Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

Ruaaaaaaaaa!

Shimbonyi Mangi.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Leo wakazi wa Moshi mjini wameamua kutoa ya moyoni kwa kumsubiri Rais anayetizamiwa na wananchi wengi kuwa Rais , Mhe. Tundu Lissu, Ambaye alikuwa Rombo...
Wacha walinyooshe hili zee liliyataka lenyewe! Huwezi kuwatenga watu kwa ajili tu ya kuwa na maendeleo makubwa kuliko makabila mengine!

Mzee jeuri na mjinga sana huyu, alivyokuwa anajibu watu kwa jeuri alifikri hatakuja kuwaomba kura? Natamani huko Kaskazini anyimwe kura hata na wanaccm wenzake!
 
Nimeona hamasa ya watu was Moshi Jana usiku kumpokea Lissu aliyechelewa kufika kutokana na wingi wa ratiba.
Shangwe ilikuwa kubwa mno, vibe la kutisha kabisa na halina mfano.

OMBI LANGU;
Hali sio shwari sana na sio siri kwani Lissu kesha kuwa tishio kuelekea ushindi. Katika mikusanyiko mikubwa kama hiyo ambayo wabaya waweza kuitumia Giza ni adui namba moja wa ulinzi. Tuepuke mazingira kama hayo kabisa.

Lissu kwa sasa anastahili ulinzi mkubwa sana kuliko hata hapo atakapo kuwa Rais. Sasa hivi ni tishio kubwa kwa wenye uwezo hata wa kumdhuru.

Nilitoa ushauri hapa kuwa hata ulinzi wa kawaida uongezwe tafadhali ikiwezekana iajiriwe platoon kabisa miongoni mwa waaminifu wa chama waongozane naye.

Hatutakubali excuse yeyote kwenye usalama wake kwa sasa, Mungu ametupatia Lissu jee hata ulinzi wa kawaida atuletee? Huo utakuwa ugoigoi sasa.

Naamin walinzi wake wanalijua hilo na hao ccm hawata bet kufanya upuuzi huo
 
Ruaaaaaaaaa!

Shimbonyi Mangi.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Leo wakazi wa Moshi mjini wameamua kutoa ya moyoni kwa kumsubiri Rais anayetizamiwa na wananchi wengi kuwa Rais , Mhe. Tundu Lissu, Ambaye alikuwa Rombo .

Kuchelewa kwa Lissu kumetokana na Wananchi wengi kumsonga songa na kuziba njia asipite bila kuwasalimia kwani wanamtazamia kuwakomboa.

Alisimamishwa Marangu na nyomi kubwa haijawahi tokea hapo Marangu.

Baadae alifanikiwa kumfika mjini usiku huu, akikuta maelfu ya watu waliokuwa wakimsubiri bila kukata tamaa na walionesha kuwa na hamu nae kubwa sana.

Lissu alishindwa hata kuongea walivyokuwa wakimpigia kelele za kuonesha mahaba mazito kwake "RAIS RAIS RAIS, LISSU LISSU LISSU'

Ikabidi kuwatuliza ikashindikana kwasababu walikuwa wakipaza sauti kumtaja ni RAIS ajaye.

Mwishoni ikabidi, awatangazie atarejea tena kufanya mkutano, alishangiliwa na vifijo vya faraja kuu, ikiashiria wanamsubiri aje kwa mara nyingine.


My take!


Huu uchaguzi utakuwa haujawahi kuwapo na hautakuwahi kuwapo.

Lissu anapendwa kwa dhati na wananchi.

Chini ni baadhi ya picha na video za tukio la Leo.

View attachment 1585971

View attachment 1585968
View attachment 1585967
wasanii wapogo miaka yote kampeni za ccm hazijaanza leo. tafuta lingine la kusema! huu mwaka utakua the worst for cdm kuwahi kutokea because numbers dont lie
Numbers gani? Unaongelea? Labda with the usual handball tactics
 
Wapi tena hapo alipigishwa magoti?
Njombe

2534801_JamiiForums312469786.jpg
 
Hakika LISU anapendwa nimejionea jana hapa mjini. sio mama zetu,sio wake sio wazee kila mmoja alikua na hamasa kubwa sana ya kusikia sauti ya LISU. Nitakuwa tena kweny mkutano utakaopangwa na baada ya kusikiliza ahadi za LISU. Niicheze ONE LOVE ya BOB MALLYA rege imerudi nyumbani!!!!
 
Habari wanaJF!

Baada ya Lissu kuahirisha mkutano Jana Moshi mjini kwa kuchelewa kutoka Rombo baada ya kusimamishwa na wananchi njiani.

Kundi kubwa la watu walimfuata hotel aliyofikia kama ishara ya kuwa na imani nae hadi alipowaomba kwenda kupumzika na bado walionesha hali ya kumlinda anapolala. Chini ni video ikinionesha tukio zima la jana usiku.

 
Hakika LISU anapendwa nimejionea jana hapa mjini. sio mama zetu,sio wake sio wazee kila mmoja alikua na hamasa kubwa sana ya kusikia sauti ya LISU. Nitakuwa tena kweny mkutano utakaopangwa na baada ya kusikiliza ahadi za LISU. Niicheze ONE LOVE ya BOB MALLYA rege imerudi nyumbani!!!!
Kuna video wamemfuata hadi hotelini
 
Back
Top Bottom