Wacha walinyooshe hili zee liliyataka lenyewe! Huwezi kuwatenga watu kwa ajili tu ya kuwa na maendeleo makubwa kuliko makabila mengine!Ruaaaaaaaaa!
Shimbonyi Mangi.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Leo wakazi wa Moshi mjini wameamua kutoa ya moyoni kwa kumsubiri Rais anayetizamiwa na wananchi wengi kuwa Rais , Mhe. Tundu Lissu, Ambaye alikuwa Rombo...
Goti moja fupiLissu sio mchezo.View attachment 1586088
Mwenyekiti mpumbavu atasema picha za wakati wa Lowassa!Moshi mjini. View attachment 1585976
Tena ili wajae lazima wakae, wakisimama ni aibuEbu nenda kule.
Ccm na Jiwe imepoteza kibali kwa wananchi ndio maana mnatumia wasanii, wanafunzi , watumishi na kuhonga watu kuja.[emoji23][emoji23]
Mbeya baada ya show ya diamond watu wakaanza kusepa.
Cheki watu wana tia huruma na kukosa furahaView attachment 1586093
Kadi za kupiga kura?Ccm wataachwa mbali sana. Nimefanya utafiti vijana wengi wenye umri kati ya 18 na 35 wanakadi ,walisajiri kwa ajiri ya vitambukisho vya kusajiria simu.
Joto limepanda kwelikweli mnatamani kampeni ziishe kesho maana kwa mwendo huu dingi anaenda kuvua shati.Duuh zimebakia siku chache tu tufunge huu ukurasa wa Lisu tuendelee na mambo mengine muhimu zaidi.
Hapana,Kadi za kliniki.Kadi za kupiga kura?
Naamin walinzi wake wanalijua hilo na hao ccm hawata bet kufanya upuuzi huoNimeona hamasa ya watu was Moshi Jana usiku kumpokea Lissu aliyechelewa kufika kutokana na wingi wa ratiba.
Shangwe ilikuwa kubwa mno, vibe la kutisha kabisa na halina mfano.
OMBI LANGU;
Hali sio shwari sana na sio siri kwani Lissu kesha kuwa tishio kuelekea ushindi. Katika mikusanyiko mikubwa kama hiyo ambayo wabaya waweza kuitumia Giza ni adui namba moja wa ulinzi. Tuepuke mazingira kama hayo kabisa.
Lissu kwa sasa anastahili ulinzi mkubwa sana kuliko hata hapo atakapo kuwa Rais. Sasa hivi ni tishio kubwa kwa wenye uwezo hata wa kumdhuru.
Nilitoa ushauri hapa kuwa hata ulinzi wa kawaida uongezwe tafadhali ikiwezekana iajiriwe platoon kabisa miongoni mwa waaminifu wa chama waongozane naye.
Hatutakubali excuse yeyote kwenye usalama wake kwa sasa, Mungu ametupatia Lissu jee hata ulinzi wa kawaida atuletee? Huo utakuwa ugoigoi sasa.
Ruaaaaaaaaa!
Shimbonyi Mangi.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Leo wakazi wa Moshi mjini wameamua kutoa ya moyoni kwa kumsubiri Rais anayetizamiwa na wananchi wengi kuwa Rais , Mhe. Tundu Lissu, Ambaye alikuwa Rombo .
Kuchelewa kwa Lissu kumetokana na Wananchi wengi kumsonga songa na kuziba njia asipite bila kuwasalimia kwani wanamtazamia kuwakomboa.
Alisimamishwa Marangu na nyomi kubwa haijawahi tokea hapo Marangu.
Baadae alifanikiwa kumfika mjini usiku huu, akikuta maelfu ya watu waliokuwa wakimsubiri bila kukata tamaa na walionesha kuwa na hamu nae kubwa sana.
Lissu alishindwa hata kuongea walivyokuwa wakimpigia kelele za kuonesha mahaba mazito kwake "RAIS RAIS RAIS, LISSU LISSU LISSU'
Ikabidi kuwatuliza ikashindikana kwasababu walikuwa wakipaza sauti kumtaja ni RAIS ajaye.
Mwishoni ikabidi, awatangazie atarejea tena kufanya mkutano, alishangiliwa na vifijo vya faraja kuu, ikiashiria wanamsubiri aje kwa mara nyingine.
My take!
Huu uchaguzi utakuwa haujawahi kuwapo na hautakuwahi kuwapo.
Lissu anapendwa kwa dhati na wananchi.
Chini ni baadhi ya picha na video za tukio la Leo.
View attachment 1585971
View attachment 1585968
View attachment 1585967
Numbers gani? Unaongelea? Labda with the usual handball tacticswasanii wapogo miaka yote kampeni za ccm hazijaanza leo. tafuta lingine la kusema! huu mwaka utakua the worst for cdm kuwahi kutokea because numbers dont lie
Wazalendo halisi waliamua kutumia tochi za simu zao! Mrema aliwahi kusema kwa sauti ya kichaga "hatoki mtu hapaaa".Moshi mjini. View attachment 1585976
Wengi hawana wengine walichoma moto kwa hasira baada ya Lowasa kushindwa kuraKadi za kupiga kura?
Daah! Asante kwa kunikumbusha hii kauli yake ngumu na ya kifedhuli."Kufika 2020 atakaye baki mjini atakuwa kidume". By Magufuli et-al.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna video wamemfuata hadi hoteliniHakika LISU anapendwa nimejionea jana hapa mjini. sio mama zetu,sio wake sio wazee kila mmoja alikua na hamasa kubwa sana ya kusikia sauti ya LISU. Nitakuwa tena kweny mkutano utakaopangwa na baada ya kusikiliza ahadi za LISU. Niicheze ONE LOVE ya BOB MALLYA rege imerudi nyumbani!!!!
Aysee watu wa Moshi wameonesha mapenzi makubwa kwa Lissu.Niyeye