Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Kama siamini vile sababu ya watu kukanyagana kiasi cha kufikia kuuana!
Poleni wafiwa. Ngoja nisubiri maelezo ya kina.
 
We ndo zuzu kweli toka lini Mungu akafanya jambo kwa bahati mbaya. Yaani Mungu aruhusu watu wafe wakiwa kwenye eneo takatifu tena kwa nabii na mtume wake? Huyo ni nabii wa uongo na tapeli.

Mungu mwenyew anasema", Njooni nyote msumbukao na kuelemewa na mizigo nami nitawapumzisha". Kwahiyo hapo ndo kawapumzisha au? Pigo la Mungu huja siku usioizani na siku yake ndo leo. Huko nyuma Mungu alimwacha pengine ili atubu,bahati mbaya akawa jeuri na hayo ndio matunda yake. Bulldozer ni tapeli,na mchawi km ilivyo kwa TB Joshua,Mzee wa upako, Gwajima,Prophet Bushir na Geodavie.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe wachagga mbumbumbu namna hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nabii kawapiga, ujinga Huu.... Hakuna, hakuambiwa na wasaidizi asitishe watu wanakanyagana, hana ushers? Mie ningekuwa na mamlaka naanza msweka ndani yeye!
 
Kama siyo mmoja wa wanufaika basi acha kushabikia ushirikina na utapeli wa baadhi ya hao wanaojiita manabii na mitume wajasiriamali kupitia mgongo wa dini.
 
@I am Bless: Usiseme kwamba watu wengi wanakurupuka bali jiulize na fanya kuushirikisha vyema ubongo wako.

Iweje mahosptilani wagonjwa ni wengi na kama hawa wanaojiita manabii wanauwezo wa kutibu kwa nini watu waende hospitali badala ya kwenda kwenye haya makanisa?.

Kwa nini watu wahangaike kufanya kazi ilihali wakienda kwa hao mitume wanafanikiwa kupata mkate na kuendeleza familia zao?

Kwa nini watu wahangaike na matatizo ambayo wakipakwa mafuta au maji hayakomi ila inakuwa ni utumwa wa kila leo unataka upate mafuta hayo au maji hayo?

Kwa nini hamtaki kukubali ukweli kwamba hawa sio manabii wa ukweli wameweka mbele maslahi ya wao kuwa na miujiza ambayo ukiifikiria kwa undani zaidi haieleweki?.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nawe ni kipofu, hujui hata kuchambua kati ya pumba na mchele. Mungu akurehemu bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…