Kasemaje?Hakika Mh. Mbowe ni hazina, Amemaliza mjadala wa Covid 19, na kuondoa tetesi zilizokuwa zimeanza kushikakasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasemaje?Hakika Mh. Mbowe ni hazina, Amemaliza mjadala wa Covid 19, na kuondoa tetesi zilizokuwa zimeanza kushikakasi.
Eti leo Samia msafi,anacheeeka!,wasituhamishe ,hali mbaya sana huku field[emoji23]Siasa afrika ni biashara.
Mngekuwa imara msingehangaika na marehemu kila uchao,unapambanaje na marehemu halafu unajisifu?, empty stomach and mind only doing this rubbishWaambie MATAGA wanaotamani kufa Kwa ajili ya kulinda legacy uchwara kwamba siasa ni upumbavu mtupu ili kunusuru Maisha uhai wao.
Wewe nawe usiwe mjinga. Siasa ni dynamic. Wakati mwingine misimamo hubadilika kutokana na kutimizwa kwa matakwa fulanifulani. Soma articles za conflict resolution and peace building ili uache kujiabisha hapa jukwaani kwa umbumbumbu wako.Walisema hawautambui uchaguzi wa 2020 uliomfanya Samia makamu wa Rais na Rais 2021 kikatiba.
Leo wamemualika Rais Samia kama mgeni rasmi wa siku ya wanawake wakimtambua kama mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri.
JPM alinunua mmoja moja ila wa sasa kanunua chama chote
Hahahah ........ukiguswagwa kunako unatoaga povu hadi basi. Usinikasirikie Mimi. Kasirikia ujinga wako Wa kuwa mfuasi Wa mtu. Mwenyekiti wenu keshawaacha na legacy yenu uchwara, anajua mtu mwenye akili timamu hawezi kumsemea dhalimu. Pambaneni wenyewe.Mngekuwa imara msingehangaika na marehemu kila uchao,unapambanaje na marehemu halafu unajisifu?, empty stomach and mind only doing this rubbish
MADINIWalisema hawautambui uchaguzi wa 2020 uliomfanya Samia makamu wa Rais na Rais 2021 kikatiba.
Leo wamemualika Rais Samia kama mgeni rasmi wa siku ya wanawake wakimtambua kama mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri.
JPM alinunua mmoja moja ila wa sasa kanunua chama chote
Samia kasema anapata upinzani mkali ndani ya chama chake kuhusu MARIDHIANO.Simamia ukweli utakuweka huru,acha ufala,wanachofanya chadema hakuna mwenye utimamu wa akili atawaelewa,sana **** kinoko kama wewe tu
Aisee [emoji2960][emoji2960]Vijana wanawekewa bando kupotosha,utafika muda wa kukana wazazi wao,time will tell,
Mbowe ndio ananunua CCM na mti wake hivyo.Walisema hawautambui uchaguzi wa 2020 uliomfanya Samia makamu wa Rais na Rais 2021 kikatiba.
Leo wamemualika Rais Samia kama mgeni rasmi wa siku ya wanawake wakimtambua kama mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri.
JPM alinunua mmoja moja ila wa sasa kanunua chama chote
Ikikuuma jinyonge punga weweWalisema hawautambui uchaguzi wa 2020 uliomfanya Samia makamu wa Rais na Rais 2021 kikatiba.
Leo wamemualika Rais Samia kama mgeni rasmi wa siku ya wanawake wakimtambua kama mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri.
JPM alinunua mmoja moja ila wa sasa kanunua chama chote
Daah! Umeamua sana na bado utajua haujui!!Walisema hawautambui uchaguzi wa 2020 uliomfanya Samia makamu wa Rais na Rais 2021 kikatiba.
Leo wamemualika Rais Samia kama mgeni rasmi wa siku ya wanawake wakimtambua kama mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri.
JPM alinunua mmoja moja ila wa sasa kanunua chama chote