black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
😂Jkt ipi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Jkt ipi mkuu?
Syria is a failed state controlled by Iran and Russia. Ila myahudi anaingia na kutoka kama chooni vileToa VITA weka USA..... ukitaka kujua hilo ona Syria mbona wamemshindwa kumtoa Assad?
Walimuuliza would you like an accomodations from window side,kabangIran wenyewe wamemuuza yule bwana, tena wakampa chumba cha dirishani walengaji wasimkose.
Failed state mbona walishindwa kuichukua sasa? Sababu wanajua mrusi yupo so wakivuka mstari watachakazwa. So sio kweli yeye ndio mbabe wa middle east kma ni coward hivyo.Syria is a failed state controlled by Iran and Russia. Ila myahudi anaingia na kutoka kama chooni vile
Asingekua mbabe angemalizwa mapema sana.Failed state mbona walishindwa kuichukua sasa? Sababu wanajua mrusi yupo so wakivuka mstari watachakazwa. So sio kweli yeye ndio mbabe wa middle east kma ni coward hivyo.
USA ndio anamsaidia, hata Palestina ingepewa yale matrillion ingekua mbabeAsingekua mbabe angemalizwa mapema sana.
vipi khs Russia?iSREAL bila ya MAREKANI, UK NA UNO, Hata JKT wanawapiga
Hizo ni chai,naamini alliens wapo ila siamini kama washaanza kukutana na wanadamu.Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,
Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,
MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.
Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Wanasema kakamatwa kupitia WhatsAppHanieh ?? Kutumia WASAP kumemponza.
Osama mwenyewe aliwah sema "Ili upambane na adui wa kosasa, Tumia mbinu za zamani".
Tulia wanakuja mdogo Mdogo. Mpaka mpaka shume muisheShirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,
Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,
MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.
Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Epuka story za vijiweni, story za kahawa.Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,
Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,
MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.
Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Utakuwa mgeni na intelligence, sehemu moja wapo ni kutumia pesa kupata taarifa. Kila intelligence organization dunian inatumia hii mbinu, na ni moja ya mbinu za zamani sana but very effective hata leoHii ni misconception, MOSSAD inatumia ushawishi wa kipesa zaidi kuinfiltrate ngome mbalimbali kuliko so called intelligence. Kwahiyo ukiona mtu kauwawa ujue kuna inside job imefanyika kwa pesa nyingi kuhongwa.
So hakuna cha alliens hapo, watu pekee ambao najua walihusishwa na aliens ni US the so called Area 48, sijui project MK-Ultra walipotumia excorsionists na dark arts kufanikisha mission zao.
😂😂😂😂😂Shirika la kijajusi la Israel MOSSAD linadaiwa kutumia viumbe vya Allen's katika operesheni zao,
Inaelezwa kuwa mossad wanawatumia Allen's kuwafanyia kazi zao,
Kufuatia kuuliwa Kwa kiongozi mkubwa wa hamas hapo Jana, Ismael hayineh,
Wachambuzi wengi wanashangaa kuhusu uwezo wa mossad wanawezaje kuwa watu wakubwa hivi Wanaolindwa na ulinzi mkali sana.
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,
MOSSAD wanadaiwq kuwa hivi Sasa ndio kikundi hatari Cha kijasusi duniani.
Je ni kweli MOSSAD WANATUMIA ALLENS?
Mmefungua account mpya ya madaiiSREAL bila ya MAREKANI, UK NA UNO, Hata JKT wanawapiga
Pesa na intelligence zipo bega kwa begaUtakuwa mgeni na intelligence, sehemu moja wapo ni kutumia pesa kupata taarifa. Kila intelligence organization dunian inatumia hii mbinu, na ni moja ya mbinu za zamani sana but very effective hata leo
Lakin israel wanatumia zaidi ya pesa, huwez honga maadui wote