Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

Noma sana hii kitu
Itafute YouTube inaitwa Operation Ochard ni nomaaa
 
we jamaaa ni mtupu kichwani majibu yako yana onesha tuu kua wew ni Zero brain tena uliye tukuka embu tuondolee u KILAZA wako apa kiaz mviringo wewe...
 
Mtu mweusi hana heshima sehemu yoyote ile duniani.
Iwe Ulaya, Amerika au Asia na kibaya zaidi haheshimki hata nyumbani kwake Afrika.
Hao wachina ndiyo hawatupendi kabisa sema tu hawana jinsi.
Siyo hawapendwi! Ila kwa matendo yake hajaweza onyesha ni kwa nini apendwe!
 
Ubaguzi wa kizayuni Ni mkubwa kuliko unavofikiria na Ndio walikua supporters wakubwa kwa makaburu afrika kusini hivyo Hiyo ya kuongelea ubaguzi Ni halali
 
Unadhani level ya uelewa ingekuwa sawa shuleni wengine mngepata zero?

Sasa hapo ameandika kwa kiswahili hujaelewa kwamba Wasyria walifia North Korea kwenye mlipuko na ikatumwa ndege ya Syria kuirudisha miili nyumbani, nini hakieleweki hapo?
Waelewe wapi Watoto wamezaliwa na kukulia kwenye viazi hawajui hustle hata uelewa watatoa wapi hawa chattle product zaidi uanakijiji wao Ndio unaowasumbua
 
Kuna mabwege hata yakitiwa vidole tigoni na hawa walowezi lakini yakiambiwa wanabarikiwa watatulia tu
watu wanaotiwa vidole zaidi ya wengine duniani ni waarabu na watumwa wao (wabongo walioletewa dini yao). usenge katika tamaduni za kiarabu ni kawaida, ndio maana kwetu bara hayo mambo ya kutiwa vidole tunayasikia tu toka pwani. waulize kina faizafox washatiwa sana vidole na kuliwa matigo.
 
Wewe kichwa boksi Ni hivi wanasayansi wa masuala ya kinyuklia Kutoka Syria, walikua wakisjirikiana na wanasayansi wa Korea kwenda kwenye vinu vya nyuklia vya Korea na walipolipuliwa wale wasyria ukumbuke kazi ile inafanyikia Korea na walifia kule hivyo maiti zao ikabidi zirudishwe nyumbani Syria kwa mazishi
 
n
nimefuatilia hii kitu nikapata movie yote. na syria ilipolipuliwa walichuna kimya wakabisha kwamba hawajalipuliwa kwasababu waliogopa kujulikana kama walikuwa wanarutubisha nyuklia. google OPERATION ORCHAD au weka tu youtube itakujaj picha yote. israel aisee Mungu yupo pamoja nao, na kwasasa syria haina hata uwezo wa kujenga choo ndo faida kwa israel.
 
Ubaguzi wa kizayuni Ni mkubwa kuliko unavofikiria na Ndio walikua supporters wakubwa kwa makaburu afrika kusini hivyo Hiyo ya kuongelea ubaguzi Ni halali
Ndiyo maana tunakuambia Anzisha topic yko yenye kuelezea huo uzayuni wako,, hapa unatuharibia utamu wa huu Uzi wa Complex.

Hivi nyie wapenda udini kwann hampendi story nzr Kama hizi mkajifunza vitu nyie Udini tu hovyooo.
 
Duh! Wewe Ni mtoto wa shule mkuu? Syria walijenga jengo Kama lile la Korea, kwa ramani Ile Ile, ndo maana Israel wakati wanatafuta kituo kile cha Nyuklia Syria kupitia Satellite zao hawakupata shida coz picha ya jengo la Korea walikua nayo! Kuna mission zinapofanywa Na mataifa yaliendelea huwa zinajulikana baada ya kufanyika, hazizuiliki, najaribu kuwaza Kama wewe ndo ungekua yule Boss wa Mossad, au hata ungekua Ni afisa usalama wa Taifa bongo,.....
 
Mkuu jengo hilo lipo Syria ila ramani yake imetoka North Korea.Kuhusu satellite jamaa amefafanua vizuri kuwa ndege za bwana wale zina mfumo ambao unaziwesha kutokuoneka kwa satellite ya adui...pitia vizuri Uzi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…