Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tanzania sasa ni mojaume piga mswaki kwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania sasa ni mojaume piga mswaki kwel
Mtalia sana nyinyi waramba viatu maana mkeka wenu tayari ushaliwa na mbuziWajinga Kama mmawia hawajui hili ... Mimi sitoshangaa ikiwa TAL atazikacha hizi siasa za Akina mmawia ...
Hizo siasa za Shukrani zinamjenga zaidi Samia kuliko Chadema na 2025 ...hakuna usawishi wataoueleza kwa wananchi...
Mlizoea kuuza umbeya kwa kuchochea vurugu za kisiasa hapa nchini ili mradi mnajaza matumbo yenu makubwa kama ya tembo.Wajinga Kama mmawia hawajui hili ... Mimi sitoshangaa ikiwa TAL atazikacha hizi siasa za Akina mmawia ...
Hizo siasa za Shukrani zinamjenga zaidi Samia kuliko Chadema na 2025 ...hakuna usawishi wataoueleza kwa wananchi...
Tauari anaishi maisha ya omba omba tuEndelea kulilia kuna bandiko humu liliandikwa kuwa kunawatu wataishi kwa tabu baada ya babako kutoka
100%2019 uchaguzi wa tamisemi CCM walishinda kwa 99%
Mwaka kesho itakuwa tofauti, na matokeo ya mwaka kesho ndiyo reflection ya matokeo ya 2025
Haitasaidia kitu kwa watu wasaka tonge kama nyinyiUnajua mkuu Kuna vitu vinashangaza Sana ,,wakati ACT inahudhuria vile vikao vya mukandala CHADEMA walishambulia Sana lkn leo wao wamegeuka kuwa wasifiaji kuliko ACT ipi ilikuwa Hoja ya Chadema kukataa ?? Hii Ni double standards.... Tutakuja kufukua hizi nyuzi...
Yaani swala la Samia kukutana na Chadema linawauma CCM na ACT kuliko Chadema wemyewe100%
CDM wamekata tamaa katika kufikia adhma yao ya kushika dola.Sasa kwa mpango huu Nani atamsemea mwananchi? Kazi ya UPINZANI Ni kuibana serikali ..ukiona Hali ipo hivi ujue Sasa mbovu mbovu tu
Ndiyo hapo ujue kuwa nchi hii emejaa upashukuna vibaya sana.Yaani swala la Samia kukutana na Chadema linawauma CCM na ACT kuliko Chadema wemyewe
Zitto kabwe anaumia sanaNdiyo hapo ujue kuwa nchi hii emejaa upashukuna vibaya sana.
Endeleeni kufurahia saa100🤣🤣Haya maigizo ya SAA 100 bila katiba ya wananchi ya jaji Warioba ni Bure
SAA 100 akirudisha mchakato wa katiba mpya ya jaji warioba ndio nitamuona kweli yeye na CCM yake wamedhamilia kubadilika (maridhiano) zaidi ya hapo ni utapeli
Huu ni mjadala mpya. Kwa taarifa uliyonayo CDM ilipaswa kupata asilimia ngapi bila figisu za Magufuli?Ujue 2020 bila figisu Magufuli asingepata hata 50%?
Yule ni mnafiki namba moja kwenye siasa za upinzaniZitto kabwe anaumia sana
Alichukia sana Samia kukutana na MboweYule ni mnafiki namba moja kwenye siasa za upinzani
Kabisa Mkuu nikumchosha Mh.Rais hapo Bado Mbowe hajaongea.Hili tukio mpangilio wake ni mbovu sana!
Huwezi kumkalisja rais wa nchi kwa muda wote huo kanakwamba hana mambo mengine ya kufanya!
Anayoyaongea mwenyekiti wa Bwacha hayana tofauti sana na aliyoongea katibu wa Bawacha,
Ili kuokoa muda ilipaswa hotuba ya katibu na mwenyekiti ziunganishwe pamoja.
Kwa sasa wanajikomba kwa mama ili waachiwe walau majimbo 5 kwenye uchaguzi ujaoCDM wamekata tamaa katika kufikia adhma yao ya kushika dola.
Wanaamini wananchi hawajawa tayari kuunga mkono harakati za kuiondoa CCM madarakani achilia mbali kujikomboa wao wenyewe kiuchumi.
KajinyongeHili tukio mpangilio wake ni mbovu sana!
Huwezi kumkalisja rais wa nchi kwa muda wote huo kanakwamba hana mambo mengine ya kufanya!
Anayoyaongea mwenyekiti wa Bwacha hayana tofauti sana na aliyoongea katibu wa Bawacha,
Ili kuokoa muda ilipaswa hotuba ya katibu na mwenyekiti ziunganishwe pamoja.
Tatizo halipo bro!Yapi anayoyafanya ewe mpumbavu?
Hayo anayofanya yanapunguza mfumuko wa bei uliolipuka hapa nchini?