Moshi: Yanayojiri katika Kongamano la BAWACHA Siku ya Wanawake Duniani Machi 3, 2023; Rais Samia mgeni rasmi

Moshi: Yanayojiri katika Kongamano la BAWACHA Siku ya Wanawake Duniani Machi 3, 2023; Rais Samia mgeni rasmi

Wajinga Kama mmawia hawajui hili ... Mimi sitoshangaa ikiwa TAL atazikacha hizi siasa za Akina mmawia ...

Hizo siasa za Shukrani zinamjenga zaidi Samia kuliko Chadema na 2025 ...hakuna usawishi wataoueleza kwa wananchi...
Mtalia sana nyinyi waramba viatu maana mkeka wenu tayari ushaliwa na mbuzi
 
Wajinga Kama mmawia hawajui hili ... Mimi sitoshangaa ikiwa TAL atazikacha hizi siasa za Akina mmawia ...

Hizo siasa za Shukrani zinamjenga zaidi Samia kuliko Chadema na 2025 ...hakuna usawishi wataoueleza kwa wananchi...
Mlizoea kuuza umbeya kwa kuchochea vurugu za kisiasa hapa nchini ili mradi mnajaza matumbo yenu makubwa kama ya tembo.
 
Unajua mkuu Kuna vitu vinashangaza Sana ,,wakati ACT inahudhuria vile vikao vya mukandala CHADEMA walishambulia Sana lkn leo wao wamegeuka kuwa wasifiaji kuliko ACT ipi ilikuwa Hoja ya Chadema kukataa ?? Hii Ni double standards.... Tutakuja kufukua hizi nyuzi...
Haitasaidia kitu kwa watu wasaka tonge kama nyinyi
 
Sasa kwa mpango huu Nani atamsemea mwananchi? Kazi ya UPINZANI Ni kuibana serikali ..ukiona Hali ipo hivi ujue Sasa mbovu mbovu tu
CDM wamekata tamaa katika kufikia adhma yao ya kushika dola.

Wanaamini wananchi hawajawa tayari kuunga mkono harakati za kuiondoa CCM madarakani achilia mbali kujikomboa wao wenyewe kiuchumi.
 
Haya maigizo ya SAA 100 bila katiba ya wananchi ya jaji Warioba ni Bure

SAA 100 akirudisha mchakato wa katiba mpya ya jaji warioba ndio nitamuona kweli yeye na CCM yake wamedhamilia kubadilika (maridhiano) zaidi ya hapo ni utapeli
Endeleeni kufurahia saa100🤣🤣
 
Yule ni mnafiki namba moja kwenye siasa za upinzani
Alichukia sana Samia kukutana na Mbowe

Alichukia sana Chadema kuanza majadiliano na CCM

Kachukia sana Samia kwenda mkutano wa Chadema
 
Hili tukio mpangilio wake ni mbovu sana!

Huwezi kumkalisja rais wa nchi kwa muda wote huo kanakwamba hana mambo mengine ya kufanya!

Anayoyaongea mwenyekiti wa Bwacha hayana tofauti sana na aliyoongea katibu wa Bawacha,

Ili kuokoa muda ilipaswa hotuba ya katibu na mwenyekiti ziunganishwe pamoja.
 
Hili tukio mpangilio wake ni mbovu sana!

Huwezi kumkalisja rais wa nchi kwa muda wote huo kanakwamba hana mambo mengine ya kufanya!

Anayoyaongea mwenyekiti wa Bwacha hayana tofauti sana na aliyoongea katibu wa Bawacha,

Ili kuokoa muda ilipaswa hotuba ya katibu na mwenyekiti ziunganishwe pamoja.
Kabisa Mkuu nikumchosha Mh.Rais hapo Bado Mbowe hajaongea.
 
CDM wamekata tamaa katika kufikia adhma yao ya kushika dola.

Wanaamini wananchi hawajawa tayari kuunga mkono harakati za kuiondoa CCM madarakani achilia mbali kujikomboa wao wenyewe kiuchumi.
Kwa sasa wanajikomba kwa mama ili waachiwe walau majimbo 5 kwenye uchaguzi ujao
 
Hili tukio mpangilio wake ni mbovu sana!

Huwezi kumkalisja rais wa nchi kwa muda wote huo kanakwamba hana mambo mengine ya kufanya!

Anayoyaongea mwenyekiti wa Bwacha hayana tofauti sana na aliyoongea katibu wa Bawacha,

Ili kuokoa muda ilipaswa hotuba ya katibu na mwenyekiti ziunganishwe pamoja.
Kajinyonge
 
Yapi anayoyafanya ewe mpumbavu?

Hayo anayofanya yanapunguza mfumuko wa bei uliolipuka hapa nchini?
Tatizo halipo bro!
Siasa ni ada ya mja hunena bali muungwa ni vitendo!
Muda ukifika utapima wa kuchagua wa vitedo au maneno!
 
Back
Top Bottom