Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Kwanini Ndugu zetu Waislam nao wasiungane kupitia ARAB LEAGUE na kumteketeza Muisrael?
Katika Uislamu, kufa katika jihad (juhudi au jitihada kwa ajili ya Allah) kunachukuliwa kuwa na malipo makubwa katika Akhera (maisha ya baada ya kifo). Katika Quran, Allah anazungumzia kwa uzito na ahadi kubwa kwa wale wanaopigana katika njia Yake.Miongoni mwa aya zinazozungumzia kuhusu faida ya kufa katika jihad ni:Surat At-Tawba 9:111:
"Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wanaua na wanauawa. Hii ni ahadi ya kweli katika Taurati, Injili na Qur’ani. Na nani atimizaye agano kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa."Surat Ali Imran 3:169:
"Wala usidhani walio uawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wao wako hai, wanaruzukiwa kwa Mola wao."Hizi aya zinaonyesha kuwa wale wanaokufa wakiwa katika jihad kwa ajili ya Allah wanapata malipo makubwa, ikiwa ni pamoja na Pepo na riziki kutoka kwa Allah. Pia wanachukuliwa kuwa wamefuzu na kupokea ahadi kubwa kutoka kwa Allah kwa sababu ya kujitolea kwao.
 
WANASAIDIWA NA MAREKANI TU ISRAEL HAWANA LOLOTE BILA MAREKANI WANGEKUWA WAMEKWISHA HAO
Kwanini Waarabu nao wasiungane kupitia ARAB LEAGUE na kuwaua hawa Makafiri?

Waarabu wapo wengi na wana Umoja wao, vipi tena kwanini wasiunganishe Akili, maarifa na Nguvu zao?
 
Katika Uislamu, kufa katika jihad (juhudi au jitihada kwa ajili ya Allah) kunachukuliwa kuwa na malipo makubwa katika Akhera (maisha ya baada ya kifo). Katika Quran, Allah anazungumzia kwa uzito na ahadi kubwa kwa wale wanaopigana katika njia Yake.Miongoni mwa aya zinazozungumzia kuhusu faida ya kufa katika jihad ni:Surat At-Tawba 9:111:
"Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wanaua na wanauawa. Hii ni ahadi ya kweli katika Taurati, Injili na Qur’ani. Na nani atimizaye agano kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa."Surat Ali Imran 3:169:
"Wala usidhani walio uawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wao wako hai, wanaruzukiwa kwa Mola wao."Hizi aya zinaonyesha kuwa wale wanaokufa wakiwa katika jihad kwa ajili ya Allah wanapata malipo makubwa, ikiwa ni pamoja na Pepo na riziki kutoka kwa Allah. Pia wanachukuliwa kuwa wamefuzu na kupokea ahadi kubwa kutoka kwa Allah kwa sababu ya kujitolea kwao.
Ni sahihi kabisa, ila Waislam wote ni Ndugu, na wana kuunganishi yaani Arab League, kwanini wasiunganishe nguvu, akili na maarifa kwa huyu Israel na Nduguze?
 
Malaria ni hatari sana kwa afya ya ubongo.
Katika Uislamu, mtu anayekufa akipigania haki yake anachukuliwa kuwa ni shahidi (martyr). Mtume Muhammad (SAW) alitaja aina mbalimbali za mashahidi, na miongoni mwao ni wale wanaokufa wakitetea haki zao.Katika hadithi iliyopokelewa na Sahih Muslim, Mtume Muhammad (SAW) amesema:"Yeyote yule anayekufa akitetea mali yake ni shahidi, anayekufa akitetea maisha yake ni shahidi, anayekufa akitetea imani yake ni shahidi, na anayekufa akitetea familia yake ni shahidi." — (Sahih Muslim, Hadith 141)

Hii inamaanisha kuwa Uislamu unawapa heshima ya shahidi wale wanaokufa kwa sababu ya kujilinda au kulinda mali, maisha, imani, au familia yao. Katika hali hii, kufa kwa ajili ya haki yako, kama vile kulinda mali, haki ya maisha, au kutetea familia yako, ni tendo lenye thamani kubwa mbele ya Allah na kuna malipo makubwa ya Akhera.
 
Umeongea kinyume...bila Mossad, hao uk na us na wengine wao ndio wako hatarini.

Kwakifupi mossad anafanya kaz nzito ya kuzuia hao magaid wasifike hata europe na america.

Kwa taarifa yako jews ndio wame occupy inner circles za hizo millitary na intelligence organs za hayo mataifa, wao ndio providers na inventors wa technologies zoooooote huko unakokujua wewe, so usifikir US anawasaidia bali ni wao ndio wanajisaidia.

Huon misaada ya US kwa ukraine inajadiliwa na kuoigwa na senate lakin Netanyahu anaingia kwenye congress US na anawapiga bit kuwa anawatandika waaribu.
Hakuna mahala msaada wa kijeshi kwenye Israel unajadliwa wala kupingwa.

We huogopi??
Dini imewaharibu ubongo hadi wanajizima data. Waambie kuwa hata Antony Blinken US secretary of state ni Jew
 
Back
Top Bottom