Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Hawa wajomba ni balaa, unaweza kukuta wana watu wao ndani kabisa ya, Hezbollah,
Sio upuuzi wa bongo, yani idara ya, intelijensia, haina means ya ku track mtu mpaka waombe msaada wa kampuni ya simu! Hii, ni, aibu,
TISS,inatakiwa iwe na uwezo covertly, wa kuingilia mfumo wowote, bank, simu, nk, bila kujulikana, bahati, mbaya, wameajili vilaza kisa tu, mtoto wa Fulani, wanajua kuvimbisha makalio na kula bia!
Rejea wale vijana wa TISS, vijana name, wenye siraha, walishindwa kumkamata mfanyabiashara Zakaria! Wakaishia kulambwa risasi wao na kujeluhiwa
 
Baada ya huyo jana jumamosi kashushwa mavumbini kiongozi mwingine mkubwa wa Hezbollah.

Tuliwaambia kitambo MOSSAD wako ndani ya Iran na Lebanon,na Syria huko. Kuna kipofu mmoja pye Chang shen akawa anashusha dislike. Nikamwambia bado kitambo kidogo uta*like* tu.
Hata huyo Iran anyamaze kimya asijaribu huu moto.
Israel sio ya kuichukulia poa kama waraabu wa mpalange wanavyoiwazia kwa kuitazama kwenye site mirror kama nchi ndogo.

Bahati mbaya wengi wanadhani Israel inaitegemea sana USA. Ila vice versa USA ndio wananitegemea Israel kisayansi.
Wa-Israel ndio watu wanaoaminika wenye IQ kubwa kwa dunia ya sasa.
Nyani Ngabu nasikia US ndio wanaitegemea Israel 😂
 
Mungu kumbe anabariki mashoga!??
Hiyo ni vita kijana usiingize udini.
*2006 Israel alipigwa na huyu huyu Hizbollah akiongozwa na huyu huyu Hassan Nasrallah aliyeuawa.
*1973 Israel ilipigwa na Egypt Sinai Peninsula.Huyo Mungu wako mbariki wa mashoga alikua wapi??

*Hii ni vita kuwahiana ni jambo la lazima.
Mashoga wapo popote hata Tanzania wapo tena kwenye maeneo yenye waislam wengi.

Mwaka 2006 Hezbollah hakuishinda Israel ila mbinu waliyotumia Israel kwenye hivyo vita ndio haikua sahihi ya kujaribu kuepuka majeruhi zaidi na ilitokana na sera ya waziri mkuu wa wakati huo wa Israel Bw Ehud Olmert ambaye alilaumiwa sana na kupelekea serikali yake kuondolewa mamlakani.

Misri hakuishinda Israel kwenye vita vya Yom Kippur mwaka 1973 na huu ni uongo wa dhahiri kabisa, ni Israel ndio ilishinda hadi kulitwaa jangwa la Sinai na Israel walikaa Sinai hadi mwaka 1982 pale Misri walipotia saini kwenye mkataba wa "Camp David Accords" huko Maryland, Marekani na kuitambua taifa la Israel na kukubali kuacha uhasama na taifa hilo la kiyahudi ndipo Israel ikairejeshea Misri Sinai yake.

Ndio maana kamwe Misri haiwezi kupigana tena vita na Israel hata Israel leo wawaue wapalestina wote Misri hawezi kurusha hata jiwe kwenye ardhi ya Israel na ufahamu kwamba kwenye hayo mataifa ya kiarabu Misri ikiwemo, huwezi kuwa kiongozi mkuu wa nchi kama unaipinga Israel na ukijaribu tu ndio mwisho wa uongozi wako.

Kuna mtu mmoja ni marehemu alikuwa anaitwa "Mohammed Morsi" kwenye uongozi wake alijaribu kuipinga Israel na kilichomkuta historia haitasahau.

Ngoja nikuachie hapo utafakari.

 
Hawa wajomba ni balaa, unaweza kukuta wana watu wao ndani kabisa ya, Hezbollah,
Sio upuuzi wa bongo, yani idara ya, intelijensia, haina means ya ku track mtu mpaka waombe msaada wa kampuni ya simu! Hii, ni, aibu,
TISS,inatakiwa iwe na uwezo covertly, wa kuingilia mfumo wowote, bank, simu, nk, bila kujulikana, bahati, mbaya, wameajili vilaza kisa tu, mtoto wa Fulani, wanajua kuvimbisha makalio na kula bia!
Rejea wale vijana wa TISS, vijana name, wenye siraha, walishindwa kumkamata mfanyabiashara Zakaria! Wakaishia kulambwa risasi wao na kujeluhiwa
Ile software(spyware) ya Pegasus iliyotolewa na Israel kutoka kampuni ya Cyber NSO group kama sijasahau... Waliuuza kwa nchi nyingi sana...
Yaani ni zero click, haihitaji wakutumie link ubofye au kuinstall chochote.

