Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Joined
Jan 6, 2022
Posts
56
Reaction score
336
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
 
Shilika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao ,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas apo Jana, Ismael hayineh,
Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi wanaolindwq na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa uenda WANATUMIA natumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,
MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.
Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS ?
iSREAL bila ya MAREKANI, UK NA UNO, Hata JKT wanawapiga
 
Taifa la Israel limezaliwa kutokana na vita, limekua kutokana na vita na mpaka sasa hivi lina survive kutokana na vita.

Wayahudi wanajua kabisa wakilegeza kidogo tu wameisha maana wamezungukwa na maadui pande zote.
 
Ila hii ya Haniyeh kuuwawa ndani ya kambi ya jeshi karibu na makazi ya Ayatollah imeqapelekea serikali ya Ayatollah kushikwa na ganzi na mshtuuko wa aina yake
Kwa kiingereza a chill in the spine.

Imewavua ngup hadharani. Wametambua Israel inafaham kila kitu hata wakienda kunya. Na uhakika ayatollah analala jicho moja wazi huku akihamahama mara kwa mara.

Nilicheki huko tiktok w Iran Diaspora wakiwasifu wateule wayahudi kuleta hofu kwa genge la Ayatollah.

Hata kifo cha rais wap Ebrahim Rais Mossad walifanya yao.

kipenzi chetu cha dhati Imam Hussein tusaidieeee
 
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Teknolojia mkuu ,akili na mapandikizi karibu kila nchi,Huyu IMAM kilichompoteza ni Whatsapp ,walipata location yake kupitia Whatsapp, So hakuna aliens Wala nini
 
Hawatumii ila ukitumia whatsapp sijui Facebook hata Google basi kwisha habari yako watakukamata tu ...Ndio maana wachina wanapiga ban .

Hata wamarekani na washirika wake hawaitaki Tiktok .
Ulicho Andika ndicho nacho fahamu kuwa wale watu wana mikataba ya Siri na hao watengeza software ...sasa akinachofanyika ni kuwa mwarabu bado hajaelimika ...anaanzisha vita na uadui na hao watu ...ila bado anatumia cjui ..ggle..Ist...wana twit...ehee hawajui..kuwa Kuna software za face detach....vinasa sura ..uso...sasa kama una vita na hao watu Rudi stone age kabisa achana na mtandao wa simu.
...Raisi wa Iran alikuwa anatumia chopa ya usa...mwarabu anapenda iphone, sumsang...na anapenda vita na Israel
..waache watumie internet ...ndio watamjua Jews n another level
 
Kina Kibaar hawataki kuutambua ukuu wa izrael. Na wao kama sio propaganda za uongo za aljazira hawakosei tageti. Watakutafuta hata miaka 4 Kuna siku utajisahau tuu unanyamazishwa. Huwezi kuwa unasababisha vifo vya halaiki kwa kiburi Cha ndevu unazofuga
 
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Bado wanataka kuongoza dunia hapo baadae
 
Back
Top Bottom