Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
zitto junior
 
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
walidukua WHATSAPP yake kwa msaada ya META ambao ni wayahudi, alipowasha simu yake tu wakawa wanaona signal kabisa, ndio maana drone ilienda kupiga palepale alipokuwa, drone ilifuata simu yake mkononi, vyumba vingine havikupigwa. wavaa kobaz hata hao huthi, wanajifanya wanapigana na myahudi wakati kila kitu wanachokitumia kina mkono wa myahudi, labda wasiwe wanaingia mtandaoni,w atafute mtandao wa kwao au labda watumie mitandao ya kirussia.
 
Kwahio hako kadroni kupiga ndio wamepanda hadhi kutoka mgambo wa jiji?
drone imepiga, na iran hawajui ilipiga ikitokea wapi. kama ilitokea israel au ilitokea palepale, hawajui. ila walidukua whatsapp ya gaidi haniyeh wakati anatumia mtandao huo wa makafiri wenzake wakawa wanamuona, drone ikalenga signal ya kwenye simu yake, muda wote walikuwa wanamchora tu.
 
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Wakachujue na mateka kwa kutumia allies
 
Kina Kibaar hawataki kuutambua ukuu wa izrael. Na wao kama sio propaganda za uongozi za aljazira hawakosei tageti. Watakutafuta hata miaka 4 Kuna siku utajisahau tuu unanyamazishwa. Huwezi kuwa unasababisha vifo vya halaiki kwa kiburi Cha ndevu unazofuga
Naunga mkono na miguu hoja
 
Ila hii ya Haniyeh kuuwawa ndani ya kambi ya jeshi karibu na makazi ya Ayatollah imeqapelekea serikali ya Ayatollah kushikwa na ganzi na mshtuuko wa aina yake
Kwa kiingereza a chill in the spine.

Imewavua ngup hadharani. Wametambua Israel inafaham kila kitu hata wakienda kunya. Na uhakika ayatollah analala jicho moja wazi huku akihamahama mara kwa mara.

Nilicheki huko tiktok w Iran Diaspora wakiwasifu wateule wayahudi kuleta hofu kwa genge la Ayatollah.

Hata kifo cha rais wap Ebrahim Rais Mossad walifanya yao.

kipenzi chetu cha dhati Imam Hussein tusaidieeee
Mkuu hivi huo mstari wa mwisho una maana gani?
 
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Hawatumii alien, wamekuwa wazuri kutokana na ku gain experience katika miaka yote waliyokua wakioigana, the utilize ile knowledge na kuwa study majirani, culture zao. So they know in and out
 
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Ukisoma Biblia utajua nani anayewawezesha, kuna Mungu aliye hai. Hata Nabii Eliya na wale waabudu miungu wengine mungu wao alishindwa kushuka kula sadaka akiogopa Mungu wa kweli
 
Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,

Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,

MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.

Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Kwani Osama alijulikanaje alipo exactly 100% kisha kuvamiwa na kuuawa?

Siyo Alliens wala nini, ni kazi ya intelligency hiyo mwana wane.
 
Kilichomuua huyo gaidi ni hiki, ndio utakapokuja kujua kwamba Quran na akili za kukaa darani havichangani.

🇮🇱🇵🇸Israeli intelligence tracked Hamas leader Ismail Haniyeh via WhatsApp

According to Lebanese journalist Elia Manier, Israeli intelligence installed spyware on Haniyeh's phone via a WhatsApp message.

The spyware made it possible to detect the exact location of the house where the Hamas leader was located and launch a missile strike on it from a drone.
 
Kilichomuua huyo gaidi ni hiki, ndio utakapokuja kujua kwamba Quran na akili za kukaa darani havichangani.

🇮🇱🇵🇸Israeli intelligence tracked Hamas leader Ismail Haniyeh via WhatsApp

According to Lebanese journalist Elia Manier, Israeli intelligence installed spyware on Haniyeh's phone via a WhatsApp message.

The spyware made it possible to detect the exact location of the house where the Hamas leader was located and launch a missile strike on it from a drone.
ili la whatsap fix tu.
Iran whatsap haifanyi kazi.
 
Kwahio hako kadroni kupiga ndio wamepanda hadhi kutoka mgambo wa jiji?
Hawa MOSSAD na IDF wao wakiamua kumtafuta mbu aliyefyonza damu yako usiku lazima watampata mkuu. Sembuse binadamu. Hao watu ni hatari sana. Iran wanajing'atang'ata tu kwa Yahudi kumvua dera mbele za walimwengu.
 
Back
Top Bottom