Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Hatari kwelikweli.Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Bahati mbayaWanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Walipata prior information kuhusu hiyo gari insigekua raisi kuwafumua waliko kua, ingekua nchi zetu zio sio kua na intelkegence kamiri ata ikulu wanaingia tuWanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Lebanon na Iran mbona ni nchi moja kijeshi au hujui satellite state za IranLebanon is doing a better job than Iran. Iran ameuwawa hadi rais wao ndani ya nchi yao na wameufyata.
Hawa lakini si wa Lebanon wala hawaongei kiarabu itakuwa ni fake news. Hi inaonyesha ni South AmericaWanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Walikua wanaongea lugha gani mkuu hiyo?Hawa lakini si wa Lebanon wala hawaongei kiarabu itakuwa ni fake news.
Lebanon na Iran mbona ni nchi moja kijeshi au hujui satellite state za Iran
Iran ni nchi kubwa kuliko Lebanon huwezi kuidhibiti yote ipasavyo unaukubwa kama Tz na ina intelligence net work nyingi kupenyeza watu wao ni rahisi sanaaSasa Iran wanafeli wapi mbona dhaifu sana?
Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
SHIEKH TUMEINGIZWA CHAKA. HAO NI POLICE WA ISRAEL. HAO NI MAYAHUDI YAMEKAMATA MAARABU.... POLE SANA.... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna waisrael wa kiomon, kasera,vijibweni, kibada hawataamini kama waisrael wenzao wamedakwa.
Hio lugha si kiarabu wala kiyahudi wala kiiran, kidogo kama kikurdi au Turkish, nadhani zaidi ni huko upande wa South America.Walikua wanaongea lugha gani mkuu hiyo?
Jamaa kaingia chaka. Hizo ni uniforms za Police wa Israel. Wamekamata waarabuWalipata prior information kuhusu hiyo gari insigekua raisi kuwafumua waliko kua, ingekua nchi zetu zio sio kua na intelkegence kamiri ata ikulu wanaingia tu