Mossad wakamatwa wakitaka kuingia Lebanon kumuua kiongozi wa Hezbollah

Mossad wakamatwa wakitaka kuingia Lebanon kumuua kiongozi wa Hezbollah

AMEUKALIA .... KAJIPAKA KINYESI.... SASA ANAONA AIBU WATU WAMEMKUTA..... DOGO KILAZA SANA. HIYO VIDEO WAMEPEANA LEO MCHANA KUWA ISAMBAZWE......
mwamba ni kichwa sana ila sometimes anakuaga na akili chache mno yakija mambo ya chama ni imani
 
Acha uongo.

hao ni wapalestina probably Hamas walikamatwa mpaka wa Israel

Video ni ya kitambo.

Tumeshakuzoea na uongo wako, Ni wewe uli edit picha ya Mtanzania alieuawa na Hamas ukaisambaza humu jf, ulimwekea kiwiliwili cha mtu mwengine alievaa kombati za kijeshi, ukaumbuka mapema tu kwa makosa tuliyogundua.

Mods Moderator Mhariri Diversity kwenye heading ongezeeni neno "uzushi" kisha kwenye post muweke fact check


View: https://x.com/Michael_Wgd/status/1793336135491457217

Huwa anatabia za kukurupuka
 
Wanaukumbi.

Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.

View attachment 3071706
Mbona unatuona sisi wajinga ? Tangu lini Askari wa Lebanon wakavaa Bendera ya Israel begani??
IMG_20240816_182128.jpg
 
Kuna waisrael wa kiomon, kasera,vijibweni, kibada hawataamini kama waisrael wenzao wamedakwa.
Mkuu hebu acha utoto basi?? Yaani hata wewe huna macho??
Rudia kuangalia video vizuri alafu utuambie tangu lini askari wa Lebanon wakavaa bendera ya Israel... Tatizo mnaichukia Israel mpaka akili mnaweka pembeni...au kama hujui logo ya israel nenda bata google basi. Hawa ni askari wa Kiyahudi
IMG_20240816_182128.jpg
IMG_20240816_182128.jpg
 
Wanawachomoaga kwa Drones tu hao ; mmoko mmoko.
 
Wanaukumbi.

Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.

View attachment 3071706
Nimecheka Sana, Majasusi, hawatumii mbinu ya kitoto kama hiyo,
Hata polisi CCM richa ya, kuwa vilaza, hawawezi, kutumia mbinu ya, kichoko kama hiyo kwenda kuwawinda chadema, sembuse Mossad, tena kuingia Lebanon, mahasimu wao! Bro huna uelewa wa covert operations
 
Nimecheka Sana, Majasusi, hawatumii mbinu ya kitoto kama hiyo,
Hata polisi CCM richa ya, kuwa vilaza, hawawezi, kutumia mbinu ya, kichoko kama hiyo kwenda kuwawinda chadema, sembuse Mossad, tena kuingia Lebanon, mahasimu wao! Bro huna uelewa wa covert operations
Huyu jamaa kilaza sana.wamedanganyana kuwa hao ni majasusi.kumbe ni watu wao wenyewe wameshikwa na police wa Israel.
 
Back
Top Bottom