Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Yote yanawezekana...
1 - Usaliti wa serikali ya Lebanon kwa kuingiza majasusi ndani ya Hezbollah kwa msaada wa Mossad
2- Usaliti katika serikali ya Iran, Mossad kuingiza majasusi wake, arab jews ni kama waarabu tu lakini ni jews.

Mambo ni magumu..
Hivi ni lini Israel imepigana vita peke yake tu bila msaada wowote ule wa Marekani?

Mimi naamini kabisa wakiachwa tu wapigane peke yao, huo ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wao!

Imagine tu hivi sasa pamoja na msaada wa Marekani na washirika wake, bado hayo makundi ya wanamgambo yanawachachafya.

Na kusema ukweli, hawawezi wakawamaliza Hamas, Hezbollah, wala Wahouth.

Na ipo siku hata viongozi wao [Israel] watauliwa tu.

Inaweza isiwe leo, kesho, au hata keshokutwa. Ipo tu siku watamla kichwa kiongozi wa Israel.

Hii vita haina mwisho. Ni kuviziana tu na kulana vichwa.

Naamini hata huko Tel Aviv akina Netanyahu hawalali kwa amani sasa hivi.
 
kinqchofwata watapakwa haya matafuu
 

Attachments

  • 1727617188224.jpg
    1727617188224.jpg
    104.7 KB · Views: 2
  • 1727649193226.jpg
    1727649193226.jpg
    357.5 KB · Views: 2
Wapo vizur wameshindwa kuwapata mateka?
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Kwa vile ww ni mdini. Unamaanisha hivi vita anlikuwa anapigana Israel dhidi ya Naßlallah peke yake?
 
Kwa vile ww ni mdini. Unamaanisha hivi vita anlikuwa anapigana Israel dhidi ya Naßlallah peke yake?
Hivi haya ya udini mmetoa wapi?
Mi nilishaacha huo ujinga kuzungumzia udini...
Hebu kawaulize masheikh na wachungaji, huu ujinga sina jibu...
 
Mr Cohen alimalizwa kishamba sana baada ya kujisahau
Hata kama ni wewe ungemalizwa usiseme kishamba, walio fanikisha hilo ni KGB.
KGB ilikuwa inatoshana na CIA, ogopa sana.. Hao michezo yao Mossad alikuwa hawezi, mtot mdogo.
 
Kiuwezo Israeli na marekani hawalingani na Hezbollah wao Wana teknolojia ya juu ya silaha na ulinzi wa anga pamoja na ndege Vita ( fighters jets) Hezbollah wangekua na ndege hata 5 tu Israel asingepigana na Lebanon wangetafuta amani kwa njia ya diplomasia.
Israeli anaficha taarifa za madhara anayoyapata lakini kiukweli anashambuliwa sana wao Kila mabomu yalitua watakwambia limeanguka open areas na hakuna madhara. Hii ipo kimkakati zaidi ili kimdhoofisha adui ni mbinu za kivita ili tunapoelekea watatoa kilio nje Kila mtu atasikia.
Mbinu ya muda mrefu ambayo Hezbollah na Hamas walikuwa wakiitumia ya kujificha kwenye mahandaki sio salama tena.

Anga la Lebanon kukaa wazi ni threat, Iran ni muda sasa kupeleka air defenses kama bavar yao waliotengeneza. Wapeleke pia na AAA(Anti Aircraft Artillery)

US anampa Israel wamepata mbinu ya kuwadungua viongozi wa Hezbollah chini ya ardhi.

Wajitathmini...
 
Mbinu ya muda mrefu ambayo Hezbollah na Hamas walikuwa wakiitumia ya kujificha kwenye mahandaki sio salama tena.

Anga la Lebanon kukaa wazi ni threat, Iran ni muda sasa kupeleka air defenses kama bavar yao waliotengeneza. Wapeleke pia na AAA(Anti Aircraft Artillery)

US anampa Israel wamepata mbinu ya kuwadungua viongozi wa Hezbollah chini ya ardhi.

Wajitathmini...
Hii kweli
 
Hivi ni lini Israel imepigana vita peke yake tu bila msaada wowote ule wa Marekani?

Mimi naamini kabisa wakiachwa tu wapigane peke yao, huo ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wao!

Imagine tu hivi sasa pamoja na msaada wa Marekani na washirika wake, bado hayo makundi ya wanamgambo yanawachachafya.

Na kusema ukweli, hawawezi wakawamaliza Hamas, Hezbollah, wala Wahouth.

Na ipo siku hata viongozi wao [Israel] watauliwa tu.

Inaweza isiwe leo, kesho, au hata keshokutwa. Ipo tu siku watamla kichwa kiongozi wa Israel.

Hii vita haina mwisho. Ni kuviziana tu na kulana vichwa.

Naamini hata huko Tel Aviv akina Netanyahu hawalali kwa amani sasa hivi.
Ili hilo lifanikiwe ni muda sasa Iran iwapatie proxies wake vifaa vya kisasa vya kivita na mitambo ya ulinzi wa anga, njia ambazo wamekuwa wakizitumia kwa muda mrefu sasa na kuonyesha mafanikio makubwa hivi sasa haifanyi kazi tena, dawa yake imepatikana.

Hii mbinu ya kutumia tunnels na mahandaki kujificha imepitwa na wakati na ni ya kienyeji sana, US na Israel wana heavy bombs sasa za kugeuza handaki kuwa kaburi.

Proxies wa Iran wanatumia uwezo binafsi, ujasiri na kujitoa mhanga isivyo kawaida na silaha zao duni kupambana na US/Israel. Na hapo nakubaliana na wewe hao jamaa wakipewa silaha za kisasa na resources mbali mbali Israel inaweza kuhamishwa ikapelekwa Africa.
 
Hivi ni lini Israel imepigana vita peke yake tu bila msaada wowote ule wa Marekani?

Mimi naamini kabisa wakiachwa tu wapigane peke yao, huo ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wao!

Imagine tu hivi sasa pamoja na msaada wa Marekani na washirika wake, bado hayo makundi ya wanamgambo yanawachachafya.

Na kusema ukweli, hawawezi wakawamaliza Hamas, Hezbollah, wala Wahouth.

Na ipo siku hata viongozi wao [Israel] watauliwa tu.

Inaweza isiwe leo, kesho, au hata keshokutwa. Ipo tu siku watamla kichwa kiongozi wa Israel.

Hii vita haina mwisho. Ni kuviziana tu na kulana vichwa.

Naamini hata huko Tel Aviv akina Netanyahu hawalali kwa amani sasa hivi.
Hezbollah yeye anapigana vita peke yake?
 
Hivi ni lini Israel imepigana vita peke yake tu bila msaada wowote ule wa Marekani?

Mimi naamini kabisa wakiachwa tu wapigane peke yao, huo ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wao!

Imagine tu hivi sasa pamoja na msaada wa Marekani na washirika wake, bado hayo makundi ya wanamgambo yanawachachafya.

Na kusema ukweli, hawawezi wakawamaliza Hamas, Hezbollah, wala Wahouth.

Na ipo siku hata viongozi wao [Israel] watauliwa tu.

Inaweza isiwe leo, kesho, au hata keshokutwa. Ipo tu siku watamla kichwa kiongozi wa Israel.

Hii vita haina mwisho. Ni kuviziana tu na kulana vichwa.

Naamini hata huko Tel Aviv akina Netanyahu hawalali kwa amani sasa hivi.
Upo sahihi, Israel bila msaada wa Marekani itakuwa na wakati mgumu
 
Back
Top Bottom