Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Ujinga unakusumbua sana, kama hujui Mwaka wa kifedha unavyokua counted na TRA pole sanaTakwimu zip leta hapa za mwaka mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga unakusumbua sana, kama hujui Mwaka wa kifedha unavyokua counted na TRA pole sanaTakwimu zip leta hapa za mwaka mzima
Nilijua tu fala utaleta izi mshamba leta za mwaka jana mzima ujinga tu na elimu zenu za kuibia mitihaniUjinga unakusumbua sana, kama hujui Mwaka wa kifedha unavyokua counted na TRA pole sana
View attachment 2222837
Mwaka Jana ni 2020/2021, mwaka huu ni 2021/2022 ambao haujaisha mpaka June, we ni mjingaNi
Nilijua tu fala utaleta izi mshamba leta za mwaka jana mzima ujinga tu na elimu zenu za kuibia mitihani
Unaona atakuwa position iyo unaumwa ebu chukua kimkoa cheny Cha walevi uone mna mapato kiasi gani sibishani wa washamba uwe na adabu tafuta wapumbavu wenzioMwaka Jana ni 2020/2021, mwaka huu ni 2021/2022 ambao haujaisha mpaka June, we ni mjinga
Na ulivyokua na akili fupi unadhani ya mwaka huu unaoisha June kutokua na utofauti Mkubwa sana tofauti na mwaka Jana aiseee sikujua unaupeo mdogo hivi
Hujui hata mwaka wa kifedha serekali unaisha lini na unaanza lini we ni mjinga tuUnaona atakuwa position iyo unaumwa ebu chukua kimkoa cheny Cha walevi uone mna mapato kiasi gani sibishani wa washamba uwe na adabu tafuta wapumbavu wenzio
Vita ya wachaga na wasukuma imerudi tena.
Unaelewa lakin au ushazoea kuibia mwaka wa serikali unaanza mwezi wa Saba tuntaka mapato ya mkoa mzima unayajua mpaka Sasa au uneleta takwimu nusu nusu kalete hata y mwaka jana tuoneHujui hata mwaka wa kifedha serekali unaisha lini na unaanza lini we ni mjinga tu
Hizo takwimu ziko full kama hujui kusoma sema usaidiwe, alafu wewe ni mwanaume nenda kwenye website ya TRA kahakikishe kama unaona unadanganywa usiwe unapenda mteremko na kila kitu ufanyiweUnaelewa lakin au ushazoea kuibia mwaka wa serikali unaanza mwezi wa Saba tuntaka mapato ya mkoa mzima unayajua mpaka Sasa au uneleta takwimu nusu nusu kalete hata y mwaka jana tuone
Kaliwe kweny migomba huko uliona wapi tunataka za mkoa mzima unalet nusu danganywa wajinga wenzioHizo takwimu ziko full kama hujui kusoma sema usaidiwe, alafu wewe ni mwanaume nenda kwenye website ya TRA kahakikishe kama unaona unadanganywa usiwe unapenda mteremko na kila kitu ufanyiwe
Inakuwa ovyo kwa sababu ya kukutana na mashamba ukitoka mjini. Mbona hii ni kawaida dunia nzima. Jinsi mji unavyokuwa, wenye mashamba hupisha kwa kuuza ardhi kwa maendelea. Kwa taarifa Moshi ndiyo mji msafi kuliko miji yote TZ. Wana sheria na sheria zinasimamiwa bila upendeleo.Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
[emoji3]Ni mpumbavu sababu kama ameletewa takwimu za TRA na BoT na bado anaendelea kupinga ni mpumbavu
Kwa uelewa wangu kahama ni mji unaokua kwa Kasi lakin bado kwenye huduma za kijamii huufiki Moshi mfano equity walikua wanatangaza wamefungua tawi kahama nawakati Moshi tawi la equity lipo tokea 2000's, na kahama hawana hospital kubwa kama kcmc
Ndo mji msafi almost more than ten years ikishuka sana unashika nafas ya piliKaliwe kweny migomba huko uliona wapi tunataka za mkoa mzima unalet nusu danganywa wajinga wenzio
Usafi sio kigezo cha kuwa jijiInakuwa ovyo kwa sababu ya kukutana na mashamba ukitoka mjini. Mbona hii ni kawaida dunia nzima. Jinsi mji unavyokuwa, wenye mashamba hupisha kwa kuuza ardhi kwa maendelea. Kwa taarifa Moshi ndiyo mji msafi kuliko miji yote TZ. Wana sheria na sheria zinasimamiwa bila upendeleo.
Kwaio elewa pato la Kilimanjaro sio pato la Manispaa ya MoshiDar hapo wameweka mikoa ya kikodi. Ina mana hata hili hulijui??
Ni kama Tarime ilivyo na Mkoa Maalumu wa Kipolisi.
Kwaiyo mkuu Una wala Sana kimasiala uko ?Mabaya ya Moshi na Kilimanjaro
1. Ardhi hawa jamaa hawauzi ardhi kirahisi.
Usinunue eneo Moshi bila kufanya uchunguzi wa kutosha unaweza kujikuta kwenye mgogoro na familia
2. Manispaa ina eneo dogo sana hivyo mji unatanuka kwenda Moshi vijijini ..maeneo ya KCMC , kiborloni unaweza kuuziwa kiwanja cha 20 kwa 20 zaidi milioni 20 ....
Pia ni ngumu kukuta maeneo karibu n mjini manispaa au halmashauri ya Moshi vijijini inatangaza offer za viwanja ina maana maeneo Mengi yana watu yaani occupied.
3. Tabia yao ya kupanda migombani kila ifikapo jioni inafanya kujenga mjini kwao ni second option....hivyo ataliendeleza eneo lake la mjini endapo kama linamlipa
4.Dont trust them...kama wewe ni kiongozi wa taasisi na sio mwenyeji wa mkoa huu unatakiwa kuwa makini ....ni wakali wa kujimobilize dhidi yako na unaweza ukaingia kwenye kashfa usitoke...kwa kifupi wakabila sana kwenye sehemu yenye maslahi. Wanapenda kuwaita wakuja "chasaka"
Mimi pia ni chasaka kwani sitokei mkoa huu..
5. Wanaume wengi wanapopevuka wanaondoka home na wanaacha wake zao huku...hivyo kuna masingle mom wa kutosha ..na hii mentality wanawake wa huku wanaona ni party and parcel hawajali kwao ndoa ni heshima tu
No hoja iliyopo ni kilimo kufanyika mijini acha kutanua goli..Mmeanza tena kufananisha kijiji cha moshi na kathmandu!!! Are you serious? Haya nasubiri battle ya Dubai city and moshi village [emoji16] huu mwaka mmetisha