Mossad wakamatwa wakitaka kuingia Lebanon kumuua kiongozi wa Hezbollah

Mossad wakamatwa wakitaka kuingia Lebanon kumuua kiongozi wa Hezbollah

Iran ni nchi kubwa kuliko Lebanon huwezi kuidhibiti yote ipasavyo unaukubwa kama Tz na ina intelligence net work nyingi kupenyeza watu wao ni rahisi sanaa

Ndo wanashindwa kulinda hata viongozi wao? Wanaweza nini sasa?
 
Jamaa kaingia chaka. Hizo ni uniforms za Police wa Israel. Wamekamata waarabu
Suala la unoform sio issue ata wa palasitine na wa Lebonon katika oparation zao huvaa sare za israel kama camouflage, kwasbb kwassa hamna mpaka walioko wazi yote imefungwa
 
Mossad huwa akitaka kufanyakazi sehemu sio lazima atumike myahudi wanatumia hata raia wa hyo hyo nchi wanakupa tu Hela unasaliti nchi yako
Hio mimi nadhani wana act filim hamna lolote, wamejua vipi watu wamo mle wakati hakuna vehicle scanner 😄
 
Acha uongo.

hao ni wapalestina probably Hamas walikamatwa mpaka wa Israel

Video ni ya kitambo.

Tumeshakuzoea na uongo wako, Ni wewe uli edit picha ya Mtanzania alieuawa na Hamas ukaisambaza humu jf, ulimwekea kiwiliwili cha mtu mwengine alievaa kombati za kijeshi, ukaumbuka mapema tu kwa makosa tuliyogundua.

Mods Moderator Mhariri Diversity kwenye heading ongezeeni neno "uzushi" kisha kwenye post muweke fact check


View: https://x.com/Michael_Wgd/status/1793336135491457217
 
Hio lugha si kiarabu wala kiyahudi wala kiiran, kidogo kama kikurdi au Turkish, nadhani zaidi ni huko upande wa South America.
Wewe namna gani bwana hata picha huoni, huwezi kuona bendera ya Israel kwenye bega la huyo polisi..!!
 
Hio mimi nadhani wana act filim hamna lolote, wamejua vipi watu wamo mle wakati hakuna vehicle scanner 😄
Wewe naona unafikiri hao ni polisi wa Kariakoo, ngoja siku moja waje wampoteze Ayatollah ndio utawafahamu vizuri.
 
acha uongo

hao ni wapalestina probably Hamas walikamatwa mpaka wa Israel

Video ni ya kitambo

Mods Moderator Mhariri Diversity kwenye heading ongezeeni neno "uzushi" kisha kwenye post muweke fact check


View: https://x.com/Michael_Wgd/status/1793336135491457217


acha uongo

hao ni wapalestina probably Hamas walikamatwa mpaka wa Israel

Video ni ya kitambo

Mods Moderator Mhariri Diversity kwenye heading ongezeeni neno "uzushi" kisha kwenye post muweke fact check


View: https://x.com/Michael_Wgd/status/1793336135491457217

Dogo Ritz AMEYATIMBA. AMEYAVAGAA...AMEKURUPUKA KWA UONGO AMBAO UMEGUNDULIKA KIRAHISI SANA. MCHANA LEO ALIKUWA NJE YA MSIKITI WA SHEIKH MATOPETOPE ANAWAONESHA WENZIE WANASHANGILIA.... KUMBE WANASHANGILIA KUKAMATWA WENZAO. HUWA NASEMA ELIMU NI MUHIMU SANA.
 
asichoelewa ni kwamba, mosad wengi wanaotumiwa kuua maadui wala sio wayahudi, ni waarabu, wengine ni wapalestina, walebanon, wasiria, wairan, wanapewa tu mpunga wanafanya kazi, ni nyoka kama bablish.
 
Ndio wakome kuleta humu habari za uongo wanazotoa masjid ubwabwa kwa lengo la kuhadaa watu. Bure kabisa.
 
Naona wagalatia hawataki kukubali kabisa kama Mabashaa zao wamekamatwa kila mmoja anakuja utetezi wake😀
 
Naona wagalatia hawataki kukubali kabisa kama Mabashaa zao wamekamatwa kila mmoja anakuja utetezi wake😀
 
Back
Top Bottom