Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

Keep on, akupataye wewe kwa hakika atakuwa amepata mke mwema kabisa, hata muda ukiamuwa kupitia udaku wa Shigongo unakuwa na upeo wa kufilter mambo na kudigest.

This is it.
Asante matola kwa kunikubali, waswahili husema za kuambiwa changanya na za kwako, shingongo story huwa ni za Ku refresh mind too si unajua ukiwa serious na kila kitu akili inachoka sana.
 
Mkuu
Mkuu hujalazimishwa kuamini! Mtoa mada ameamua kushare story hapa jamvini Ili tuburudike na pia kupata habari kuhusu ujasusi duniani.
 
Mkuu

Mkuu hujalazimishwa kuamini! Mtoa mada ameamua kushare story hapa jamvini Ili tuburudike na pia kupata habari kuhusu ujasusi duniani.
Huyo maisha yameshamchapa hasira zake anahamishia kwetu na bado atamtambuwa Magu mpaka afanane na shetani kudadeki.

Iwe ni simulizi za kwwli au za kubuni sisi mashabiki wa hizi spies story we don't care kwa sababu material kama hizi Elvis Musiba alikuwa anatuuzia lwa bei kubwa kwenye vitabu vyake vya Willy Gamba, sasa hapa JF wadau wanatumia muda wao mwingi kuandaa hizi material na kuzimwaga bure halafu anatokea kibaka mmoja eti anabeza huyu kama siyo punguwani ni nini?
 
Nyuzi za kubust akili ikiwa imechoka..nitarudi kuendelea.
 
Learning. ..the real differentiator
 
Ombaomba anaheshimiwa tangu lini?
 
Pun Punguza povu basi...si lazima uamini kila kilicholetwa hapa basi na wewe anzisha thread yako
 
Jengo lipo Syria.
Ndio maana satellite iliangaza syria,
Ndege za Israel hazikuonekana kwenye radar ya Syria kwa sababu zilikua katika stealth mode kutokana na code walizozi-activate kutokana na kuuziwa Na Russia.
Majibu yanapatikana kwenye hadithi husika.
Nadhani nimejitahidi kukuchambulia.
 
Omba msaada ukiona giza mchana, wakati wenzio wakilalamika jua Kali.
Na hasa unapokua wewe pekee ndio unaliona giza hilo.
Asante.
 
Wamarekani walipomvamia Osama karibu kabisa na kituo cha kijeshi cha Pakistani walionekana na satelite za Pakistani?

Umewahi kusikia 90 minutes of Entebbe?
 
Wamarekani walipomvamia Osama karibu kabisa na kituo cha kijeshi cha Pakistani walionekana na satelite za Pakistani?

Umewahi kusikia 90 minutes of Entebbe?
Twende nae taratibu mkuu,
Haya mengine ndio tutazidi kumpoteza.
Maana shuleni kuna ile
"Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali yake hapo chini'
Nadhani lilimshinda(ga).
 
Omba msaada ukiona giza mchana, wakati wenzio wakilalamika jua Kali.
Na hasa unapokua wewe pekee ndio unaliona giza hilo.
Asante.
Jamaa anashangaza kwelikweli, nadhani kuna sayari yake anaishi na siyo hii tuliomo sisi, yawezekana huyu ni Tedd bear.
 
Jamaa anashangaza kwelikweli, nadhani kuna sayari yake anaishi na siyo hii tuliomo sisi, yawezekana huyu ni Tedd bear.
Nadhani tuamini kwamba tunatofautiana kwa mengi ikiwemo uelewa, hasa wa haraka.
Acha tumpe nafasi ya upendeleo.
Angemkosoa jamaa kuhusu matukio na miaka ningemuunga mkono, lkn hata hivyo naamini mwandishi alipitiwa tu hivyo basi ukirekebisha kichwani mwenyewe unaona visa vinaenda murua kabisa.
 
Mkuu katika MAZEZETA namba moja, mbili na tatu, nina wasi wasi wewe ukawa ni mshika namba.
 
Asante mkuu Kwa vitu adimu....heshima kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…