Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

JPM ni Rais anayesubilia kuapishwa kwanini niteseke!
Kwanini anaomba Kura? JPM Ni mgombea Urais Anayetarajia kushinda brother;Kusubiri kuapishwa wakati yuko majimboni kuomba Kura??? Hizi Kauli wakati mwingine zinakigharimu chama;
 
Kwa hio unabisha mkuu?
Ndio mkuu kwa sababu ninavyofahamu Uganda ilichukuliwa na maafisa fulani wa jwtz ambao nimesahau majina yao na wakati ule hawakua ma jenerali, ni ma bregedier nadhani,zipo video youtube wanapokelewa UG na raia
 
Ndio mkuu kwa sababu ninavyofahamu Uganda ilichukuliwa na maafisa fulani wa jwtz ambao nimesahau majina yao na wakati ule hawakua ma jenerali, ni ma bregedier nadhani,zipo video youtube wanapokelewa UG na raia
Kwa hio mkuu kwny hio video ulivyangalia umeona nini?
 
Kwa hio mkuu kwny hio video ulivyangalia umeona nini?
Kwa mujibu wa hizo video miji mfano kampala ilikombolewa na maafisa fulani wa jwtz na walipewa jukumu la kuiongoza hiyo miji kwa muda na nyerere,mkuu wa majeshi alikuwa Dar es salaam. Labda iwe walitudanganya
 
Kwa mujibu wa hizo video miji mfano kampala ilikombolewa na maafisa fulani wa jwtz na walipewa jukumu la kuiongoza hiyo miji kwa muda na nyerere,mkuu wa majeshi alikuwa Dar es salaam. Labda iwe walitudanganya
Nilikua naulizia hio video iliyowekwa pale juu mkuu?
 
Ruaaaaaaaaa!

Shimbonyi Mangi.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Leo wakazi wa Moshi mjini wameamua kutoa ya moyoni kwa kumsubiri Rais anayetizamiwa na wananchi wengi kuwa Rais , Mhe. Tundu Lissu, Ambaye alikuwa Rombo .

Kuchelewa kwa Lissu kumetokana na Wananchi wengi kumsonga songa na kuziba njia asipite bila kuwasalimia kwani wanamtazamia kuwakomboa.

Alisimamishwa Marangu na nyomi kubwa haijawahi tokea hapo Marangu.

Baadae alifanikiwa kumfika mjini usiku huu, akikuta maelfu ya watu waliokuwa wakimsubiri bila kukata tamaa na walionesha kuwa na hamu nae kubwa sana.

Lissu alishindwa hata kuongea walivyokuwa wakimpigia kelele za kuonesha mahaba mazito kwake "RAIS RAIS RAIS, LISSU LISSU LISSU'

Ikabidi kuwatuliza ikashindikana kwasababu walikuwa wakipaza sauti kumtaja ni RAIS ajaye.

Mwishoni ikabidi, awatangazie atarejea tena kufanya mkutano, alishangiliwa na vifijo vya faraja kuu, ikiashiria wanamsubiri aje kwa mara nyingine.


My take!


Huu uchaguzi utakuwa haujawahi kuwapo na hautakuwahi kuwapo.

Lissu anapendwa kwa dhati na wananchi.

Chini ni baadhi ya picha na video za tukio la Leo.

View attachment 1585971

View attachment 1585968
View attachment 1585967


KURA ANATANGAZA MTU MMOJA TU INGAWA WAPIGAJI NI MIL 25.......USHINDI NI ???????????? ASILIMIA 54 KWA 46....AHHAHHAHAHA.
JESHI NA POLISI LANGU.... TUME YA UCHAGUZI NIMECHAGUA MIMI..MWENYEKITI WA TUME WANGU..... MBUZI WOTE WANGU...
 
Raia waligoma Kuondoka; Ikabidi polisi wampe Lisu 5 Minutes tu za kuwasalimia then aende; Dogo langu ni kiongozi wa chadema alinipa hiyo taarifa;

Kama ndivyo, basi hapo polisi walitumia busara sana. Nawapa hongera.
 
Huenda watu wanazuga ila kura ni siri yao. Wanashangaa mtu alienusurika kwa risasi 16 . Watu wana hamu na kitu kilichoonekana (maendeleo) kuliko kisichoonekana . Ahadi hewa sasa ni mwiko!!
 
Magufuli is a country bumpkin
You are very, very right. Keep on your dreams. However, the fact remains that what he has accomplished in 5 years, as a president, is not only commendable, but beyond any imaginable expectations.
 
You are very, very right. Keep on your dreams. However, the fact remains that what he has accomplished in 5 years, as a president, is not only commendable, but beyond any imaginable expectations.
Usimfanye kila mtu ni mjinga kama wanaCCM,kama kwa kipindi cha miaka mitano amefanya mambo makubwa sana kwa nini anaomba kura kwa kupiga magoti?

Wewe unaweza kufanya mambo makubwa sana kwa wananchi kisha ukaombe tena kibali cha kuendelea kuwatumikia kwa kupiga magoti?Kwanza mtu aliewafanyia mambo makubwa sana wananchi wala hana haja ya kufanya kampeni kwa sababu hayo mambo makubwa aliyofanya yanatoshi kumnadi.

Unapofanya mambo makubwa sana wananchi wanatakiwa wakuhitaji wewe kuliko unavyowahitaji wao.Iweje leo hii Magufuli ahitaji wananchi tena kwa kupiga magoti kuliko wananchi wanavyomuhitaji yeye kama alifanya mambo makubwa sana kama unavyojinasibu hapa?

Kitendo cha Magufuli kuomba kura kwa kupiga magoti ni ushahidi kuwa hakuna lolote la maana alilofanya kwa kipindi cha miaka mitano na kwa hiyo amekosa kibali cha wananchi kuendelea kuwa kiongozi wao,anachofanya sasa hivi ni kupiga magoti ili kulaghai watu.

Magufuli kwa sasa hivi ni tapeli anaetaka kurudi ikulu kwa njia za hila na kwa kulaghai watu baada ya kutumia miaka mitano kufanya ujinga na kujinufaisha yeye mwenyewe.
JamiiForums312469786.jpg
 
Back
Top Bottom