Wao wanaingiza kwenye simu yako muda wowote wakihitaji.

Cost 2016 wanasema ni $650K halafu kufanya set up ni $500K kwa simu 10.

Ukijumlisha ni 1.1 billion usd hio.

Ile software ina uwezo kuji haribu yenyewe kuficha evidence.

Hata Germany waliinunua kwa siri sana.
Ilitengenezwa kwa ajili ya vyombo vya usalama kupambana na uhalifu... Lakini serikali nyingi walinunua na kuitumia ku track wapigania haki za binadamu, waandishi wa habari na wanasiasa.

Whatsapp na Apple walifungua kesi pia.

Sema ni vipaumbele, hizo levels kwa TISS ni kichekesho.
 
Ndio maana usishangae nasema hata inner circles za Iran
Yote yanawezekana...
1 - Usaliti wa serikali ya Lebanon kwa kuingiza majasusi ndani ya Hezbollah kwa msaada wa Mossad
2- Usaliti katika serikali ya Iran, Mossad kuingiza majasusi wake, arab jews ni kama waarabu tu lakini ni jews.

Mambo ni magumu..
 
Hizo ndio akili Israel amshinde pesa Qatar, UAE, Kuwait unaota nini. Nchi ya kusaidiwa hio kwenda kukinga kibakul8 Washington huoni hata aibu.
1000241571.png

jisomee mwenyewe hapo naona una stress za msiba
 
Bwege wewe hizo silaha anazo pewa Israel ni nini hizo kama hasaidiwi. Israel si mafala tu kama wewe, toka lini Israel alipigana vita bila kupewa silaha na kusaidiwa na US.

Israel ni omba omba tu kwa US lini US alienda omba msada kwa Israel, leta dalili zako. Afu tazama misada ya US kwa Israel utapata jibu.

Eti nani anaye mtegemea mwenzie haha. Wewe ni bwege la mwisho kama unamini Israel anatetemekewa na US anatumiwa na US kwa agenda za US
iran mwenyewe anaisaidiwa na china na urusi iran yeye kama yeye hata kutengeneza bakuli tu hawezi
 
View attachment 3110438
jisomee mwenyewe hapo naona una stress za msiba
Katika nchi zote hapo ukitaka kulipwa vizuri ni Qatar, GDP per capita yao ni kubwa mno...

Ina maana maisha ya Qatar ni bora kuliko Israel na nchi zote hapo ...

Kama ni mimi kwenye hio list ningaliulizwa nikafanye kazi wapi ni Qatar...
 
iran mwenyewe anaisaidiwa na china na urusi iran yeye kama yeye hata kutengeneza bakuli tu hawezi
Huijui Iran vizuri mkuu...
Sio wanyonge kiasi hiko, wakiachana na vita wale waajemi, wanafukuzana na Israel hapa na pale na Israel kwenye tech, lakini ndio hivyo for more than 40 years wapo kwenye sanctions...

Elezea ni tech ipi ambayo Israel anafanya Iran haipo...
 
Huijui Iran vizuri mkuu...
Sio wanyonge kiasi hiko, wakiachana na vita wale waajemi, wanafukuzana na Israel hapa na pale na Israel kwenye tech, lakini ndio hivyo for more than 40 years wapo kwenye sanctions...

Elezea ni tech ipi ambayo Israel anafanya Iran haipo...
iran yuko vizuri tuu kwenye drone na misile hakuna sehem ingine yeyote ambapo yuko vizuri zaidi ya hapo, sababu lengo kuu la iran ni kua na makombora ya kumashambulia myahudi..mfano tuu juzi raisi wake kafa kifo cha aibu sana..helicopta tuu zimemshinda
 
Alafu haohao Hezbollah Hapo Lebanon siô Wananchi wôte wanaiunga Mkono. Vivyohivyo Kwa Hamqs utegemee Ushindi kwèli

Mimi nahisi haqacwakubwa wadunia hizi vita NI zaidi ya tunavyoziona
Wananchi asilimia kubwa hawawaungi mkono..

