenu wengi wataishia kujiuza au kuwa mashoga kwa kuwa mnawaona mayai sana, yaani mtoto asijifunze kazi za kawaida kabisa kama hizo? N'a bado unaona Sawa tu?
Tofauti yako na James delicious siioni kabisa.Tofauti yako na kiroboto ni saizi ya mwili tu
OkaySawa angalia pm