Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

Hizi video na mapichapicha myatunze ili atakapoapishwa JPM mzikague kura za hao raia wote zilienda wapi.
Wee jidanganye..unafkiri huyu ni lowassa mliemwibia halafu eti wa akamwachia mungu!!!!...huyu wa mwaka huu ni wa jino kwa jino.

polisi tunawaomba ccm itakapoanzisha fujo kwa kuharibu uchaguzi nyie kaeni pembeni, tuacheni sisi(tupo wengi) na wao(ni wachache sana) tufundishane heshima.
 
Haya mambo buana, yanawahitaji watu wenye mioyo mikubwa, wenye uvumilivu haswaa!

Maana kufuatwa fatwa kote huko, mwisho wa siku unakuja kushindwa, tena sio kushindwa tu, Bali kushindwa zaidi ya kushindwa, Haki ya Nani unaweza kuchukua maamuzi mabaya

wengi wa watu hao wenye mioyo isiyoamini kilichowatokea! Wao huingia kwenye maamuzi mabovu ya kuingiza raia barabarani wakafe Kwa ajiri yao, na hapo sasa mtu hujikuta akinuka damu za watu mpaka kuzimu!
Mkuu naona unaandika kujifariji...safari hii kura hamtaziiba!!

Roho ya kukataliwa ii juu yenu na mgombea wenu!!
 
Haya mambo buana, yanawahitaji watu wenye mioyo mikubwa, wenye uvumilivu haswaa!

Maana kufuatwa fatwa kote huko, mwisho wa siku unakuja kushindwa, tena sio kushindwa tu, Bali kushindwa zaidi ya kushindwa, Haki ya Nani unaweza kuchukua maamuzi mabaya

wengi wa watu hao wenye mioyo isiyoamini kilichowatokea! Wao huingia kwenye maamuzi mabovu ya kuingiza raia barabarani wakafe Kwa ajiri yao, na hapo sasa mtu hujikuta akinuka damu za watu mpaka kuzimu!

Subiri tarehe ifike ndipo utaelewa kitakachotokea CCM ndiyo watakao mpigia kura nyingi Tundu Lissu ndiyo maana hadi mgombea wao ameanza kupiga magoti, fikiria usumbufu wanaopata kusomba watu na magari kila mkutano na kufunga milango ili wasitokea mkutano ukianza, uliona Samora pale Iringa walisahau kufunga mlango nyomi iliyokuwa inatoka mgombea alipoanza kuongea.

Ni vema kujiandaa kwa mabadiliko hakuna namna kwa sasa inajulikana nani anakwenda kichaguliwa, watu wanaosha masufuria wengine wamelala chini kuomba msamaha lakini wananchi wameteswa mno na hii awamu chuki ni kubwa sana katika mioyo ya watu.

Halafu hayo mabomu wanayopiga ndiyo yanaongeza chuki waendelee kupiga ndo watajuwa ikifika tarehe 28/10
 
Habari wanaJF!

Baada ya Lissu kuahirisha mkutano Jana Moshi mjini kwa kuchelewa kutoka Rombo baada ya kusimamishwa na wananchi njiani.

Kundi kubwa la watu walimfuata hotel aliyofikia kama ishara ya kuwa na imani nae hadi alipowaomba kwenda kupumzika na bado walionesha hali ya kumlinda anapolala. Chini ni video ikinionesha tukio zima la jana usiku.
Ni yeyeeee
 
Kwamba mwaka huu nipige kura alafu muibe? Mm naomba mjalibu kwani huyo mkurugenzi wa uchaguzi anaishi mbinguni? ata Kama ni mbiguni mwaka huu namfata ukouko.
 
Huyu mtu anapendwa hivi kwanini....hana bango mahali, hana televion inayo-cover mikutano yake,hana wana Wanamuziki wakubwa.....mbona amekuwa tishio hivi.....
Iko nguvu isiyoonekana kwa macho inayotusukuma Watanzania. Hiki ni kibali cha Mungu juu ya Tundu Lissu....
 
wee jidanganye..unafkiri huyu ni lowassa mliemwibia halafu eti wa akamwachia mungu!!!!...huyu wa mwaka huu ni wa jino kwa jino.
polisi tunawaomba ccm itakapoanzisha fujo kwa kuharibu uchaguzi nyie kaeni pembeni, tuacheni sisi(tupo wengi) na wao(ni wachache sana) tufundishane heshima.
Jino kwa jino ilishindwa zamani sana kipindi cha Lipumba.
Rais Edo wa Turkey baada ya mapinduzi aliwaambia raia yeye hawezi anawaachia raia waikomboe nchi yao dhidi ya vibaraka wa mabeberu.
Kila mtanzania mzalendo anahaki ya kuilinda nchi yake na makuwadi wa mabeberu wanaotaka kuharibu amani ya nchi yetu kwa kupitia mlango wa siasa.
kama polisi ni wachache basi wazalendo wa hii nchi wapo wengi pia,tutakutana uso kwa uso nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa.
tukutane October 28 kwenye sanduku la kura.
 
Kwahiyo magufuli na lisu yupi anae vunja sheria.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Wananchi waligoma kuondoka Polisi wakamuomba Lissu aseme neno awatawanye, hata Lissu anajua kuhutubia usiku ni hatari achana na kwamba sheria inakataza, lolote linawezekana kutokea. Lissu sio na hajawahi kuwa mbumbumbu.
 
Haya mambo buana, yanawahitaji watu wenye mioyo mikubwa, wenye uvumilivu haswaa!

Maana kufuatwa fatwa kote huko, mwisho wa siku unakuja kushindwa, tena sio kushindwa tu, Bali kushindwa zaidi ya kushindwa, Haki ya Nani unaweza kuchukua maamuzi mabaya

wengi wa watu hao wenye mioyo isiyoamini kilichowatokea! Wao huingia kwenye maamuzi mabovu ya kuingiza raia barabarani wakafe Kwa ajiri yao, na hapo sasa mtu hujikuta akinuka damu za watu mpaka kuzimu!
Anayemwaga damu za RAIA walioingia barabarani ni nani?Kwani sheria zetu zinakataza watu kuandamana?
 
Huku Namanyere wananiambia John Pombe Magufuli ndio kila kitu
Tundu atasubiri sana
 
Back
Top Bottom