Kumbuka Lebanon kuna jeshi la Serikali pia.Ila hili jeshi la Hezbola limejiimarisha kiasi kua lina nguvu kuliko la Serikali
 
iran yuko vizuri tuu kwenye drone na misile hakuna sehem ingine yeyote ambapo yuko vizuri zaidi ya hapo, sababu lengo kuu la iran ni kua na makombora ya kumashambulia myahudi..mfano tuu juzi raisi wake kafa kifo cha aibu sana..helicopta tuu zimemshinda
unasema helicopter tuu?
Hivi mkuu unafikiri ni rahisi kutengeneza helicopter?

Kuna parts nyingi sana kukamilisha ndege, kuna maelfu na maelfu ya parts mbali mbali, vifaa vya ki electronic, systems mbali mbali, humo kuna microchips, kuna sensors, kuna radars na kila aina ya takataka, fanya research ndogo tu kutafitie gari ina spare parts za aina ngapi, gari imepaki kisa umeagiza spare part toka Japan, sasa imagine mna sanctions, ina maana inabidi muanze kutengeneza parts zenu, hizo ni parts baadhi tu, sasa chukulia gari zima....


Hata iPhone wanatengenezewa vifaa vingine vya simu kama vioo n.k na kampuni nyingine, pia wanatumia semiconductors kutoka kwa kampuni zingine....

Sio rahisi ku design kila kitu from scratch, radar tu ya ndege kuitengeneza ni jopo la engineers wenye uwezo uliotukuka, vipi ndege nzima?

Radar tu utakuta kuna Chip kutoka Taiwan, chip ingine kutoka US, ingine kutoka Germany....

India tu, imechukua miaka 30 kufanya tafiti kutengeneza ndege yao ya kivita sijaju kama walishamaliza mara ya mwisho ilikuwa mwaka juzi wanamalizia... Na hao hawakuwa na vikwazo ...
 
Bwege wewe hizo silaha anazo pewa Israel ni nini hizo kama hasaidiwi. Israel si mafala tu kama wewe, toka lini Israel alipigana vita bila kupewa silaha na kusaidiwa na US.

Israel ni omba omba tu kwa US lini US alienda omba msada kwa Israel, leta dalili zako. Afu tazama misada ya US kwa Israel utapata jibu.

Eti nani anaye mtegemea mwenzie haha. Wewe ni bwege la mwisho kama unamini Israel anatetemekewa na US anatumiwa na US kwa agenda za US
Akili yako tu inaonesha ni mtu wa ufahamu wa chini sana, yaani unaleta story za vijiwe vya kahawa unaleta kwa great thinkers!yaani hujui nini Israel anafanya duniani kuanzia kwenye teknolojia mpaka uchumi,ungekuwa na akili timamu ningekupa takwimu ila kwasababu unaonesha umekulia uswahilini ambako silaha yenu kubwa ni matusi siwezi poteza muda wangu.
 
Akili yako tu inaonesha ni mtu wa ufahamu wa chini sana, yaani unaleta story za vijiwe vya kahawa unaleta kwa great thinkers!yaani hujui nini Israel anafanya duniani kuanzia kwenye teknolojia mpaka uchumi,ungekuwa na akili timamu ningekupa takwimu ila kwasababu unaonesha umekulia uswahilini ambako silaha yenu kubwa ni matusi siwezi poteza muda wangu.
We bwege sana kama unadhani mimi nashida ya kupoteza time na wajinga kama wewe. Israel mpumbafu hano lolote kama vile wewe. Huyo kama sio US. na Europe angeisha potezwa zamani hapo Middle East.

Hao mnao waita taifa teule uliona wapi taifa teule likawa ndio kitovu cha gays/lesbians kapimeni akili zenu kwanza ndio mje kufananisha na akili zangu 😄

Afu mimi mtu anaye msifia omba omba au anategemea msada huwa namuona fala tu, we sababu ni omba omba ndio mana unamtukuza Israel.

Watu walio laniwa hata nchi wamepewa na UK mnasema taifa teule nendeni mkasome history kwenye bibilia zenu kama kuna nchi inaitwa Israel.

Jordan ambaye ni rafiki ya Isreal leo wameanza kuwanyea Israel.


View: https://youtu.be/ClOufQ-38yI?si=VkB4I7J4tFN1obxI
 
Back
Top Bottom