Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Asante matola kwa kunikubali, waswahili husema za kuambiwa changanya na za kwako, shingongo story huwa ni za Ku refresh mind too si unajua ukiwa serious na kila kitu akili inachoka sana.Keep on, akupataye wewe kwa hakika atakuwa amepata mke mwema kabisa, hata muda ukiamuwa kupitia udaku wa Shigongo unakuwa na upeo wa kufilter mambo na kudigest.
This is it.
Mkuu hujalazimishwa kuamini! Mtoa mada ameamua kushare story hapa jamvini Ili tuburudike na pia kupata habari kuhusu ujasusi duniani.Jengo lipo syria au korea kaskazini? Lakini wao walitumia setilaiti kuchunguza ya syria je hao wasyria hawana setilaiti ya kuchunguza hiyo helicopter ya hao waisrael kiasi cha kutua huko syria kufanya waliyoyataka bila kugundulika? Mazezeta pekee ndio watakaoamini huu upuuzi
Huyo maisha yameshamchapa hasira zake anahamishia kwetu na bado atamtambuwa Magu mpaka afanane na shetani kudadeki.Mkuu
Mkuu hujalazimishwa kuamini! Mtoa mada ameamua kushare story hapa jamvini Ili tuburudike na pia kupata habari kuhusu ujasusi duniani.
Learning. ..the real differentiatorMatola Mimi napenda kujifunza kila siku na kujisomea mambo mbali mbali tofauti, hali hii imenifanya nielewe mambo mengi muhimu.
Wanawake wengi huwa hawapendi kujishughulisha naona wameridhika na mambo simple sana hata wakikaa na wenzi wao huwa hawana wazo jipya LA ku contribute kwenye daily life. To me life is a learning process and I started when I was in primary na hicho ki tabia nimekiendeleza mno.
Ombaomba anaheshimiwa tangu lini?Tutaheshika vp kama sisi wenyewe hatujiheshimu wala kujithamini? Angalia uongozi mzima wa chadema wako kwa Mzungu Ulaya kushitaki tena wanakwenda kaanchi kadogo kama Denmark hivyo kwa akili yao wanategemea Mzungu ndiyo aje kutatua matatizo yao, sasa tutaheshika vp?
Punguza povu basi...si lazima uamini kila kilicholetwa hapa basi na wewe anzisha thread yakoJengo lipo syria au korea kaskazini? Lakini wao walitumia setilaiti kuchunguza ya syria je hao wasyria hawana setilaiti ya kuchunguza hiyo helicopter ya hao waisrael kiasi cha kutua huko syria kufanya waliyoyataka bila kugundulika? Mazezeta pekee ndio watakaoamini huu upuuzi
Jengo lipo Syria.Jengo lipo syria au korea kaskazini? Lakini wao walitumia setilaiti kuchunguza ya syria je hao wasyria hawana setilaiti ya kuchunguza hiyo helicopter ya hao waisrael kiasi cha kutua huko syria kufanya waliyoyataka bila kugundulika? Mazezeta pekee ndio watakaoamini huu upuuzi
Omba msaada ukiona giza mchana, wakati wenzio wakilalamika jua Kali.Jengo lipo syria au korea kaskazini? Lakini wao walitumia setilaiti kuchunguza ya syria je hao wasyria hawana setilaiti ya kuchunguza hiyo helicopter ya hao waisrael kiasi cha kutua huko syria kufanya waliyoyataka bila kugundulika? Mazezeta pekee ndio watakaoamini huu upuuzi
Wamarekani walipomvamia Osama karibu kabisa na kituo cha kijeshi cha Pakistani walionekana na satelite za Pakistani?Jengo lipo syria au korea kaskazini? Lakini wao walitumia setilaiti kuchunguza ya syria je hao wasyria hawana setilaiti ya kuchunguza hiyo helicopter ya hao waisrael kiasi cha kutua huko syria kufanya waliyoyataka bila kugundulika? Mazezeta pekee ndio watakaoamini huu upuuzi
Twende nae taratibu mkuu,Wamarekani walipomvamia Osama karibu kabisa na kituo cha kijeshi cha Pakistani walionekana na satelite za Pakistani?
Umewahi kusikia 90 minutes of Entebbe?
Jamaa anashangaza kwelikweli, nadhani kuna sayari yake anaishi na siyo hii tuliomo sisi, yawezekana huyu ni Tedd bear.Omba msaada ukiona giza mchana, wakati wenzio wakilalamika jua Kali.
Na hasa unapokua wewe pekee ndio unaliona giza hilo.
Asante.
Nadhani tuamini kwamba tunatofautiana kwa mengi ikiwemo uelewa, hasa wa haraka.Jamaa anashangaza kwelikweli, nadhani kuna sayari yake anaishi na siyo hii tuliomo sisi, yawezekana huyu ni Tedd bear.
Link yake pleaseNenda you tube mkuu! Kuna documentary yake kabisa
Mkuu katika MAZEZETA namba moja, mbili na tatu, nina wasi wasi wewe ukawa ni mshika namba.Jengo lipo syria au korea kaskazini? Lakini wao walitumia setilaiti kuchunguza ya syria je hao wasyria hawana setilaiti ya kuchunguza hiyo helicopter ya hao waisrael kiasi cha kutua huko syria kufanya waliyoyataka bila kugundulika? Mazezeta pekee ndio watakaoamini huu upuuzi
Haya Maneno mbona hayana hekima?Kuna mabwege hata yakitiwa vidole tigoni na hawa walowezi lakini yakiambiwa wanabarikiwa watatulia tu
Thibitisha madai yako,Punguzeni mapovu,endeleeni kudanganyana na hadithi za kusadikika za hao mungu watu wenu